JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Habar Wana JF, ningeependa kujua Kama kuna mahala au yard ya Magar, napoweza kupata na kulipa kwa awamu kid go kidgo kwa riba, nahitaj Sana usafiri niko Arusha.....maximum 7 million. Asanten wakuu
1 Reactions
6 Replies
4K Views
Wanajamvi naomba msaada gari langu aina ya premio old model injini yake ni 7A ilikuwa inatoa moshi mwingi nikikanyaga moto moshi mwingi sana nikaenda kwa fundi kaniambia ring piston nikabadilisha...
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Habarini za jioni wapendwa, Mmoja kwa moja bila kupoteza muda naomba niende kwenye mada. Naomba mwenye uelewa kuhusu TOYOTA BREVIS yenye cc 2490 aniambie inakulaje mafuta? Yaani nataka kujua...
1 Reactions
72 Replies
27K Views
Kuna gari naona zina antena nyingi sana. Huwa zinawekwa kwa kazi gani
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Habari wanachama wote wa jamii forums na viongozi wote kwa ujumla. Naamini jamii forums ni mtandao bora wa kitanzania katika kujua habari mbalimbali katika jamii na kukufanya kuwa mmoja wapo wa (...
1 Reactions
12 Replies
4K Views
Heshima yenu wana JF. Nimekuwa nikijiuliza swali hili mara kwa mara na sijapata majibu sahihi. Mwanzo niliponunua gari miaka minne iliyopita nilikuwa naona gari inachanganya haraka sana...
1 Reactions
30 Replies
17K Views
Nataka kusafiri next month kwa kutumia usafiri binafsi gari aina ya Noah old model. Kwa mwenye uzoefu snipe makadirio ya mafuta kiasi gani nitatumia kutoka Dar es Salaam hadi Mbeya. Please.
0 Reactions
23 Replies
9K Views
Wanajamvi, Gari yangu aina ya Toyota Noah, enine yake ni 1AZ, baada ya kukagua maji na oil niliiendesha mita kama 50 hivi nikasimama ili niingie dukani, kabla sijaizima ikazima yenyewe. Baada ya...
0 Reactions
15 Replies
6K Views
Habari zenu ndugu zangu ..naomba kuuridha kwakuwa mie Mgeni Wa magari nimetokea kuipenda Audi TT ya Mwaka 2011 cc1989 kama sikosei location IPO Yokahama Japan hii GARI adi inafika Tanzania port ni...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau kama ambavyo uzi unasomeka, gari yangu inawasha taa ya check engine, sometimes taa ya ABS pindi ninapotembea Km 5,6--, namtafuta fundi mwaminifu na mjuvi wa kurekebisha hizi taa au garage...
1 Reactions
9 Replies
7K Views
Wanajamvi nataka kuagiza gari yenye cc chache ili nisipate mawazo kwani nakaa bagamoyo na nafanya kazi mwenge. Nahitaji kuagiza gari dogo na choice yangu ni toyota cami au corola. Naomba ushauri...
0 Reactions
125 Replies
49K Views
Wadau,nina nissan caravan ya petrol inafanya kazi ya usafirishaji.Dereva analalamika inakula mafuta sana.nimepeleka kwa mafundi wamekagua maeneo mengi hawajaweza kubaini tatizo.Wamebadili...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Hello GT. Naona hizi model mbili za Landrover zipo safi sana .Nafikiria sana kwanini matajiri wa Tanzania hawazipendi kuzinunua Au zina shida ? Kwa ndani utafikiri uko kwenye ndege ,Zipo chache...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari wakuu naomba kujua streghth na weaknes za gari aina ya toyota cami.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari za masiku wanaJF! Ni mda mrefu kweli sijaskika hapa, nimekua "sabbatical" yaani likizo ya kujiongeza. Mda huu umekua wa faida sana kwangu kw kua nimepata masomo kuhusu sekta mbalimbali za...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
WanaForum habari zenu. Nimegiza gari kutoka Japan Mark x/2005 na ipo karibu na kuwasili. Nahitaji kujua (from technical point of view) nini natakiwa kufanya kabla ya kuiingiza gari barabarani...
1 Reactions
19 Replies
4K Views
Wadau, Kama kichwa cha habari kinavyosema. Nanunua magari yaliyogongwa ya aina zifuatazo:- Toyota Hilux Toyota Surf Rav 4 Old Model Isuzu Wizard Suzuki ya aina yoyote Gari nyingine zinazofanana...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Watalaam, nimemtaja Chief Mkwawa sababu alinisaidia kupata Amazone fire Stick. Sasa nina mdogo wangu anataka kuninulia mida hii Roku au Chrome cast UK, Manchester yaani nitayochagua. Imebidi...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Poleni na majukumu ya leo. Ningependa kujua kuhusu matatizo ya Mitsubishi pajero mini kwa sababu nimeona wengi wakiisema vibaya. Kuna ambao wanadai ulaji wa mafuta, wengine gear box na wengine...
0 Reactions
15 Replies
8K Views
Wadau temperature gauge inafika katikati gar ikiwa Ipo parking Na ikipanda mlima,nikianza kutembea let says peed 60+ gauge inashuka,je inaweza kuwa in tatizo gani?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom