JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Salaam sana jf, Naomba kukuwekea hapa, Magari tofauti tofauti kutoka kampuni mbali mbali za uuzaji magari nje, pamoja na bei zake hadi gari kufika bandari ya hapa Dar es salaam (CIF)...
2 Reactions
52 Replies
11K Views
Habari wadau Naipenda sn hii gari ni roho ya paka na ukiitunza bila kujali kupitwa kwake na wakati utakaa nayo sn na pesa za kutaka gari nyingine ukafanyia mambo mengine, Sasa naambiwa ina...
0 Reactions
17 Replies
4K Views
Wakuu Nina gari yangu Aina ya Suzuki swift hairudi reverse na inatembelea gia moja haichange gia. Tatizo ni Nini?
4 Reactions
34 Replies
8K Views
Wandugu habari za Usiku Hii ni Gari mpya Nissan Nilipeleka gari kufanyiwa Interior Design ikiwemo na dashbord Ila imerudi Taa ya Airbag inablink tuu, nimeuliza nikaambiwa kwa kua iliguswa...
5 Reactions
21 Replies
2K Views
Salaam wanaJf, samahani sana kwa kuwa sina uhakika kama apa ni jukwaa sahihi, ila tuvumiliane na kusaidiana . Ni kuwa kuwa gari yangu corola E100 nataka kuibadili rangi kutoka nyeupe kuwa light...
1 Reactions
11 Replies
10K Views
Kuna kioo cha gari cha mbele.. kilianza kuwa na ufa mdogo.. siku zinavyokwenda ndio ule ufa unazidi kuongezeka. Je, kuna jinsi ya kuzuia Huu UFA usiendeleee.. au kuna jinsi ya kuziba huu UFA?
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Nchi ya Uingereza itaacha kuuza magari yanayotumia petroli na dizeli mwaka 2030! Badala yake itatumia magari yanayotimia umeme (betri). Chini ya mpango huu vituo vya mafuta vitakuwa ni vya...
5 Reactions
18 Replies
1K Views
Wakuu habari ya muda, Niko mbioni kuzichanga na kununua canter ya tani mbili kwa ajili ya shughuli zangu za kibiashara, nikaperuzi bei mitandaoni. kilichonishangaza, canter ya 1998 4D33 engine...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Wajuvi tafadhali. Nikipimo kipi utatumia kujua kwamba shockups zako zinahitaji kuwa replaced?
1 Reactions
13 Replies
7K Views
Hello JF. Leo nakuja na kizungu kidogo Imetoka Call mwaka Jana this year they will stop producing the Toyota landcruiser J200,the generation formed in 2007 to 2020 will then cease. It was...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Tunaomba wanaozijua hizi gari watuambie kwa nini bei yake iko chini sana? Je, ni mbovu au hazina spea hapa Tz Kama hazina shida bora tuhamie Honda maana hali ya uchumi inatisha kwa sasa.
1 Reactions
28 Replies
15K Views
Leo hii sijui Mzukulu nimekumbwa na nini yaani similiki hata Baiskeli au Guta lakini nayazungumzia Magari ambayo sina hata Ubavu wa Kuyamiliki. Lamborghin Mercedes Benz Porsche Rolls Royce
2 Reactions
12 Replies
4K Views
Wakuu niaje Asee moja kwa moja kwenye mada kibongo bongo ukimuona v8 cruiser unaiheshimu ila kuna huyu mnyama lexus lx570 ni wa moto sana kwanzia interior and exterior design. Kuhusu hp...
2 Reactions
28 Replies
6K Views
Baada ya kudumu na kutawala soko la SUV, hatimaye Range Rover wameleta mtambo mpya, sedan. Kitu ambacho hawajawahi kukifanya tangu walipoanza kuzalisha matoleo yao. RRONDO , Mshana Jr, hii ni...
9 Reactions
26 Replies
3K Views
Niende moja kwa moja kwenye mada,nilipaki gari home asubuhi nimeenda job gari nimeiacha iko poa narudi home jioni hii nakuta gari inawasha taa za hazard jirani ananambia toka asubuhi linawasha taa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wakuu sijawah pata hili tatizo kabla, nahisi kuvurugwa kabisa hapa, ni hivi leo kuna mahali nilikuwa napandisha kilima, sasa mvua za leo na huu utelezi ilinilazimu kukanyaga mafuta kwa nguvu...
2 Reactions
5 Replies
3K Views
Hello wakuu, Kama title inavyojieleza, je Arusha au Moshi kuna kampuni inayonunua na kufufua Land Cruiser cars mbovu zilizochoka? Niliwahi sikia sikia kitu kama hicho huko Moshi (if not Arusha)...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Wadau kila mara napitia page ya enhance auto,,Kwakua nazipenda crown, najaribu kuangalia ulaji wake wa mafuta naona wameendika 12km/l,,Pamoja na web page zingine,, Je ni kweli kwetu hapa tanzania...
0 Reactions
55 Replies
13K Views
Habari wadau nina gari ya suzuki jimny, ni manual transmission, Kawaida ukiwa unaendesha na ukifika kati ya speed 70-80 huwa inatetemeka. Ila ukipita 80 na zaidi inatulia na kuwa kawaida, kwa...
2 Reactions
21 Replies
8K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…