JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Habari wakuu, Kuna kibaby walker niliagiza, sasa kimefika. Nimeongea na kampuni ya clearing wamenipa hizi gharama ukiachana na kodi ya TRA ambayo naweza kuona kwenye system ya TRA, ningependa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wakuu, Kuna kibaby walker niliagiza, sasa kimefika. Nimeongea na kampuni ya clearing wamenipa hizi gharama ukiachana na kodi ya TRA ambayo naweza kuona kwenye system ya TRA, ningependa...
0 Reactions
0 Replies
845 Views
Habari wakuu, Kuna kibaby walker niliagiza, sasa kimefika. Nimeongea na kampuni ya clearing wamenipa hizi gharama ukiachana na kodi ya TRA ambayo naweza kuona kwenye system ya TRA, ningependa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari zenu wanaJF, nina swali kidogo kama heading hapo juu. Je kuna athari zozote kuendesha gari (automatic) ukiwa umechomoa funguo? Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Kuna jamaa yangu kanunua gari ndogo, odometer inasoma elfu ishirini na kitu(20,6..) Gari imetengenezwa mwaka 2003/02 na imeingia TZ mwaka 2016. Sasa nilivyoiona hyo gari inamuonekano mzuri bado...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Ndugu wana Jamii Garage, naomba msaada hapa kwa mwenye ufahamu wa hili tatizo, nawezaje kutatua tatizo la gear shifter kung'ang'ania mwenye P (parking) na haikubali kuhama kwenda kwenye D, N, L, 2...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Nimemaliza Diploma ya Magari, (Automotive Engineering) Ila natamani sana kuendelea kupanua zaidi ujuzi kwenye ufundi wa umeme wa magari! Nipo Dar es Salaam Temeke Keko juu, tafadhali kama kuna...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
bei ni millioni 27 tu kwa mawasiliano zaidi nicheki 0783339630 Sent from my iPhone using JamiiForums
0 Reactions
5 Replies
8K Views
Wakuu natumai mko poa kabsa na mnasonga mbele kimaisha. Napenda muundo wa passo Racy lakini too bad sion thread yoyote ikizungumzia hizi gari. Wengi mnaongelea passo 3piston na 4. Mnaonaje...
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Wadau, kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Ninajitahidi kupunguza uzito wa gari yangu toka 960kg angalau ifike 600kg! Nia na madhumuni ya kutaka kupunguza uzito, kwanza ni kuiwezesha gari iwe...
2 Reactions
48 Replies
5K Views
Hakuna dalali nauza mwenyewe. gari ni nzima haina tatizo lolote na iko kwenye hali nzuri kabisa Namba ni DDJ .... Million 28.. Karibuni kwa maelezo zaidi tuwasiliane, 0713220021
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Heshima mbele wakuu, Nna shida na fundi mzuri wa gear box, aina ya gari ni Mercedes Benz, W211, E-Class ya 2003. Nahitaji ushauri wake, ili nijue kama gearbox inatengenezeka ama ninunue ingine.
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Nnaomba kwa wanaouza spare za subaru tuwasiliane, nnatafuta side mirror ya kulia subaru impreza 2009 colour grey mecca, cc1490... 
0 Reactions
2 Replies
35K Views
Habarini. Mwezi Huu mwishoni Nataka kutafuta hiace ya Hali Nzuri bila kuagiza starti langu ni gari isiwe imeguswa kwenye Engine, gearbox na vitu vingine. Naomba kuelewesha Baadhi ya vitu...
0 Reactions
25 Replies
8K Views
Kuna mtu anataka kuniachia toyota wish lakini ina injini ya d4 na nimewahi kusikia kuwa hizi engine ni shida kidogo hebu naomba ushauri
0 Reactions
3 Replies
3K Views
wenye uzoefu na magari nisaidieni, nahitaji kununua gari my concern; 1. iwe na consumption ya mafuta kiasi... 2. mahali ninapoishi na ofisini ni km 20 kwenda 20 kurudi kila siku 3.most wkends...
0 Reactions
93 Replies
27K Views
Naomba kujua gharama za kuagiza nje gari aina ya suzuki swift, pamoja na upatikanaji wa spea zake.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wadau, samahani naomba ka ushauri kwa wale watalaam wa magari, mimi na corolla E110 speed 220km/h ni muingereza version ya corolla. Nataka maujanja ya kuifanya inatoa sauti kama...
0 Reactions
92 Replies
18K Views
Wadau nisaidieni hivi hizi bus aina ya eicher zinauzwa bei gani??
0 Reactions
31 Replies
24K Views
Habari wana JF! Nafikiria kununua Mitsubish Challenger yenye 3490cc toleo la 1996-2000. Nimepitia kwenye internet na kujuwa kuwa yatembea wastani wa km 7.1/L. Naomba kufahamu service yake...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…