JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Habari wakuu, naomba kujua zaid kuhusu hii gari Ractis, matatizo yake na uzuri wake. Nmetokea tu kuipenda kwa kua ina space kubwa ndan. shukrani.
0 Reactions
20 Replies
9K Views
habari wakuu, naomba kujua ubora wa gari aina ya mercedes benz E class hasa ya mwaka 2002-2004 na je zipo za 4 cylinder?? na toyota premio 2005
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau nataka kununua gari mitsubishi io. Vp ulaji wa mafuta spea ya petrol na diesel ipi nzuri? Naombeni ushauri tafadhali.
0 Reactions
0 Replies
867 Views
WADAU, Nina gari langu sasa ambalo linatembea lilikua lime park kwa muda mrefu saana lipo poa, ila lina shida inayonisumbua. Taa ya check engine huwa inawaka hasa nikiendesha speed walau ya...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wataalamu wa offroad. Leteni maoni yenu.
0 Reactions
31 Replies
5K Views
Wanabodi, Nina gari langu sasa ambalo linatembea ila lina shida inayonisumbua leo miezi mitatu tangu lianze na kila ninapolitatua halitatuliki. Taa ya check engine huwa inawaka hasa nikiendesha...
0 Reactions
60 Replies
13K Views
Wakuu habari. Wengi wetu tunanunua magari used kutoka nje. Hayo magari yanakuja yametembea vya kutosha tu. Mengie hadi kilometa 60,000 hadi 150,000. Ila cha kushangaza ukiyaona bado mapyaa kwa...
4 Reactions
11 Replies
4K Views
Kwa nini watu wanachanganya hivi vitu? Utakuta mtu anakupigia kelele barabarani et oil inavuja wakati sio, au lengo lao ni nini?
0 Reactions
0 Replies
980 Views
Habari wakuu natafuta Fundi gari, Gari yangu ni harrier inatatizo kwenye mfumo wa oil,mwanzoni oil ilikua haipandi kabisa na taa kwenye dashboard inawaka.ikawa inapiga kelele,nilibadilisha oilpump...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Good news for the buyers of used cars from Japan.Beforward has added PayPal as its form of payment. This means that anyone now can buy a car online confidently.
1 Reactions
9 Replies
38K Views
Habari za jioni wadau Mwenye uzoefu wa magari haya naomba anidadavulie kidogo, lipi ni bora kwa matumizi ya kawaida ya nyumbani nataka niagize toka Japan (the strengths and weaknesses of each...
0 Reactions
13 Replies
7K Views
Toyota Mark X nataka kujuwa zaidi kwa wale wengine wanazozitumia kama kuna common changamoto wanazokutana nazo zaidi ya kujaza full tank Ltrs 70 na uchumi wa sasa. Kwenye kuitumia kwa matumizi ya...
2 Reactions
12 Replies
12K Views
A dream car,,,,,,all weather,,,,all businesses
3 Reactions
55 Replies
11K Views
Wadau mimi huwa nina tatizo moja na mafundi. Fundi wangu wa muda mrefu alipata dharura akasafiri. Nikaanza mtumia mwingine. Gari ilibadilika ulaji wa mafuta ikawa inatumia lita 1 kwa kms 6. Wife...
0 Reactions
13 Replies
8K Views
Wakuu habari, Naomba kuulizia magari ambayo hayali mafuta kwa siku unaweza weka lita ngapi? Mfano unaenda nalo kazini tu kila siku. Umbali wa kazini na nyumbani kwa daladala ni 1000 kwenda na...
2 Reactions
26 Replies
9K Views
Habari wadau. Kuna kitu huwa kinanitatiza kuhusu ubora wa mafuta ya gari kwenye vituo vyetu. Je hivi vituo (petrol station) zina mafuta yenye ubora sawa au kuna ambao mafuta yao yana mapungufu...
0 Reactions
21 Replies
5K Views
Tunatoa huduma ya Diagnosis ya Gari kwa bei ya kishkaji Tsh 20,000 tu. Huduma itakua na moja au yote kati ya haya: 1. Read and Clear Check Engine Lights. 2. Read and Erase ABS & SRS trouble...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
wadau,nilishauriwa nitumie BP kwa engine oil pamoja na hydraulic,lakin naambiwa castrol ndo nzuri,naombeni ushauri
0 Reactions
8 Replies
11K Views
Nimeambatanisha picha...icho chekundu, kilichoanfikwa MANU, POWER
0 Reactions
61 Replies
19K Views
Wadau heshima kwenu. Naendelea kupata maoni yenu kama kawaida, naomba kwa mwenye uzoefu wa hizo gari tajwa hapo juu aniambie nini hasa utafauti wake hasa kwenye 1. Ulaji wa mafuta..wastani km...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom