JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Naomba ushauri nataka ninunue pikipiki boxer ya kutembelea. Nishaurini kama kuna pikipiki nyingine nzuri kwa kutembelea/mizunguko binafsi.
4 Reactions
37 Replies
7K Views
Wakuu naombeni ushauri nataka kununua gari yakutembelea kikazi nakifamilia gari iwe imara body muonekano na ulaji pia wamafuta
2 Reactions
14 Replies
3K Views
Naomba kujua bei ya bamper ya mbele ya gari tajwa hapo juu.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Hizi gari zote mbili nazipenda sana kwa mwonekano na hata ground flour yake iko vizuri but Naomba kujua ipi ni nzuri kwenye Rough road. Inayo perform vizur Stability yake Durability yake Endapo...
2 Reactions
15 Replies
8K Views
Wakuu naombeni msaada kwa anayejua procedures na cost za kubadili plate number kutoka private to commercial. Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
23 Replies
15K Views
Habari, Huwa naona baadhi ya magari yameandikwa hilo swali nyuma yakifuatiwa na namba ya simu,huwa wanamaanisha nini? Na nani anatakiwa kujibu hilo swali na nini lengo la kuweka namba ya simu...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Jamani natafuta air mass sensor ya Nisan serena make ya 1997. Nitapata wapi au mwenye nayo tuwasiliane inbox tuyajenge. Air flow sensor for NISSAN SERENA (C23M) 1992–2001 2.0 16V, Petrol SR20DE ...
0 Reactions
2 Replies
884 Views
Habari za wakati huu wakuu, poleni kwa majukumu na misiba tunayopitia kama Taifa. Niende moja kwa Moja kwenye maada yangu, ninataka kuuza Baby walker yangu ninunue gari nyingine yenye uwezo wa...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari wadau, Nimekuwa natafuta watu ambao wanaweza kufanya car tuning Dar es salaam. Nina lexus is200 yangu nimekuwa nawaza kufanya upgrade, nibadili machine niweke nyengine kisha nifunge turbo...
0 Reactions
24 Replies
5K Views
Mimi si mjuzi wa upande huu lakini najua tunao wabobezi hapa. Jamaa yangu anauliza ajiweke wapi pazuri zaidi kati ya Gari hizo tajwa? Ufafanuzi wa faida na hasara zinazozitofautisha hizi...
1 Reactions
19 Replies
5K Views
Huwa nashangaa sana. Kila ninaponunua gari huwa nikiangalia spear tyre lazima nikute kidogoo! Kwann wajapan wanatuwekea spear tyre huwa viduchu kuliko matairi halisi ya gari? Maajabu sana.
3 Reactions
47 Replies
8K Views
wakuu naomba msaada wa kujua tatizo ninagari yangu Toyota sienta inakula mafuta hlf bahati mbaya fuel gauge kwenye dashboard ukiweka mafuta haipandi wala kushuka inaonyeshaa bar moja tu hata uweke...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Ipi bora zaidi Kati ya hizi Gari IST, Allex na Ractis Kulingana na sifa ya hizi gari ipi bora zaidi?
0 Reactions
22 Replies
7K Views
Wajuzi tafadhali mtuambie nataka kufanya uwamuzi, Nafahamu kuna kampuni kadhaa za uagizaji magari hapa nchini zikiwemo Beforward, autocom Japan, Sbt n.k. Naomba wajuzi mtuambie kampuni ipi ni...
0 Reactions
52 Replies
24K Views
Habari za muda huu ndg zangu, naomba mwenye kuyajua hayo magari nliyoyataja hapo anipe ushauri Ni lipi imara na bora kwa matumizi. Toyota WISH Toyota IST
2 Reactions
26 Replies
8K Views
Hii ni sawa kwa gari lenye 1290CC, kutembea 220 KM, mjini na AC ikiwa ON kwa mafuta ya elfu hamsini, Rafiki anauliza hii no sawa au kuna tatizo mahali.
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Hili gari kwa familia kubwa nalipenda. Naomba kujua madhaifu yake katika: - Safari ndefu Dar to Mwanza - Ulaji mafuta - Kwenye barabara ya vumbi - Bei yake yard Naombeni msaada.
2 Reactions
18 Replies
8K Views
Ligi ni mzuri sana haswa kama mnaelekea sehem moja nimekuja nimekuja na utafiti mdogo hapa kuhus nani alikuwa mbabe road trip kwa mwaka Jana. Land cruiser kama kawaida yake hana mpinzani huyu...
12 Reactions
324 Replies
22K Views
Habari za mdaa huu wadau, Mwenye uelewa kuhusu Nissan Hardboy anisaidie kujua 1. Kama ni gari imara hasa kwenye barabara zetu za vijijini 2. Ulaji wa mafuta 3. Upatikanaji wa spea na mafundi...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom