JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Hi guys. Natumia brevis 2.5 ,,, inakula sana mafuta ,,, Swali la msaada: Is there any technique to reduce fuel consumption??! Pia kuongezeka kwa ulaji wa mafuta inachangiwa na nn hasa. Ahsante.
1 Reactions
36 Replies
9K Views
Kwa muonekano haya magari kama yanafanana,ila nalikubali sana Allex,sijui utofauti wa haya magari upoje...lipi bora zaidi? Ushauri wenu muhimu sana mana msimu wa korosho huooo unakuja visenti vya...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakuu habarini za majukumu,naombeni ushauri kwa gari tajwa hapo juu naitaji kulinunua baada ya mavuno yangu ya mwaka,vpi ulaji wa mafuta,upatikaji wa spea,servis yake ikoje,asanteni
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Msaada gari aina ya gx100 ina move kwa gia namba tatu na kwenye mipando inakosa nguvu nifanye nini?
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Nina shida ya cross joint ya Mazda premacy, nitapata wapi kwa hapa dar? Nimehangaika sana kariakoo bila mafanikio
0 Reactions
0 Replies
888 Views
Habari za mchana wandugu! Napenda kujua kama kuna mtu anaweza pata pua ya Toyota 1st tuwasiliane inbox
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Huwa ni mojawapo ya hobby zangu ishu za kubadiri muonekano wa vyombo vya moto. Jana kuipitia page ya #ttrautoupgrade nikakutana na moja ya kazi yao kwenye gari ya masoud kipanya!, thats some cool...
9 Reactions
70 Replies
13K Views
Corolla inauzwa kwa 9m
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari wakuu Mi ni dereva leseni class D hai na vyeti halisi mwenyeji sana wa njia za Dar- Lusaka hasa Lusaka maana nimekaa sana natafuta kazi za kusafirisha IT naombeni msaada kwa mwenye kujua...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Salaamu sana wakuu! Napenda nijifunze ufundi wa magari nikipata resources na muongozo hivi vitanisaidia sana. Kama kuna mwenye tutorials, notes na hata aliye na garage naeza kuhudhuria hapo kila...
0 Reactions
14 Replies
5K Views
Wakuu napenda sana kumilik gari hasa caldina ila nahitaj kujua kat ya caldina ya 2002 na new model ya 2007 ipi bora katika ulaj wake wa mafuta bei show room na engine capacity NOTE: nikipewa...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Wadau wa magari, Salaam, radiator ya gari yangu V8 natafura radiator
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari wakuu! Tunashugulikia kitaalam magari tajwa hapo juu kwa bei nafuu, tupo mwenge mitaa ya TRA, magari tunayoshugulikia ni BMW, Range, Jeep, benzi na mengine, tunashugulikia kitaalam, tupo...
2 Reactions
21 Replies
6K Views
Wadau, niaje, hope wote mko poa, Nina gari yangu aina ya nissan muundo wa Tiida, Huu ni mwezi wa sita sasa kuna tatizo limejitokeza wazungu wanaita ''missfiring''. In fact nikiwa naendesha nikiwa...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wakuu naombeni ushauri, niko mbioni kufanya mchakato wa kupata usafiri. Mimi ni mpenzi wa MPV (Mult Purpose Vehicles) au kwa lugha nyingine Family Cars. Nimependezwa na hizo mbili kwa sababu zote...
1 Reactions
27 Replies
10K Views
Naomba kufahamishwa kwa waliowahi kutumia Toyota Preimio,zipo za version mbalimbali lakini me niko interested na Primio modal ya 2004 na 2005 CC1490 , binafsi nimejaribu kuchunguza sijajona...
1 Reactions
20 Replies
8K Views
Habari wakuu Natafuta IT man anaepeleka Gari Malawi nishuke nae mbeya kesho asubuhi anipitie Msamvu morogoro. Shukrani.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wenye Utaalamu na Magari, ipi rahisi kununua na sio ghari kulihudumia?? Kati yaBMW,Harrier na Landrover Freelander 2??
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Msaada hapo hipi ni kifaa cha kazi plz wadau
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…