JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Wakuu naomba kufahamu kitu kimoja kwa anaye jua, hiviusajili wa hizi plate number ukoje? Mfano unaweza nunua gari ukaifanyia usajili safi kabisa ukapewa mfano DPT then ukiingia barabarani unakuta...
0 Reactions
38 Replies
11K Views
Kwenye baadhi ya thread wana JF wamelalamika kuwa gari hii vipuli vyake ni ghali!!,Je kuna udhaifu mwingine wa gari hii? ikiwa utazingatia service kwa wakati? Nataka niagize gari hii kwa ajili ya...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Jaman wadau, Nahitaj kununua gari aina ya Mitsubishi Outlander ya mwaka 2009 toka japani, nimetokea kuipenda kuliko gari yeyote aina ya SUV hapa mjini, ila sijui kuhusu uimara wake kwa barabara...
0 Reactions
6 Replies
6K Views
Wakuu natanguliza shukurani za dhati kwenu, Pia nakuja na ombi juu ya kuifahamu kiundani hii gari ndogo toyota belta maana nimejichanga nataka kuwa na kausafiri .... lakini kabla ya kuchukua...
2 Reactions
6 Replies
4K Views
Kwa wapenzi wa magari makubwa, teknolojia na Mambo yajayo. Hebu ioneni hii Mercedes Benz truck itakayoingia rasmi sokoni mwaka 2025.
4 Reactions
26 Replies
4K Views
Ndugu zangu natafuta engine yakichina yenye nguvu naspiidi kubwa sijui ni ip nataka kumodify pikipiki yangu aina YA Honda cb125 maana spare original zimenishinda
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Nahitaj mnishaut ni pikipiki gan nzur kwa ajil ya kuzungukia mizunguko yng ya kawaida tu na si ya biashara..na nahitaj iwe angalau sport kiaina.. Asanteni..
0 Reactions
41 Replies
18K Views
Wakuu shwari? Naomba mwenye taarifa zaidi kuhusu haya mabasi ya Kimotco Express. Kuna ndugu yangu amekata tiketi kwenye basi hilo kutoka Arusha kwenda Mbeya, nauli TSH 55,000. Kwa wale ambao...
1 Reactions
17 Replies
4K Views
Niliona matangazo yao nikawa interested sana na bidhaa zao ingawa ni ghali kidogo, nikanunua oil yao 5W40 ile ya bei juu na filter zao za gulf, nikafanya service nikaanza kupiga route za kufa mtu...
2 Reactions
3 Replies
2K Views
Naomba msaada kwa Jiji la Mwanza penye garage nzuri ya magari madogo. Gari yangu aina ya Toyota Brevis inaniwashia alama ya check engine ikiwa kwenye mwendo nikisimama na kuzima halafu nakuwasha...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wadau naomba kuuliza kwa bajeti niliyotaja naweza kupata Toyota Van Guard. Ushauri unaruhusiwa cause mimi sio mtaalamu wa Magari. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ninayo Toyota Spacio New Model, ni cc 1490 ya mwaka 2004, ingine 1nz-fe. Kwa mwenye ujuzi naomba kujua hii gari inaingia lita ngapi za transmission fluid. Naomba msaada katika ili wadau ili...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Hii ni starlet ya 1993 kwa hizi awamu ya tano kununua hii gari ni kama kufunga nayo ndoa. Imagine hiyo starlet hapo chini ina usajiri wa DQR na anaiuza 6M sasa kwa usawa huu kweli kwenda kununua...
3 Reactions
55 Replies
7K Views
Gari lenye umbo la SUV kwa matumizi ya nyumbani lipi lenye ubora na gharama nafuu?
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Mimi nina gari lenye auto gear box, lakini lasumbua sana sijui tatizo nini, mara ya kwanza nilipoiweka baada ya kuiondoa ile iliyokuwepo ilikua inabadilisha gia bila shida kwa sasa ina kama km 700...
2 Reactions
21 Replies
13K Views
Habari wadau, Nimenunua nissan xtrail cc 2500 kwa mtu, ni modeli ya uingereza imetembea kilometa 136,000 Nilivonunua tu nilijaza full tank, cha ajabu nimetembea kilometer 200 taa ya mafuta...
1 Reactions
41 Replies
42K Views
Nmeziona hizo gari sokoni lkn hiyo Audi ni cc3000 ikanitisha.Subaru ni cc 1900.Sasa naomba kujua ni ipi gari bora kati ya hizo ktk: 1. utumiaji wa mafuta 2 perfomance ya injini ktk barabara ya...
1 Reactions
19 Replies
5K Views
Je, aina hii ya gari nyingi zinatumia timing belt, je gari hizi zipo ambazo zinatumia timing chain?? Naomba anaezijua gari hizi anijulishe
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habarini wanajamii, Nataka kununua Nissan Terrano ya 2000 Diesel. Naombeni uzoefu wenu kuhusu gari hili, hasa kwenye ubovu na matatizo yake common, maintianance nk. Natanguliza shukrani...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakuu habari, Gari tajwa hapo juu ilikua na nguvu sana ila ilianza kuua nosel moja ikawa na mis, sasa nikabadili nosel na ikawa poa kabisa. Jana imeanza tena mis plug no moja haichomi vizuri na...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom