JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Kuna mambo tumekuwa tukikutana nayo kwenye Internet kupitia vifaa vyetu, kama Simu Tablets, na Computer, unakutana na Notification inayosema hongera umejishindia Mf, Simu au Tv, n.k Nam naomba...
1 Reactions
3 Replies
916 Views
Wakuu bado sijafanya maamuzi gari gani ninunue mpaka sasa ila nimekutana na Xtrail ya 2007....66000kms, 1990cc je spea na ulaji wa mafuta upoje? Bei 3000usd cif tra 6.9m tsh...mazagazaga mengine...
2 Reactions
73 Replies
13K Views
Naomba msaada gari yangu aina ya brevis nikiendesha inakuwa kama inajump rpm inapopanda kutoka 1 kwenda 2 lkn ikishafika mbili inachanganya vizuri tu na huwezi jua kama gari inashida lkn pale...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Range Rover inasimama kuwa ni Moja ya Best SUV Cars in the World. Na asilimia 90 ya Matajiri Duniani hawakosi moja ya Version za Range Rover zilizopo hapa Chini. Binafsi nmefanikiwa kuwa na...
21 Reactions
118 Replies
16K Views
Kwa kawaida ninavyoenda Moshi na Arusha huwa natumia mabasi ya Dar Express, kiukweli vile visu viko very comfortable. Je, Dar - Mbeya - Tunduma kuna mabasi ya Scania? Haya ya Mchina mtu unafika...
0 Reactions
32 Replies
5K Views
Habari za weekend watu wa Mungu, Binafsi driving licence yangu ime expire December 2020, na ilikua na class ABD. Hivyo nataka kui renew, sasa swali la msingi ni kwamba iwapo nita renew mwezi huu...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Nina magari mawili yameanza matatizo kwenye uingizaji wa gia. Gari moja ni NOAH SR 50 4WD tulitoa driving shaft ya mbele ikabaki kuvutia nyuma. Baada ya wiki mbili ikaanza kugoma kuondoka hata...
2 Reactions
13 Replies
3K Views
kuna shida nimeanza kuona kwenye gari yangu(merk x zio) ni kwamba nikiwa nimepak gari kwenye mteremko na kama nataka kurudi nyuma nikiweka reverse gear gari inaserereka kwenda mbele japo ni kidogo...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Kama picha zinavyoonyesha .. tusaidie kutambua matumizi ya sehemu hizi kwenye magari ya Toyota.
0 Reactions
37 Replies
9K Views
Salaam wadau, Naomba kufahamu wapi nitapata used Spareparts za gari ya Toyota Carina specifically handle ya kufungulia tank na buti, raba za milango na taa ya nyuma. Natanguliza shukrani kwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari Wana jukwaa? Katika pita pita be forward nimekutana na hivi vi Suzuki bei yake imenishtuanilikuwa naulizia kuna kipi cha ziada mpka imepelekea kuuzwa bei kubwa? Naona Hadi crown,Subaru...
4 Reactions
13 Replies
3K Views
Wajuzi wa haya mambo msaada tafadhali, najua kuna madereva na wabobezi wengi humu maana Youtube hainipi jibu sahihi ambalo ni udumu(reliability) na ulaji wa mafuta
0 Reactions
48 Replies
9K Views
Hi, Naomba msaada kwa anayefahamu. Naomba kufahamu roughly ni Diesel/Petrol kiasi gani naweza kutumia kutoka Dar es Salaam kwenda Mwanza kwa kutumia Gari lenye Engine Capacity (cc) 3000. Aina ya...
6 Reactions
39 Replies
5K Views
Nilikuwa naangalia gari linalotumia mafuta kidogo, nikakuta prius iko top ten, sasa sijawahi kuliona hapa tz, kama kuna mwenye uzoefu nalo naomba anipe highlights zake, pamoja na ABC za hybrid battery
1 Reactions
11 Replies
6K Views
Pale opposite na mlimani city shopping center kuna vehicle /Car dealer. Je, wajumbe kuna yoyote mwenye taarifa nao maana nataka nimuelekeze mtu kwenda kununua gari. Wasije kuwa na majanga yao!
0 Reactions
20 Replies
5K Views
Wakuu nimerudi tena naomba ushauri kuhusu Toyota Rush. Niliwahi kuandika kuwa ni nataka kunua rush, lakini mambo yalikuwa hayajakaa vizuri nikaahirisha lakini sasa hivi nipo tayari. Najua Toyota...
2 Reactions
11 Replies
5K Views
Wakuu Ni benki gani nchini ambayo naweza kutuma TT Japan ili ninunue gari huko? SI mnajua Tena Mambo ya OFFER unapewa muda maalumu uwe umeshalipia.
1 Reactions
26 Replies
3K Views
Habari wakuu. Hivi ukinunua pikipiki used kwa Mtu ,ni vitu gani mhimu inatakiwa kupewa na kukabidhiana baada ya pesa, ili kujilidhisha ni ya kwake kweli siyo ya kitapeli. Hii ni kwa usalama...
1 Reactions
3 Replies
5K Views
Mimi leo nitaongelea kamapuni moja tu inaitwa NIKKYO ambayo imenipa huduma nzuri mimi na marafiki zangu. Nimesha agizia marafiki zangu watatu kwa kupitia kampuni hii ya Kijapani ijulikanayo kama...
2 Reactions
12 Replies
4K Views
Back
Top Bottom