JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Rav 4 kilitime inagonga, miguu ya mbele nimebadilisha shockup na stablizer link lakini bado inagonga, naombeni msaada wadau tatizo ni nini?
1 Reactions
30 Replies
12K Views
Habari zenu, Nipo na project yangu kufanya engine conversion ila sasa nimekwama njiani. Nimeweka engine ya 2jzge non vvti kwenye gari, siku za mwanzo, mafundi walifanya wiring na wakajaribu...
0 Reactions
39 Replies
12K Views
Habari za wakati huu wana JamiiForums. Nahitaji kununua piki piki aina ya HONDA CBR 125R ya mwaka 2019 au 2018 with specs liquid cooled and tubeless tyres. Je Naweza pata hapa bongo? Au Kama...
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, Sisi wamiliki wa magari ambayo ni brand tofauti na TOYOTA tunapata changamoto nyingi sana ambazo zinapelekea wengine kushindwa kuyahudumia magari yao na...
9 Reactions
91 Replies
23K Views
Kama kichwa kinavyojieleza. Nimeagiza gari japan, na inatarajiwa kufika tar 7 Nov. Document zilishafika kama week moja iliyopita nikampa agent kwa ajili ya clearing, aliniambia gharama ni laki 2...
4 Reactions
24 Replies
4K Views
Salute JF. Toka nakua nashuhudia magari ya kijapani Land cruiser V8 yenye rangi nyeusi yakitumika zaidi na viongozi wa ngazi za juu Serkalini kuanzia ma DED hadi ngazi kubwa kabisa ya Rais. Hivi...
2 Reactions
14 Replies
2K Views
Wakuu Habari. Kuna gari hapa, Toyota Runx inasumbua kidogo AC. Hafu ndio mchezo wake kila baada ya miezi kadhaa. Mara ya kwanza nilipeleka kwa fundi akasema hakuna leakage. Akajaza Gesi. Hapo AC...
1 Reactions
17 Replies
4K Views
Wakuu Kuna hiz gari kutoka Korea kusini Kama Kia Sportage iko halmashaur moja kanda ya ziwa ilikuja na km elfu 60 kwa sasa inasoma 100,000 na point mi nataka kuagiza gari moja matata sana kia...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
habar wadau, nina gari aina ya starlet, nlinunua kwa mtu, muda kidogo umepita, injini yake iko poa, ila katika cylinder head katika vile vimrija kama pameungwa na bigijii ngumu hv,(nahis gari...
0 Reactions
17 Replies
10K Views
Nina gari ya Toyota Corolla 111 INA tabia ya kupasua hizo oil seal,hii ni Mara ya 3 inapasuka na kuvuja oil yote sema uzuri naistukia maana taa ya check engine inawaka nyekundu nikipaki nakufungua...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Hello ndugunina tatizo nahitaji mnisaidie, Nna Gari yangu Toyota premio ambapo imekuwa ikitetemesha mguu unapopunguza mwendo hasa ukiwa kuanzia speed 60 Tatizo hili limedumu kwa miez miwili sasa...
3 Reactions
11 Replies
2K Views
Niliparalyse mguu na mkono wa kulia.Nimejaribu kuendesha baiskeli nimeshindwa. Kwa mguu na mkono wa kushoto pekee naweza kuendesha gari?
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kwema ndugu zangu? Gari yangu ni runx inagonga sana mguu wa kulia wa mbele nikiingia rough road. Nimepeleka kwa fundi akasema nibadilishe shockup lkn bado inapiga kelele yani inagonga sana...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Naombeni ushauri kujua ni engine gani za Toyota chini ya cc2000 ambazo hazisumbui na spear zake ninapatikana kwa wingi na kwa bei rahisi? Wengine wanasema ni 5E kama za Toyata Raumu na wengine...
1 Reactions
19 Replies
12K Views
Msaada wakuu, maana nishatembea mwaka mzima, uwa namwaga Oil ya Engine tu.. Pia service gani nyingine natakiwa kufanya maana chombo bado hiko Poa, si mnajua ki gari cha kwanza wakuu, kwaiyo mambo...
4 Reactions
14 Replies
10K Views
Gari ilipata ajari, engine inawaka kama kawaida, hub ya nyuma kushoto imeng'oka na bodi ndiyo kama hivyo. Zipo gereji wanaweza kulirudisha gari kwenye muonekano wake wa awali? Msaada tafadhali...
0 Reactions
45 Replies
9K Views
Ndg wapendwa naomba kusaidiwa juu ya tatizo nililokumbana nalo kwenye gari aina ya nissan vanete, gari hii ilikuwa nzima lkn kumetokea miss ambayo imeshindikana kutoka chanzo ni kwamba pale...
0 Reactions
14 Replies
5K Views
Msaada nawezaje kununua gari online kutoka Japan ikanifikia Tanzania? Je, ni njia salama? Naweza kufanikiwa? Kwa maana naona gari mtandaoni ni gharama ndogo sana ukilinganisha na zinavyouzwa...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Members nimetokea kuipenda hii gari muundo wake nataka kumuagizia wife nauliza kwa yoyote mwenye kuijua vema Je, kwa mazingira ya Tanzania itafaa? Spear zake upatikanaji wake upoje? Kuna mafundi...
2 Reactions
12 Replies
5K Views
Wakuu wangu nawasalimu. Naomba kujuzwa Garage Gani nzuri isio na usumbufu ambayo naweza peleka kiatu changu kilicho pata ajali na kukipaki home Kwa zaidi ya miez kadhaa kwa ajili ya kujichanga...
4 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom