JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Toyota Crown ni gari maarufu kwa uimara wake, lakini kama magari mengine, inaweza kuwa na changamoto fulani, hasa kulingana na umri na jinsi ilivyotunzwa. Hapa ni baadhi ya matatizo ya kawaida...
7 Reactions
15 Replies
753 Views
Habarini za wakati huu wakuu.. Poleni na Hongereni kwa majukumu mnayotekeleza. Kama hapo topic inavyoejieleza ni gari ipi nzuri na imara ya kumshauri mtu kununua kati ya BMW 3 SERIES na CROWN...
5 Reactions
207 Replies
30K Views
Je wewe huvutiwa na aina ipi? Mimi convertible
3 Reactions
10 Replies
363 Views
Mimi niliendesha gari kutoka Dar, nikiwa maeneo fulani ya Singida, kuna sehemu imenyooka kweli kweli malori mawili na gari ndogo moja yalikuwa mbele. Nilikanyaga mafuta gari ikawa spidi kali...
7 Reactions
21 Replies
1K Views
Watu wa magari, naulizia kwe wenye uzoefu. Kuna Gari inatakiwa Ila ni Left hand...Sasa naulizia kwa wazoefu, je Kuna kampuni bongo zinaweza kubadili Sterling kutoka left side to right side? Kama...
5 Reactions
51 Replies
2K Views
Habari wakuu, Naomba ushauri Wa Mark 11 grande GX 110 wanja yenye engine ya 1G beams 2000 ulaji wa mafuta na pia kama mtu anayo ya 2004 namba D iliyo nyooka tuwasiliane
1 Reactions
21 Replies
2K Views
Wakuu habari, Naomba kujua gari Aina ya mark 11 GX 110 engine 1G-FE vvti inatumia oil lita ngap maana wengine wanasema Lita 4 wengine lita5 na Mimi nimeweka lita4 nimeona kabisa ipo full kwenye...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Wadau, Niko morogoro nakaribia kufanya maamuzi magumu ya kununua gari. Kati ya hizo gari naomba mnishauri ni IPI nzuri? Kuhusu ulaji wa Mafuta najua zinafanana ni cc 2500
2 Reactions
39 Replies
16K Views
Habari wakuu, Naomba experience kwa mtu amewahi kumiliki gari ya kwenye subject line hapo, petrol option. Changamoto yake kubwa (kama zipo) Vitu vya kuwa navyo makini Average consumption (japo...
2 Reactions
5 Replies
246 Views
Wakuu mambo vipi Na uhitaji wa spare Motor ya mlango wa kushoto na na cable yake Noah voxy nitashukuru sana
0 Reactions
2 Replies
97 Views
Nachofikiria ni kuwa kampuni ya utengenezaji magari makubwa Mercedes Benz kwenye ripoti zao watakuwa wanaitambua nchi ya Burundi kama one among their potential customers.
8 Reactions
26 Replies
1K Views
Kwa hali halisi inaonekana kodi za TRA katika uagizaji magari Azina uhalisia kodi inakuwa kubwa kuliko gharama ya gari! Ni nani Mshauri wa Wizara ya Fedha katika swala la kodi je kuna vigezo...
8 Reactions
19 Replies
625 Views
Wakuu, moja kwa moja kwenye mada nomba kujulishwa changamoto na ubora wa Toyota Sienta, Nataka kukanunua kwa ajili ya harakati zangu ndogo ndogo hasa biashara ya usambazaji bidhaa vijijini vip...
3 Reactions
28 Replies
725 Views
Wakuu kwema!?. Msaada tutani, nina gari aina ya Toyota Alteza ina engine ya 3s Yamaha imeua throttle(inajires na kuwasha chek engine muda wote). Wapi naweza pata spea!
1 Reactions
24 Replies
297 Views
Wakuu habari ya muda huu, ukweli toka moyoni nimekua navutiwa sana na gari aina ya Toyota alteza, hasa 4 cylinder engine.. Manual Transmission, kiasi cha kukosa usingizi nikifikiria siku ya kwanza...
7 Reactions
40 Replies
1K Views
Kumekua na ushindani mkubwa sana miaka ya hivi karibuni kwa wamiliki wa bus kati ya kampuni ya Scania kutoka Sweden na kampuni za Kichina. Scania Hizi ni gari ambazo ni himilivu sana kwenye...
42 Reactions
219 Replies
58K Views
Wakubwa mtakumbuka hapo juzi niliwandikia kuhusu xtrail yangu kushtuka shtuka ikikfika rpm ya 40 kwenda 60 hapo n mkanishauri kuwa tafuta plug og na kuna member aliniambia kuna jamaa wanaitwa...
7 Reactions
9 Replies
266 Views
Kinahitajika kichwa (cabin) ya Mercedes Benz ambayo bado ina hali nzuri.
2 Reactions
8 Replies
292 Views
Wakuu habari zenu. Kama kichwa kinavyosema hapo juu naitaji control box ya Toyota duet engine ni EJ-DE piston tatu msaada wenu tafadhali
1 Reactions
2 Replies
124 Views
Back
Top Bottom