JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Hello fellow Subaru Fans, Natumaini andiko langu hili linawakuta mkiwa na afya nzuri na mkiendelea na mapambano ya kutafuta riziki. Kusudi LA kuanzisha Uzi huu ni kujikita moja kwa moja kwenye...
20 Reactions
125 Replies
21K Views
Nimekutana na interview moja YT, billionaire Mo akifanyiwa na YouTuber (@AhmadMaamoud Show) ambapo Mo amesema alinunua Bugatti Chiron (hajataja model year) kwa $ Mil 4 lakini alivyoenda kuicheki...
11 Reactions
49 Replies
2K Views
Ninaplan ya kuanza kujirecord nikisimulia hadithi au matukio. Hii audio hapa nilikuwa natest tu nione ninavyosikika. Nimeamua kushare na nyinyi mnichane nafaa ?? Niongeze nini??? Nipunguzie...
0 Reactions
2 Replies
309 Views
VITU VINAVYO AMUA ULAJI WA MAFUTA KATIKA GARI UKIACHA CC: 1.Gear box aina ya gear box gari inayotumia inahusika mno na ulaji wa mafuta mfano gear box ya manual ina CHANGIA ulaji mkubwa wa...
9 Reactions
7 Replies
655 Views
Wakuu. Katika segment ya compact executive cars tunakutana na wakali wengi sana, mfano BMW 3 series, Mercedes Benz C Class, Audi A4, Volvo S60, Genesis G70, Lexus IS nk. Yote tisa, hii...
14 Reactions
43 Replies
2K Views
Wakuu nataka kufika lushoto kwenye shule inaitwa ST. Mary Mazinde juu.
1 Reactions
0 Replies
178 Views
Kwema wakuu, gari tajwa hapo juu imejilock, mara yamwisho kuitumia ni juzi ilikuwa fresh tu, jana wakati nataka kuondoka ikawasha taa ya engine hivyo nikaona nisitumie maana sijui tatizo, leo niko...
11 Reactions
41 Replies
3K Views
SABABU ZA GARI YA DIESEL KUA BEI JUU KULIKO PETROL Na Kimomwe Motors (T) Ltd- Waagizaji Magari 1. Uzito wa mafuta ya Diesel unaopelekea gari kutumia mafuta chini zaidi kwa wastani wa asilimia 15...
8 Reactions
20 Replies
7K Views
Lenco BearCat wanatengeneza armored vehicles kwaajili ya majeshi mbalimbali Duniani, ikiwemo SWAT. Kwa sasa Jeshi la Polisi wameleta vyuma ivyo kwaajili ya kurahisisha kazi zao. Model...
6 Reactions
24 Replies
1K Views
Habari za jioni members naomba kufahamu kusu madaraja ya leseni na aina ya magari ambayo unaweza kuendesha Kama ifuatavyo: Class B Class C Class D Class E Natanguliza shukrani kwa mwmbers ambawo...
3 Reactions
57 Replies
26K Views
Habar wakuu? Ninauza na Kusupply spare za generator , Air compressor and Earth moving machine. Upande wa generator nna spare za 1. Perkins engine 2. Yanmar engjne 3. Deutz Enigine 4. Mitsubish...
1 Reactions
0 Replies
84 Views
Wataalamu wa magari huwa wanashauri kuepuka matumizi ya gesi kwenye magari na badala yake ni Bora ununue hybrid car ili ufurahie maisha. Tumeona wengi wamefunga CNG eti Kwa kuepuka gharama za...
13 Reactions
69 Replies
4K Views
BMW X1- Kwa ufupi Na KIMOMWE MOTORS (T) LTD- Waagizaji Magari Utangulizi- Iliingia sokoni kwa mara ya kwanza 2010 ikichukuliwa kama mdogo wa BMW X3 iliyotangulia sokoni tangu 2004. Injini+...
3 Reactions
18 Replies
5K Views
Natumai mpo vyema nyote wanajukwaa.Naombeni msaada kwa mwenye uzoefu na hivi VIBIRITI a.k.a BABY WALKER😁😁 Toyota vits ya 2013 engine 1KR CC 990. Natafuta kigari cha kuagiza Japani ila nimezurura...
5 Reactions
24 Replies
800 Views
Habari wadau napenda kujua hii harrier new model 240G vipi kuhusu bei za spea na ulaji wa mafuta. Nimezipenda nataka niichukue. Naombeni ushauri wenu
1 Reactions
49 Replies
8K Views
Nakumbuka mwaka 2019 nilikuwa na Nissan Wingroad niliagiza kutoka Japan, nilikuwa nafanya kazi mkoa wa Ruvuma kijiji cha Namtumbo. Kijiji kizima kilikuwa kinaishangaa gari yangu, ilikua unique...
46 Reactions
192 Replies
19K Views
5 Reactions
14 Replies
448 Views
Wadau nimevutiwa na muonekano wa hii gari nataka nijipange niagize, naomba maoni kwa wanaujua ubora na udhaifu wake tafadhali. Ina CC 1990 na ni ya mwaka 2005
0 Reactions
39 Replies
12K Views
Habari, Naomba kuuliza mtalaam anejua malori aina ya Daf FX 2019 na Man TGX 2018 26,500/26.460 BLS 6×2 MIDLIFT. Kuhusu ubora wa hizi gari kiutendaji kazi pamoja na gharama za spea zake na je...
2 Reactions
6 Replies
260 Views
Back
Top Bottom