JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Karibuni wamiliki wenzangu wa Mazda, tupeane changamoto za magari yetu. Mimi namiliki premacy.
1 Reactions
43 Replies
15K Views
Wasaalam ndugu wa jf garage. Katika kupita pita mtandaoni nikabahatika kukutana na anime ya initial d ambayo inahusiana na kijana wa kijapan aitwaye takumi fujiwara ambaye anatokea katika...
3 Reactions
10 Replies
1K Views
Naombeni mautaalamu hapa hivi ni nini kinafanya huo moto unatokea hapo nyuma? Nimewatch sana hio video, ila bongo kuja kumiliki hzo ndinga tunasafar ndefu sana.
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Jamani mwenye uzoefu wa hizi gari Nissan Hard Bord D22 hii huwa kuna muda ukiiwasha inaweza ikaenda vizuri ila katikati ya safari ina poteza nguvu mpaka uizime uwashe tena na kuikanyaga lesi ndipo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wajuzi ebu mnisaidie hapo, nahitaji moja ambayo ni durable, imara, less consuming(fuel), availability of spare na ziko cheap. Dukani hawaaminiki Sana wanasema kulingana na bidhaa walizonazo...
0 Reactions
2 Replies
614 Views
Wadau, Naomba mnijuze Kwanini gari yenye cc zinazofanana zinaweza kuwa na speed tofauti? Kwa mfano za ki-Japan mwisho 180km/h wakati za Ulaya (Germany) zipo mpaka 240. Je, ni kitu gani...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Wapendwa, Gari yangu ina tatizo Hili, ikiwa kwenye mwendo halafu ataka kuongeza/kupunguza mwendo gari haiendi inajiresi kwanza kidogo ndio iachie. Inakuwa kama nimeshika breki huku nimekanyaga...
2 Reactions
3 Replies
2K Views
Naomba ushauri nini nifanye gari yangu nissan tiida wametiunga ule unga unaokaa kwenye exhaust muungurumo umekuwa mkubwa je ninaweza kuipata ingine hata ya kuagiza au hazipatikani au nifanyeje...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Habari jaman, Naomba kueleweshwa vizuri juu ya huu utaratibu mpya wa bima za vyombo vya moto, Je? 1. bei ya bima ndogo imebadilika? 2. tunakata io bima kwa hawa hawa mawakala au ni hadi bank...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakuu kwema? Hivi gari ya cc 990 na cc 1290, zina tofauti gani kwenye suala la kupiga masafa marefu? Maana wengine wanasema kama gari engine capacity yake ni ndogo huwezi kwenda nalo masafa...
2 Reactions
121 Replies
20K Views
Nilikuwa naendesha kila mara inafika stage gari inadecelerates na kuzimika, ukiwasha inawaka unakimbia kidogo inazimika, nimefanya hivo mara nyingi mpaka nikafika safari ya km 45, fuel ilikuwa...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Msaada mwenye kufahamu bei ya power steering leak ya Nissan tiida ni kiasi gani? Nissan Tiida
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Katika pita pita zangu kwenye mitandao ya kuuza magari huko duniani, nimegundua ukiachana na Toyota na Magari ya ulaya bei zake sio rafiki kwetu dunia ya tatu Nimegundua Mazda wana brand nzuri za...
11 Reactions
210 Replies
46K Views
Wakuu nawasalimu katika jina la Jamhuri ya Muuungano wa Tanzania, Nina uhitaji wa half Engine ya Nissan hardbody QD 32, mwenye nayo au maelekezo wapi pa kuipata kiurahisi itakuwa msaada kwangu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wakuu.! Natafta mtu anayejua kutengeneza pressure washer ya magari. Tatizo la machine ni kile kichwa chenye pistoni kinachosukuma maji yatoke kwa presha Kali, kina changanya maji na oil...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Zinatatizo gani wakuu? Kuna gari nmeiona sehem inauzwa mil 6 tu..
0 Reactions
9 Replies
7K Views
Wakuu, salamu zenu! Juzi natoka zangu Dodoma, Mdogo mdogo narudi zangu Dar! Basi nafika zangu pale Msolwa, mshenzi mmoja asiye na staha barabarani, anajifanya ana haraka ana overtake kijinga...
8 Reactions
98 Replies
11K Views
Habari, Kwa Arusha ni wapi nnaezakupata mtu anayechongesha funguo za TVS, nimepoteza mmoja nikabaki na mmoja
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Salaam, Nimenunua gari Zanzibar, Nimeambiwa ushuru wake ni milion 28 kuileta Dar. Kuna mtu mwingine kanambia naweza kupata punguzo kama nitaongea na TRA na kuandika barua. Swali langu ni je...
1 Reactions
8 Replies
936 Views
Kila mtu mwenye gari hafurahii akiwa barabarani na kutambua kwamba gari haliko sawa. Inakuwa mbaya zaidi ukiwa huna hakika kwamba tatizo ni nini. Ila, matatizo ya yanayotokea huwa yana husisha...
9 Reactions
27 Replies
8K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…