JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Ni sababu zipi zinazopelekea kupanda kwa ulikaji wa mafuta?
0 Reactions
0 Replies
170 Views
Habari wakuu, Kuna huyu mdogo wetu kitaani hapa amemaliza chuo miaka kadhaa iliyopita ila yupo home Hana mishe za kueleweka. Sasa Mzee kastaafu na ameshachukua kiinua mgongo. Dogo amemwomba Mzee...
6 Reactions
47 Replies
1K Views
Ni pikipiki aina ya boxer 125, imegoma ghafla tu niliipaki usiku nikazima ila cha ajabu asubuhi imekataa kutoa lock, wataalamu shida inaweza kuwa nini na inasababishwa na nini na je ni kawaida tu...
1 Reactions
14 Replies
275 Views
Watanzania huwa hawanunuzi gari inayokula mafuta mengi hata kama ina ubora wa kiwango cha juu Watanzania wanapotazama gari huwa hawazingatii sana ubora au brand wanachozingatia ni ulaji wa mafuta...
7 Reactions
18 Replies
598 Views
Ndugu zangu habari. Baada ya baadhi ya shughuli zangu kwenda mrama nimeamua kufanya kazi ya taxi mtandaoni maarufu uber. Sasa nimekuja hapa jukwaani kuomba ushauri kutokana na gari...
3 Reactions
8 Replies
241 Views
Wanajamvi naomba tujuzane kuhusu faida ya kumiliki gari hasa kwa watu wa kipato cha chini wakati huo wakiwa na changamoto nyingi na za msingi zikiwakabili ikiwemo kutokuwa na makazi (nyumba) na...
6 Reactions
144 Replies
32K Views
Wakubwa nimenunua gari aina ya nissan xtrail mwaka 2022 mwezi Nov aina ya engine ni MR20 nafikiri kwa wazoefu wa gari engine yake haina tofauti na engine ya nissan dualis ,, nilichoshangaa toka...
2 Reactions
5 Replies
352 Views
Uimara? Ukubwa? Demand? Mechanism? Performance? Anything else? Karibuni wana jamvi wenye knowledge juu ya hili.
10 Reactions
87 Replies
11K Views
Tofauti kati ya Scania G420 na Scania 119 inahusiana na mifano tofauti za magari ya lori yanayotengenezwa na kampuni ya Scania. Scania hutengeneza magari ya lori, mabasi, na magari ya kibiashara...
1 Reactions
3 Replies
217 Views
Safari na Azam Upholstery ni moja kati ya malegendary wachache hapa Bongo kwenye issue ya seat covers na car's interior decorations. Kazi zao zinavutia sana zikiwa mpya. Sasa nataka mtu mwenye...
8 Reactions
14 Replies
959 Views
Naweza kupata wapi KIOO cha mbele (wind shield) kwa gari aina ya NISSAN Serena 1997. tufanye biashara mwenye nacho
4 Reactions
9 Replies
263 Views
Wataalamu wa Magari tuelezeni kwanini watu wengi wamezikimbia Toyota Brevis, hazipo tena mjini, kulikoni! Toyota Brevis zilikuja kwa kasi kubwa sana lakini jambo la kunishangaza wamiliki...
11 Reactions
103 Replies
4K Views
Habari wadau, Ninahitaji Fundi rangi mzuri, nimefanya research kati ya watu 8 katika 10 wanasema nipeleke gari Moshi au Arusha sababu wanajua vizuri kupiga rangi. Je, ni kweli wanapatikana huko tu?
5 Reactions
55 Replies
11K Views
Baada ya kufanya vizuri kwenye sedan yao ya mwaka jana, Xiaomi wamenogewa sasa wameleta SUV. Xiaomi SU7 itaanza kuuzwa hivi karibuni, ikiwa na battery kubwa lente range ya hadi 760 kilometa...
6 Reactions
16 Replies
452 Views
Wakuu. Kwa wapenzi wa pikipiki kwa matumizi binafsi, unapendelea aina ipi? Au umewahi kumiliki aina ipi? Yepi mazuri na mabaya ya iyo aina? Ulinunua wapi na bei vipi? Baadhi ya aina ambazo mimi...
26 Reactions
115 Replies
7K Views
Wakuu heshima kwenu. Mimi ni mmoja kati ya wamiliki wa Pajero IO, GDI. Kwa ujumla ni gari zuri ila linachangamoto zake ambazo nyingi nadhani zinatokana na mafundi wetu mtaani kutokuijua vizuri...
2 Reactions
24 Replies
13K Views
Wadau naomba ushauri juu ya uimara wa Mitsubishi Pajero io , Body na utendaji kazi wa Injini yake. Picha yake nimeambatisha .
1 Reactions
19 Replies
12K Views
Hivi Mitsubishi pajero ni gari nzuri hapa Tanzania kweli?
2 Reactions
19 Replies
4K Views
Kampuni ya magari kutoka China BYD wameungana na kampuni ya teknolojia DeepSeek, na kuinstall AI kwenye magari ya BYD. Hii advanced driver assistance system (ADAS) ambayo wao wameiita God's Eye...
2 Reactions
28 Replies
667 Views
Habari ya asubuhi ndugu zangu. Nahitaji kununua gari yangu ya kwanza lakini napata wakati mgumu kwenye kufanya uchaguzi. Kwa wabobezi wa mambo ya magari ni ipi tolea zuri kumiliki kati ya gari...
6 Reactions
55 Replies
6K Views
Back
Top Bottom