JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Wakuu hongereni na majukumu, ya kujijenga binafsi lakini na Taifa kwa ujumla.. Kwa mara nyingine tena kwenye jukwaa letu pendwa naomba tuangalie muundo wa Toyota Altezza.. Mimi binafsi, napenda...
4 Reactions
37 Replies
1K Views
Sisi huku hatuyajui magari ila tu tunafahamu mitumbwi. Nimekuta watu wanabishana ila hakuna aliyeweza kutoa jibu la kueleweka mada imeanza hivi. **** jamaa yeye aliona gari limekwama katika...
3 Reactions
5 Replies
246 Views
Utangulizi: Kumekuwa na changamoto hasa mtu anapotaka kuuza au kununua gari moja kwa moja bila kupitia kwa madalali (middlemen) suala linalosababisha usumbufu kwa muuzaji/mnunuzi kama vile; gari...
7 Reactions
9 Replies
487 Views
Huwaga inafikia steji watu wanayakatia tamaa magari yao wanaamua kutatelekeza magerejini, majumbani, n.k. Ni sababu ipi iliyokufanya ukate tamaa kulitengeneza gari lako ukaliacha likusanye vumbi...
2 Reactions
4 Replies
265 Views
cyber truck ni gari la umeme la kisasa kutoka kwa kampuni ya Tesla, ambalo limekuwa na umaarufu mkubwa tangu lilipotangazwa. Gari hili linatambulika kwa muundo wake wa kipekee, nguvu zake, na...
2 Reactions
7 Replies
409 Views
Verisa amekua kwenye uzalishaji 2004-2015 na ni moja ya gari ndogo ya kitofauti. Huko Japan wanakiita master of deception yani kukiwa na wageni hakikombi ukoko wa uji kwenye sufuria ila wageni...
15 Reactions
17 Replies
7K Views
Habari zenu wana jukwaa? Mimi kwa sasa ni Mkaazi wa Zanzibar, niliporudi nyumbani nilivitiwa na Muonekano wa Nissan March nikaamua niinunue, ila Marafiki zangu wa karibu wamekua wananilaumu sana...
4 Reactions
10 Replies
4K Views
. Hii ni moja ya sedan za Toyota nzuri kuwahi kutokea, huyu na Crown ni kama wanashare Baba sema Mama tofauti, Hii ndo zile gari unasikiaga zinakopa speed yani zinafika 180 hafu mshale unaenda...
20 Reactions
26 Replies
8K Views
Mi nmeend TRA kukata lessen sasa wanataka EFD kutoka seem nliyosoma nmerudi chuo wanasema izo zilifutika mana toka nimalize ilikua mwaka jana na lessen nmeend kukata mwaka huu naiyo ishu ya tra...
3 Reactions
8 Replies
369 Views
Ilipofika 2002 uzalishaji ukasimama wenyewe wanaita [production halt], Huu ni usimamishaji wa uzalishaji kutokana na kushuka kwa mauzo na kutopokea order mpya. Najua umejiuliza kwanini uzalishaji...
5 Reactions
15 Replies
986 Views
Wakuu habari? Naulizia kwa Arusha, ni garage gani nzuri kwa magari ya aina ya ford (explorer), pamoja na upartikanaji wa spare zake?
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Nissan Patrol V8 ni toleo la juu la Nissan Patrol, ambalo linajivunia injinia ya V8 yenye nguvu na uwezo bora wa off-road. Gari hili linatumika sana katika mazingira magumu na linalotambulika kwa...
0 Reactions
14 Replies
567 Views
Huko Coco Beach, sio mara moja, kuna mwamba anapita pita na Hummer yake ya umeme namba E full kipupwe kama mufindi haigongi. Hana mbwembwe hajaweka personalized number plate. Ikumbukwe chuma...
16 Reactions
61 Replies
3K Views
Inafika kipindi mtu akisikia pikipiki ya TVS au Hero, anachowaza ni zile za bodaboda. Tunajua mnatoa vyuma vizuri tu kwa bei rafiki, lakini kwanini hamzileti Tanzania? Mfano hii pikipiki...
17 Reactions
13 Replies
756 Views
Honda stepwagon,ninavutiwa na muonekano wake . Kama kuna mtu anaitumia humu anaweza kutupatia uzoefu wake na pia changamoto zake kama zipo lakini pia upatikanaji wa vipuri kwa hapa Tanzania...
1 Reactions
7 Replies
255 Views
Toyota Harrier ni gari la kifahari linalozalishwa na Toyota na linajulikana kwa muundo wake mzuri, utendaji bora, na faraja. Toleo la Toyota Harrier lenye jina la "E New Moden" linajumuisha sifa...
1 Reactions
20 Replies
880 Views
Hali si shwari hapa Dodoma! Gari letu (GRG EXPRESS ) kutokea Mwanza - Dar limeharibika na tunasubiri litengemae, lakini hatujui tutafika lini Dar, kwani linaharibika kila wakati na abiria wanasema...
1 Reactions
6 Replies
272 Views
Wakuu habari ya mchana? Nimechoka kutembea kwa miguu, nataka nikavute gari yadi leo. Ni yadi gani ya kuaminika hapa Dar achana na zile yadi kwa kutuuzia magari ambayo wameyatoa Zanzibar.
9 Reactions
94 Replies
11K Views
Kwenye safari niliyofanya kutoka DAR-DODOMA-SHINYANGA-MASWA-LAMADI HADI KISORYA nilifanya test ya kumwaga moto nione hii ndinga ikoje, aisee Subaru ni gari banaa asukuambie MTU. Aliyebuni hizi...
41 Reactions
232 Replies
10K Views
Wakubwa naombeni mtu yeyote au fundi anaeweza nitafutia plug aina hii kwa dar najua mikoani haiwezi patikana Picha nimeweka hapo chini
3 Reactions
21 Replies
398 Views
Back
Top Bottom