JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Kuna ndugu yangu kanitumia hizi screenshots bila maaelezo ya ziada. Nimejaribu kutafuta kwenye media husika pasipo mafanikio. Ila naamini hapa sitatoka kapa. Natanguliza shukrani
0 Reactions
12 Replies
2K Views
wadau nijuzeni oil namba ngapi inafaa kwa 1kz engine? nataka nilijari sana gari langu. niko mwanza
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Leo nimekamatwa na traffic police nakuandikiwa risiti nilkalipe elfu 30 kisa rangi ya gari yangu kwenye bonnet imepauka. Nilipomuuliza kupauka kwa rangi kunahatarisha vipi usalama wangu na...
3 Reactions
13 Replies
4K Views
Nahitaji rim 5 za landrover freelander size 16 kwa haraka mwenye nazo tuwasiliane . Asanteni.
0 Reactions
0 Replies
639 Views
Wana JF apend kufahamu magari ya kijapan yenye kutumia mafuta na umeme hapa bongo kama yapo na uendeshaji wake (gharama) za kuyafanya yaendelee kuwepo barabarani ikoje.
1 Reactions
12 Replies
4K Views
Wadau naomba kujua source ya gari hii kuchemsha ikiwa maji nilikagua na kila kitu kilikuwa vizuri?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
wakuu kama kichwa cha habar kinavosema naomba mwenye kufahamu bei ya scoote al maarufu batavuz huko zanzibar naomba anijuze nataka niagize kimoja
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nahitaji Gear box ya gari aina ya passo cc990 ina piston 3 km kuna mt anayo anicheck kwa namba 0713851751
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Mtaalamu wa umeme wa magari 'Morogoro kwa matatizo ya umeme wa magari tucheki! Kwa msaada na kwa huduma pia kwa matatizo ya Taa!'starting system'sensors' zaid kwa matatizo na namna ya kuclear...
0 Reactions
10 Replies
6K Views
Wadau wa jf kwema? Naweza pata gari aina ya toyota passo yenye namba D kwa bei ya tsh milion 4? Yenye cc900? Naomba kupokea ushauri na mawazo kutoka kwenu ni mgeni kwenye maswala ya magari
1 Reactions
37 Replies
10K Views
Honda ace cb 125vs boxer bm 150 ipi bora kwa usafiri binafsi au matumizi binafsi si kwa biashara
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Habari wanajamiiforums, Nina mpango wa kuagiza toyota IPSUM toka japani na gari nimeshalichagua ila gari yenyewe imeongezewa mabampa kama mishale kwenye picha inavyoonyesha. Mapampa haya...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Salaam wakuu, Naomba tubadilishane ufahamu juu ya gari za aina hii. Nahitajj kumiliki moja, naomba kufahamu bei imesimamaje hv sasa kwa used toka Japan au uingereza. Vipi kodi zetu hapa kwa...
1 Reactions
32 Replies
13K Views
habari zenu wakuu, naitaji kumiliki gari kwa mara ya kwanza na nimetokea kuzipenda gari aina ya ford fiesta au focus ya mwaka 2005 kushuka chini. kwa wale wazoefu wa magari naomba kujua kuhusu...
0 Reactions
11 Replies
5K Views
Habari wakuu, Nafikiria kuchukua Toyota landcr prado kama aina inayoonekana kwenye picha hapo chini. Naomba mnipe taarifa zake juu ya ulaji wa mafuta na uimara kwake kwa ujumla.
1 Reactions
10 Replies
7K Views
Hello wanandugu zangu ,Kwa wale ambao wanataka kununua Gari aina ya Toyota Voxy wawe wanajua hili Jambo ,Ni ngumu sana kuja kuiuzaa ,Yaani mafundi wanaikandia sana sana wanasema eti inaharibika...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wakuu, naomba kuuliza kwa watu ambao waliwahi kupata matatizo ya gear box kuslide, je mliweza kufix gear box zenu hizo hizo au mlinunua gear box mpya, na kama mlibadili vifaa vya ndani...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu. Wakuu naomba tueleweshane kwenye hili,ni kama macho yangu yameshazoea kuona fundi anayejiusisha na magari,pikipiki na vinavyovanana na hivo kuwa ni WACHAFU. Sisemi ni wote...
2 Reactions
15 Replies
4K Views
Habari wanajamii!, Naomba ushauri nini nifanye kutatua tatizo kwenye gari (nissan x trail). Nilibadilisha crankshaft position sensor recently, ila baada ya hilo zoezi, check engine light ipo on...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Mnisaidie, ni kitu gani hiki na kazi yake ni nini. Ni chekundu kiko kwenye gari za kijapan.
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Back
Top Bottom