JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Habari wana jf haya ndio magari yangu mawili nnayo yapenda na ninatamaninkuyamiliki pale nitakapotembelewa na pesa. Magari hayo ni kama nilivyoweka picha zake hapo chini pamoja na bei zake za ku...
1 Reactions
41 Replies
6K Views
Naomba mwenye kujua naweza wapi pata wind screen ya Nissan Serena model KBNC-23 YA 1997
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu,ninahitaji Mlango wa kulia(wa dereva) wa Toyota Spacio New Modeal ya mwaka 2005. Napenda kuelekezwa sehemu ninayoweza kupata kwa hapa Dar Es Salaam na kama vipi ningependa kujua una-cost...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu kwa mwenye uelewa, vipi kuhusu gari hii upande wa durability, fuel consumption and the like
1 Reactions
29 Replies
12K Views
Wadau naomba kufahamu kuhusu gari aina ya Toyota Brevis, Engine D4 vvti. Je ziko imara au zina matatizo gani haswa na matunzo yake.Ahasentini
1 Reactions
18 Replies
10K Views
Wadau vipi, Gari langu lilitoboka gia box sasa imeenda kuzibwa gari haiwaki kila ikipigwa stata haiwaki betri ipo poa. Naombeni ushauri wenu tatizo linaweza kuwa ni nini? Kuna fundi wa wiring...
0 Reactions
10 Replies
6K Views
Wataalamu tafadhali pitieni hapa. Ni zipi zinazoweza kuwa sababu za gari ya petrol kuanza kutoa moshi kwenye ekzosti? Moshi wenyewe unatoka kidogo tu na siyo mfululizo bali wakati fulani tu kama...
0 Reactions
41 Replies
22K Views
Habari za wakati huu! Siku ya jana nmeona tangazo la pikipiki za umeme (electric bike) zinazouzwa jijini Dar es salaam. Nimefurahishwa kwa sababu inaonesha tunaenda na kasi ya mabadiliko...
3 Reactions
33 Replies
10K Views
Wakuu salaam. Gari lipi linafaa kwa safari za hapa mjini,kutoka king'azi shule hadi posta kila siku. Bajeti yangu ni 9mil na nategemea kuliendesha kwa maisha ya mshahara sina chanzo...
0 Reactions
75 Replies
11K Views
Jamani wakuu mwenye shida ya dereva mwenye uzoefu wa zaidi ya miaka 5 kwa safari za hapa Mjini au Mikoani nipo hapa.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Gari langu ni automatic. Nimegundua kuwa ninapokuwa barabarani high speed inachelewa kuchanganya gia, Tatizo hili limeanza kama wiki mbili sasa, na mara ya mwisho nilitoka Dar kuja mkoani, nikiwa...
1 Reactions
11 Replies
9K Views
Wakuu naomba kuliza kwa dar hapa garage nzuri ya hii gari ni wapi mana sizionagi kwa hawa mafundi wetu wa chini ya mwembe...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakuu habari zenu, Gari langu juzi nimeshusha giabox kwenda kuziba palipotoboka, baada ya kurudisha giabox gari imegoma kuwaka.Ikiwashwa injini inazunguka ila inakataa kuchanganya. Nimejaribu...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habar yana jamvi, kama mada inavojieleza hapo juu, gari yangu inawaka taa ya check engine kwa muda mrefu sasa, baada ya kufanya Diagnosis imeoneka kuwa VVT system haipo vizur/VVT SYSTEM...
0 Reactions
0 Replies
722 Views
Habari ndugu zangu hope mko poa Na buheri Wa afya ..ndugu zangu samahanini sana me Mgeni Wa magari kwenye pita pita zangu nimeona GARI ya Audi TT 2011 iko poa sana INA cc 1980 nimeipenda Na very...
0 Reactions
14 Replies
5K Views
Why it is recommended to switch off Automatic Identification System AIS when an oil tanker is secured in the oil terminal?
0 Reactions
1 Replies
787 Views
Wakuu Heshima. Katika pitapita huku na kule ningehitaji tufahamishane Mawili matatu. Je ni gari gani za Ama Europe au America ambazo kwa Bongo ukiwa nayo huwezi jutia sababu spare zipo kana...
0 Reactions
45 Replies
12K Views
Habari? Sina hakika kama kuna uzi unao elezea hili. Magari haya tunayo tununua kutoka Japan nk. Mara nyingi huwa tunakuta funguo maja tu. Lakini naamini kuna mahali funguo ya pili huwekwa /...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari ndugu zangu hii GARI sichoki kuitamani nakuiwaza kichwani kila mda cc 2000 ni mini sports car pia nilivyosoma inafaa Na rural roads nilikuwa nauliza gari za engine za ivi vipi wese yake?Na...
0 Reactions
1 Replies
864 Views
Habar zenu wanajamv Baada ya kujichanga kwa muda natarajia kuagiza gar naombeni msaada anaejua hii gar vzur pmoj na specification zake,gharama zake mpka unaitoa bandarini Msaada wenu wa haraka...
3 Reactions
24 Replies
3K Views
Back
Top Bottom