JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Wakuu, Nilikua napita kwenye mtandao wa kuuza magari, kwa wenye uzoefu/ufahamu.... Ni wapi wana gari makini zilizotumika?
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu habari mimi ni mfuatiliaji mzuri sana wa hii forum ya magari japo siyo mchangiaji. Nna gari yangu Toyota Allex jana kuanzia juzi taa ya oil nyekundu kwenye dashboard imekuwa inawaka na...
4 Reactions
70 Replies
15K Views
Nmeanza kuwa mpenzi wa Prado sasa maana haya matoleo ya mwaka huu ni balaa tupu! Unahitaji kuwa na $70,000 bila kodi kuibikiri mwenyewe yani 0km. Ngoja niendelee kujichanga.
0 Reactions
62 Replies
8K Views
Wakuu habari ya wikiend... Ngoja niende direct kwa mada. Kuna jambo nmeliwaza nikaona nililete huku jf kwa wajuzi wa mambo. Wakati wa usiku madereva hawawashi taa ndani ya gari lakini wana drive...
3 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari wadau, Nimelipata sehemu hili kuwa maji yanayotoka kwenye AC za maofisin na majumbani ni bora zaidi na yanasaidia kupoza vizuri injini ya gari vizuri zaidi. Wajuzi mnijuze. Asante.
1 Reactions
5 Replies
3K Views
Picha za landcruiser 300 series zimeanza kuonekana huku wadau wakikasirishwa na muonekano mbaya wa gari huku wakilaumu kwamba wameua lengendari 200 series alafu wamekuja na utopolo. Wengine...
0 Reactions
19 Replies
4K Views
Wakuu habari ya hili jukwaa, ni mara yangu ya kwanza kupost hili jukwaa natarajia ushirikiano mzuri kwa siku zijazo. Mada ya leo ni kuhusu kujua kufanya kitu kinaitwa "mapping car radio" kama...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Wakuu habari za kazi nina shamba langu mahali baada ya mavuno, nina ndoto ya kununua gari ya mzigo isiyozidi tani 3 ambayo itaniingizia kipato kwa kubeba mazao ya wakulima na mazao yangu kupeleka...
2 Reactions
5 Replies
3K Views
Anaitwa Frank Darko ni mwanafunzi wa chuo kutoka nchini Ghana Ameweza kutengeneza baiskeli inayoelea juu ya maji. Ni mwanachuo anayesomea maswala ya Graphic Design ndani ya Tarkoradi Technical...
7 Reactions
15 Replies
1K Views
Habari za Muda huu wadau. Mimi nina gari aina ya BMW X3 kwanza ninapotembea barabarani zaidi ya spidi 60 mpaka 80 lina shake sana mpaka ile vibration naisikia kwenye Sterling. Lakini inapofika...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wakuu, naomba kujua iwapo gari langu nililolipaki mahala karibia miezi sita sasa litakuwa na shida siku nikianza kuliendesha tena.
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Natoka zangu Moro naenda Dodoma na vitz yangu ila napitwa na kila gari[emoji26][emoji26].... Ikija rav4 inapita, ikija Ist inapita, likija basi linapita ukishindana nayo unaishia kujichosha tu...
14 Reactions
56 Replies
6K Views
Je, ushawahi kupigwa tochi ambayo huielewi? Yaani umefuata vibao vyote vizuri kabisa lakini unafika mbele unaoneshwa picha kwenye 50kph zone imepita na 85kph au zaidi? Twende pamoja. Kawaida...
11 Reactions
45 Replies
3K Views
Wasalaam wataalamu. Aisee nina ki-gari changu aina ya Chevrolet Optra Lt 2.0 hivi majuzi kimeanza ku-misbehave kina washa taa ya Check Engine halafu kinanakuwa kizito kuchanganya mfano ninapokuwa...
4 Reactions
1 Replies
2K Views
Nahitaji kufahamu tofauti kati ya pikipiki boxer na TVS na bei ya kila moja wapo na je ipi ni bora kati ya pikipiki hizi? BOXER TVS
0 Reactions
11 Replies
7K Views
Ninataka kutafuta pikipiki kwa ajili ya bodaboda na kutembelea pia.Ninataka kufahamu je ni pikipiki gani ya kichina ambayo angalau ina ubora kiasi kati ya hizi Fekon SanLG King Lion T better
0 Reactions
12 Replies
7K Views
Wadau habari, Mwezi uliopita kupitia STB JAPAN niliweza kuagiza gari tajwa kwenye tittle from abroad bahati nzuri imefika ipo bandarini so kuanzia this week ntaishughulikia malipo yote bandarini...
1 Reactions
37 Replies
7K Views
Naomba mnishauri ni gari ipi ndogo nzuri kwa barabara za shambani zenye mashimo na matope wakati wa mvua.
0 Reactions
35 Replies
11K Views
Habarini wapendwa kwema!!! Nina gari yangu aina ya Toyota corolla fielder shida kubwa kila nikiiwasha inawaka halafu inazimika nikirudia tena bado inazimika, ila ukiiwasha halafu ukaikanyangia...
3 Reactions
21 Replies
5K Views
Wakuu habar zenu. Hivi kati ya lubricant/oil kati ya kampuni ya TOTAL na CASTROL ipi ni nzuri na ipo juu ya mwenzie? Hapo namaanisha quality. Naona watu wengi wanatumia total kuliko castrol. Ipi...
1 Reactions
6 Replies
5K Views
Back
Top Bottom