JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Habari za jioni wakuu! Nahitaji spear mbalimbali za gari aina ya Toyota 1 st nauliza kwa dar ni wapi naweza pata kwa bei nafuu Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ndugu yangu anahutaji gari. Kati ya RAV4 na Harrier anahitaji ushauti
1 Reactions
32 Replies
10K Views
Wakuu, Niliagiza gari, ndio namiliki gari kwa mara ya kwanza hivyo vitu vingi bado ni mshamba hivyo nahitaji ushauri wetu mniongoze. Wakati naagiza gari nilishaangalia makadirio ya kodi kwenye...
0 Reactions
28 Replies
5K Views
Habari wakuu, Humu ndani kuna wajuzi wengi wa magari hivyo naamini mtatoa ufafanuzi wa kina kuhusu haya magari ya aina mbili. 1. Nahitaji kufahamu stability nacomfortability ya Subaru Legacy B4...
3 Reactions
8 Replies
5K Views
Kwa yeyote aliyewahi kununua gar kwa kuagiza Japan naomba msaada gari ambayo inauzwa Japan Dora 3000 mpk ikafike kwangu inaweza kugharimu tshs ngapi kwa kutumia kampuni ya be fowarded
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kama kichwa kinavojieleza hapo juu nahitaj iyo kitu kwa mwenye nayo tuwasiliane au anaejua wanapouza msaada kama picha inavosema hapo
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ni ule ungaunga wa kwenye exhaust pipes.. Mnapata changamoto gani? Ni sababu zipi zilifanya ukatoa kwenye garu yako. Yangu nilitoa kutokana na gari kukosa nguvu na ilionekana iliziba due to plus...
0 Reactions
11 Replies
7K Views
Mwenye kuijua hii gari mark x Zio hasa durability
1 Reactions
10 Replies
4K Views
Gari ina matatizo yafuatayo yaliyotokea ghafla 1. Taa za dashboard haziwaki ukiweka switch on hata gari likiwaka 2. haipig honi 3. ukiwasha indiketa haioneshi chochote 4. Ukikanyaga breki...
0 Reactions
15 Replies
7K Views
Naombeni mnijuze bei ya engine ya pikipiki 600cc aina yeyote ile ya pikipik mm nashida na Engine ya 600cc tuu
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Rangi gani zinaruhusiwa Tanzania kwenye headlight za gari? Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
0 Replies
654 Views
Habari wadau, kama kichwa cha habari kinavyoeleza, naomba kujulishwa fuel consumption ya Toyota Ipsum kwa mdau yeyote anaeijua vizuri. Pia naomba maelezo zaidi kuhusu gari hii (mazuri na mabaya...
2 Reactions
28 Replies
15K Views
Kwa aliyewahi kuagiza gari japani anisaidie hivi gari inayouzwa japani Dora 3000 mpk ikafike hapa kwa kutumia kampuni ya be fowaed inaweza kuchukua tshs mpk inifikie mlengwa
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Location: Arusha Bei:40m (negotiable)
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Wadau Kwema?! Samahani kama kuna mtu anafahamu wa hizi gari. Kuanzia Uimara wake, Ulaji wa mafuta, upatikanaji wa Spear zake, comfortability yake n.k. Nna mpango wa kuagiza kutoka Japan so kama...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ndugu zangu nawasalimu humu, Kama mada inavyojieleza hapo juu, ni kweli kiasi cha hiyo pesa naweza pata ka ndiga ka kuzugia au nijazie kidogo? Aina ya gari ni Toyota Run x, Allex, IST, Raum au...
1 Reactions
57 Replies
11K Views
Wataalamu wa magari naomba msaada wa kitaalamu, nina gari tajwa hapo juu, ni mara yangu yakwanza kuimiliki sasa umefika wakati nahitaji kubadilisha hydrauric ya gia box, niliponunua na kumpelekea...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Kuna ndugu yangu kaagiza gari imefika hadi dar kaambiwa hajalipa inspection haelewi chchote alimuomba mtu tu amuagizie mana ake ni nini na hua utaratibu ukoje hadi gari ikufikie mana hadi sasa iko...
1 Reactions
10 Replies
4K Views
Nnn
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom