JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Anaejua kubadilisha lugha katika radio ya Gari au kama kunasoftware nisaidiwe Gari in Subaru impreza yako ya nyani...nawasilisha.
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Habari wakuu Jioni hii ya saa moja dereva wangu amenipigia simu kuwa gari la polisi wamegonga gari langu kwa kupiga pasi Gari langu linalofanya kazi ya daladala kati ya mbezi na mlandiz jioni...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Wakuu wa jamvi habari zenu, Naomba kuuliza tofauti haswa ya hizi engine mbili. Yenye turbo na isiyo na turbo zote zikiwa na Cc 1990. Nahitaji kufanya uchaguzi sahihi. Nafahamu Turbo inakula sana...
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Habari ya mida hii wana Jf Nina gari yangu Passo,jana baada ya mvua mvua hizi zinazonyesha hapa mjini Dar,mara taa ya check engine imeanza kuwaka,sielewi tatizo ni nini,nikajua labda nikiizima...
0 Reactions
33 Replies
12K Views
Nahitaji Tyres used ambayo toka itengenezwe haijafikisha miaka 5. Iwe haijachongwa. Size 235/70/15. Ushauri wa kununua mpya kaa nao. Nmesema nataka used. So usilete habari za kike. Maana wadada...
3 Reactions
10 Replies
2K Views
Samahani sio mtalaam sana wa engine za magari, lakini nina Coaster boksi ilikua imepata hitlafu kidogo kwenye engine, wakati nafanya mchakato wa matengenezo kuna watu wanasema engine hizo ni za...
1 Reactions
25 Replies
7K Views
Mambo vipi wadau wa jukwaa hili, bila shaka kuuliza sio ujinga, mara kwa mara nimekuwa nikipita kwenye website za kuuza magari hasa za Japan kama vile "Be Foward" na "SBT". Nimekuwa nikiona jinsi...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Yapata miezi 3 sasa nimekuwa nafatilia bei za magari hasa mitandaoni pamoja na kwenye yards mbalimbali ili kujua uhalisia wa bei. Kitu ambacho kimenishangaza kidogo mitandaoni ni namna bei zake...
4 Reactions
69 Replies
17K Views
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu nataka kujua maana ya maneno hayo hapo juu
0 Reactions
10 Replies
5K Views
Habarini wakuu !!!! Naomba kujuzwa hii engine ya 1hz ipo kwenye landcruiser lakini pia ipo na kwenye toyota coaster. Je kuna uwezekano wa kutoa hiyo engine kwenye coaster halafu ikawekwa kwenye...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Poleni na majukumu ya kila siku Mm ningependa kujua utofauti uliopo baina ya Gari lenye ccc kubwa lkn kwenye speed linasoma 180 na kuna kampuni ya Germany car unakuta lina ccc ndogo lkn kwenye...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Sheria mpya ya mwaka 2020 iliyowapa nguvu LATRA Kukatisha leseni ya tour kwenye magari ambayo wanahisi hutumika pia kukodishwa kwenye mashuguli na kadhalika gari aina zote za pickup family cars...
5 Reactions
16 Replies
4K Views
Nimevutiwa na hii gari kwa muonekano wake ulivyo wa kibabe. Ningependa mnijuze kuhusu model yake, upatikanaji wa spare zake hapa Tanzania, ulaji wa mafuta, upatikanaji wa mafundi wake nk...
3 Reactions
14 Replies
10K Views
Ni kwa uhakika uliowazi kuwa kwa sasa Bodaboda waliowengi wanatembeza piki piki zao kinyume na sheria za usalama barabarani. Wengi wao hawana leseni Na mbaya zaidi hawana hata third party...
0 Reactions
2 Replies
922 Views
Naomba kuuliza wanajf ipi inafaaa ktk matumizi ya kawaida na uimara wa gari kati ya vits old model na new model. Viz Old Model Vitz New Model
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Habari wadau, Nahitaji kubadili/ kuweka headliner ( inside roof) kwenye gari yangu Naomba kwa yoyote anaemfahamu fundi wa shuhuli hizi anisaidie plz. Thanks in advance.
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wakuu habari? Kuna gari nataka kununua baada ya kuliona kwenye page ya dalali wa magari ambae yuko mwanza na gari iko mwanza, nilimpigia simu fresh tukaongea akasema inabidi nitume nusu ya hela...
4 Reactions
56 Replies
4K Views
Wakuu Nimebahatika kupata gari hiyo Vitz old model miezi michache iliyopita, nimeona nije niulize maswali kuhusu hiyo gari mabosi mnaaita "babywoka" 1. Naweza kusafiri nayo from Dar - Mbeya non...
3 Reactions
21 Replies
10K Views
Nina Vitz ya mwaka 2000 yenye CC 990 nilichukua kwa mtu ilikuwa inatumia lita 1 ya mafuta kwa KM 5 nikapeleka kwa fundi gasket ilikuwa inavujisha oil inapeleka kwenye plug nikaweka mpya sasa hivi...
0 Reactions
9 Replies
8K Views
Mwenye uzoefu msaada nataka ninunue 1 kati ya hizi kwa round za mjini pia na kubana matumizi. Ipi itafaa kati ya hizi gari; Vits CC 990 na Vitz RS CC 1290 zinatumia mafuta kiasi gani kwa kila 1...
0 Reactions
28 Replies
13K Views
Back
Top Bottom