JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Kwa watalaam wa magari. Inakuaje magari madogo yasitumie dizeli? Huwa najiuliza hiki kitu sipati jibu. Naomba majibu ya kitaalam.
0 Reactions
27 Replies
5K Views
Habari wadau. Nina kigari changu carina ti inafanya kazi kama tax. Yapata wiki sasa gari inaishia gia no4, yaani haifiki no5. Wakati huohuo rpm inakuwa kubwa kupita kiasi. Mf. Kwa speed ya 90kmh...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Taa ya kijani imewaka tu, kuna mtu huko nyuma anaanza kupiga honi hovyohovyo. Sehemu ambayo anaweza msubiri mwenzake apite, yeye ameshapiga honi. Kuna cases nyingi nimeziona madereva wanapiga...
8 Reactions
33 Replies
4K Views
Sister anataka kuchukua usafiri, kaniomba ushauri achugue gari ipi kwa vigezo vya muonekano, ulaji wa mafuta na comfortability. Binafsi huwa napenda sana muonekano wa haya magari mawili ingawa...
1 Reactions
29 Replies
8K Views
Mwaka huu mwezi wa Tatu ndo mwisho wa Kuzalisha ToyotaLand cruiser 200 series V8, na hii imepelekea watu wengi ku oda za mwisho mwisho. Kumekuwa pia na malalamiko mengi na wengi wakiamini haya...
8 Reactions
95 Replies
13K Views
Wakuu Nahitaji kufahamu uhusiano wa mwendo wa gari na utumikaji wa mafuta Hivi ukitembea speed kubwa au ndogo ni ipi hapo inatumia mafuta sana?
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Naomba kujuua uwezo, ulaji mafuta na upatikanaji wa spear za town hiace Town Hiace
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Msaada wadau wa jukwaa Ningependa kujua kazi ya hizi Switch kwenye gari
1 Reactions
5 Replies
4K Views
Habari wanazengo wa JF kwanza napenda kuchukua nafasi hii kuomba kupata ufafanuzi zaidi kuhusiana na Gari hii ya TOYOTA CROWN MAJESTA ambayo kiukweli nimetokea kuikubali na kuipenda na moja ya...
2 Reactions
98 Replies
24K Views
Mafuta KATI ya diesel na petrol ipi nzuri, Pia vipuri vyake, comfortability yake nk
2 Reactions
20 Replies
5K Views
Habari zenu wakulungwa samahani, nahitaji kununua gari mojawapo kati ya hizi tano. Toyota Runx Raum new model Toyota wish Spacio new model Nissan X trail model 2005 NB: Mimi ni mtanzania mwenye...
3 Reactions
83 Replies
12K Views
Mfano ulinunua gari ikiwa na rangi nyeusi, ukaichoka hiyo rangi na ukaamua kuweka nyeupe, je; 1. Kipi kitatangulia kufanywa; kati ya kubadilisha rangi (kwa fundi) au details kwenye kadi TRA? 2...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Ni gari yangu aina ya Clavia Vitz,mara nyingi mida ya mchana joto likiwa kali,nikiwasha A.C gari ina nguruma zaidi then baadaye naona alama kwenye dash board kuonyesha injini imechemka.Nini shida...
5 Reactions
34 Replies
10K Views
Ferrari, Lamborghini, Bugatti &Rolls Royce. Nimekuwa nikiyaona kwa wasanii wa majuu na watu maarufu Ulaya, Marekani na Asia. Pia magari haya yameimbwa sana na wasanii wetu hapa nchini. Swali...
2 Reactions
98 Replies
13K Views
Wakuu nimefanya service ya injectors pump na nozzel za Nissan patrol Y60 lakini bado nimeshangaa gari ina mlio usio wa kawaida wakuu nisaidien nini cha kufanya.
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Msaada ndugu zangu gari yangu Nissan patrol engine td 42 inasumbua sana kuwaka nilipeleka pump service ila bado gar haitaki kuwaka. Wap naweza pata fundi mzuri kwa Sasa nipo dar
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Wadau wa magari mazuri, kuna hizi kampuni nazihusudu sana ambazo ni √ Audi √ Lexus √ Land Rover Je, kati ya mojawapo hapo, ipi ni gari Kali ya kufanya nayo matembezi ya hapa na pale safari...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Mwaka mpya mwema wapendwa, Nina pikipiki Boxer (BM150) nikiwa kwenye high way nikikimbia sana(nikivuta mafuta hadi mwisho) naishia speed ya 90 km/h sivuki 100km/h nakuendelea. Tatizo linaweza...
1 Reactions
21 Replies
4K Views
Nipo tayari kuitwa mshamba, nimezaliwa nimeikuta landrover 09 na hadi Leo IPO kule kijijini, lakini landrover discovery, defender ni mbovu sana trip pori trip gereji wapi watengenezaji wanakosea...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Bhana we nataka kuagiza gari kutoka beforwad kwa mara ya kwanza, sasa ni hivi kuna kitu kinanichanganya hapa wanapoandika Dar es Salaam+clearing ina maanisha hapo mpaka TRA wanamaliza au hiyo...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…