JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
wakuu msaada kwa wale wanaofahamu jinsi ta kupata pikipiki used ni model ya DH bk nipeni mbinu tafa
0 Reactions
1 Replies
152 Views
Howo N7 (NX) 6x4 Truck: ni gari la mizigo la kisasa, linayotumika hasa kwa usafirishaji wa bidhaa nzito na masafa marefu. Gari hili linatengenezwa na kampuni ya HSinotruk (Sinotruk...
3 Reactions
18 Replies
490 Views
Habari wakuu,nina gari aina ya Toyota Belta X niki lock kwa kutumia remote yake ina flash taa za indicator mara 1 na nikitoa lock ina flash taa za indicator mara 2 kimya kimya bila kutoa sauti ya...
0 Reactions
2 Replies
96 Views
Habari ya wakati huu wakuu. Mwenzenu nimeamua kuchukua Rumion ila sasa nimekuta kuna toleo la 2007-2008 na toleo la 2010-2015. Haya matoleo mawili nimeona yana tofauti ndogo za muonekano; show...
5 Reactions
61 Replies
10K Views
Naomba uliza dereva wa sgr anasomea kozi gani na inatolewa chuo gani?
1 Reactions
3 Replies
124 Views
Magari ya Hybrid: Uzi huu ni maalum kwa Wasiojua Magari ya hybrid wapate kuyafahamu Katika ulimwengu wa magari, teknolojia ya hybrid imekuwa moja ya mabadiliko makubwa ya karne ya 21. Lakini...
15 Reactions
59 Replies
2K Views
  • Redirect
1 Reactions
Replies
Views
The fourth Generation Toyota Coaster ilitambulishwa rasmi mnamo tarehe 22 December 2016 na kuwekwa sikoni Japan kwa ajili ta mauzo tarehe 23 January 2017. Gari hii inapatikana ikiwa na aina za...
15 Reactions
113 Replies
21K Views
Wakuu, nipeni ufafanuzi juu ya hii gari Kwa matumizi ya bolt inafaa?
0 Reactions
2 Replies
154 Views
Hi guys, natafuta hii seal ya Mazda CX-7 inakaa kwenye oil cooler naomba kama kuna mtu anafahamu zinapopatikana anielekeze tafadhari gari yangu inavuja oil sana. Asanteni.
3 Reactions
16 Replies
677 Views
Wakuu nimefanikiwa kupata pesa milioni 1. 3 nataka pikipiki used boxa yenye plate namba D, hizi HD nafikiri naweza pata kwa akiba hii.. Sasa utaratibu huu sijaelewa vizuri, naomba mwenye uelewa...
2 Reactions
22 Replies
446 Views
Wengi tunazijua gari zinazotumika kwenye mashindano ya FIA, especially ya Formula 1. Magari na team kama Ferrari, Mercedes Benz, nk yanaonesha uwezo wao. Vile vile madereva wa hayo magari, kama...
102 Reactions
132 Replies
7K Views
Wakuu mambo vp? Poleni na hongeren mnaondelea na mfungo, kwa wenye ufahamu na hlii gari yangu ni toyata IST cc 1290 imekuwa ikiishiwa nguvu na kuchelewq kubadilisha gia hasa nikiwa kwenye muinuko...
3 Reactions
16 Replies
492 Views
Harrier old model used au Toyota kluger used.. Wakali wangu ipi unaenda nayo hapa tafadhari..🔥
3 Reactions
5 Replies
338 Views
Nilijichanganya 2022 nikanunua 2009 Subaru forester. Siku nimepeleka service naambiwa eti inatumia filter 2. Huku Coil Tsh 750,000 nikamuuzia boya flani toka Kanda ya Ziwa.
21 Reactions
111 Replies
5K Views
Mwaka Jana nilijaribu kwenda masafa marefu na piki piki ilikuwa BOXER 125 nilienda shinyanga nilitumia masaa zaidi ya 12 maana nilitoka dar es salaam alfajiri nikafika shinyanga jioni kwenye saa 1...
48 Reactions
121 Replies
6K Views
Natumai wote n wazima wa afya… Nisiwachoshe ndugu zangu naomba kufahamu hizi gari zinashida gani? Subaru impreza , 4th Generation year 2012 - 2016. wengine hupenda kuziita impreza new model...
3 Reactions
46 Replies
2K Views
Maeneo ya mbezi beach tangi bovu, Nissan Dualis imekutwa inawaka moto yan imelipuka. Mimi binafsi hii ni dualis ya 4 kupata taarifa imewaka moto. Hizi gari zina shida gani? Halafu hizi ndo sababu...
17 Reactions
171 Replies
21K Views
Habari wakuu Gari yangu imepata changamoto inawasha taa ya check engine, nikamtafuta fundi kwa ajili ya diagnosis, tukapata code p1656 (vvti sensor toyota) fundi akasema ni tatizo la vvti sensor...
1 Reactions
3 Replies
173 Views
Hii ni moja kati ya engine bora kabisa kuwahi kutengenezwa na Toyota. Kumekuwa na engine nyingi katika series ya 1G, iliyofungwa kwenye magari mengi ya Toyota, hasa Chaser, Mark 2, Cresta...
3 Reactions
64 Replies
26K Views
Back
Top Bottom