JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Wadau nataka kujitupa kwenye hio chuma naombeni ushauri wenu nataka nichukue ya mwaka 2014 yanye engibe code 204PT ina km 110k
0 Reactions
6 Replies
361 Views
Tafadhali wajavi wa mambo mwaka huu inshalaah na ndoto za kudunduliza nipate angalau usafiri vipi gharama za MAZDA CX-5 na au Kluger Thanks in advance.
0 Reactions
6 Replies
520 Views
Wakuu naleta kwenu wataalamu wa magari ninunue gari ipi Kati ya hizo hapo au nje ya hizo gari nilizotaja bajeti ya yangu ni 25-27m
12 Reactions
174 Replies
9K Views
Wakuu narud Tena kwenu kutaka ushauri nyie ndio wataalamu wahizi mambo..nimebaki na machaguo mawili ya gari Mazda CX5 na xtrail new model ninunue ipi Kati ya hizi ambayo itakua economically na kwa...
1 Reactions
14 Replies
948 Views
Jamani naombe muongozo wa hatua za kuchukua napotaka kumiliki gari..!! Ndio umeliki wangu wa kwanza kwa hatua ya gari. Ni kampuni ipi nzuri ya kuanzia, Toyota, Subaru au nyinginezo ambazo...
2 Reactions
16 Replies
471 Views
Gari kua na tinted ni jambo la msingi sana. Inaongeza privacy na usalama, inapunguza joto (heat na UV rays) na kuongeza "muonekano" mzuri. Sasa hawa wawekaji wa Instagram wanatuwekea sawa tint...
2 Reactions
26 Replies
899 Views
Wakuu nimeichek hii nimeona Kama itanifaa kwa ninapoishi kuna makorongo Sana. Vipi Spea zake? **Correction: Speak= Spea
2 Reactions
57 Replies
10K Views
Msaada wakuu,nataka ninunue gari used iliyosajiliwa zanzibar,ije bara,ya mwaka 2004,cc 1490,bei mil 5,,ushuru tra sh ngapi,na usafirishaji sh ngapi,mpaka naanza kutumia dar baada ya kusajili..
3 Reactions
31 Replies
3K Views
Msaada wadau, Kuna Gari nimeipenda ipo zanzibar na muhusika anasema Gari imekaa Miaka 2 kule, ni cc 1800 Toyota celica, nilipomuuliza kuhusu kodi akasema haizidi 2m kitu ambacho nimepata mashaka...
2 Reactions
24 Replies
9K Views
Salaam Wakuu, Kuna gari plate namba Z736 JY, Bei sh 7M. Itanigharim jml Sh ngapi, pia itakuw plate namba gani. Kuifikish Dar? Asanten. Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
2 Reactions
13 Replies
5K Views
Habari za majukumu wapendwa. Kuna jamaa yangu anatarajia kununua Vits kutoka Zanzibar kuileta bara,kuna gharama gani ajiandae kuzilipa?Wenye ujuzi na mambo haya msaada tafadhali.
0 Reactions
27 Replies
13K Views
Habari zenu wadau, Kwa wale wazoefu ambao wameshwahi kununua gari Zanzibar na kuleta Dar. Naomba kujua process zake zipoje. Natanguliza shukrani.
2 Reactions
16 Replies
5K Views
Nimeokota katoyota vitz namba B Injini na body ni nzma hadi nimeshangaa jamaa sijui alikuwa anaitunzaje still nawashauri.unaponunua gari usikimbilie.namba kagua ubora wa injini na body kuna gari...
15 Reactions
31 Replies
2K Views
Super charge ni kifaa kinachofungwa kwenye exhaust manifold kwa ajiri ya kuongeza nguvu ya utoaji wa hewa chafu nje ya injini baada ya kuunguzwa kwa mchanganyiko wa hewa na mafuta.Lakini Turbo...
3 Reactions
7 Replies
252 Views
DEFLECTOR :Hii ni sehemu ya kichwa cha piston iliyochongoka au kujitokeza kwa juu. ZIFUATAZO NI KAZI ZA DEFLECTOR KATIKA PISTON. Kuwezesha mchanganyiko uliokwisha kuunguzwa kutolewa...
0 Reactions
0 Replies
69 Views
Wadau Nataka kununua kigari cha kupigia misele hapa mjini. Yaani Nataka kila niendapo iwe ni mwendo wa kukanyaga Gia Tu. Je kuna gari zaidi ya Vitz na Passo Kwa ulaji mdogo wa mafuta.?
2 Reactions
14 Replies
978 Views
Wakuu hii ni passo ya 2 kumiliki, ya kwanza nlimvua mtu nikaa nayo km miaka 4 nikauza nikanunua mpya sasa ninayo mwaka wa 5 unaelekea, mimi ni heavy user nasafiri nayo sana hadi km 1300 non stop...
24 Reactions
80 Replies
12K Views
Kwa miaka mingi nimetumia Toyota nilianza na Rav4, Passo, Raum, Noah, Spacio, Kisha nikarudia Noah ambayo niko nayo muda mrefu kuliko gari zote hizo tangu 2019. Natamani sasa kupata Gari nyingine...
5 Reactions
13 Replies
1K Views
Naomba kujuzwa zaidi kuhusu Toyota Passo Naomba kufahamu ubora na changamoto za Passo. Picha: Toyota Passo
5 Reactions
48 Replies
7K Views
Back
Top Bottom