JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Wakuu nimezipenda hizi gari ni ndogo kimuonekano kama bajaji vile unaweza penya kwenye foleni, zina engine ndogo hivyo kuwa na matumizi madogo ya mafuta pia. Je kuna mwenye uelewa zaidi...
0 Reactions
17 Replies
6K Views
Habarini wakuu kunasafari ambayo inabidi nisafari mapema mwanzo mwa mwaka ujao nadhani itakuwa kati kati ya mwezi januari ambayo ntatoka dsm kwenda kusin mkoani ruvuma ila Cjawahi safiri umbali...
3 Reactions
104 Replies
15K Views
Habari za asubuhi wana jamvi... Naomba kujuzwa madhara yakuzidi engine oil kwenye gari...namaanisha ikiwa ikezidi kile kipimo cha full...
0 Reactions
20 Replies
11K Views
Nilikuwa nauliza kwa wanaoijua aina hii ya rav 4 kunijuza juu ya uimara wake kwenye road na maintainance yake
0 Reactions
15 Replies
10K Views
Jamani napenda kujifunza nna kagari kangu nnako mwaka sasa kapo sawa ila napenda kufahamu ni sehemu gani huwa inasumbua ili niwe makini na service ndogo nafanya after 3000 km. Kwa wale wazoefu plz...
1 Reactions
38 Replies
14K Views
Natafuta front bumper lip nyeupe ya toyota altezza kama ya picha below.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
-Alternator ya Harrier new model yenye engine 2AZ -Battery ya gari 12V N50 Nahitaji bei ya hivyo vitu vikiwa vipya na vikiwa used Natanguliza shukrani.
1 Reactions
3 Replies
7K Views
Habari zenu wanajukwaa, naombeni msaada wa taratibu za kufata ili niweze kubadilisha taarida za umiliki wa gari ninalotumia.
0 Reactions
10 Replies
10K Views
Habari wana jamvi? naomba kuwauliza hasa wataalam wa umeme wa tattzo la gage kwenye dashboard(cluster) za nissan patrol yenye main na sub tank husabishwa na nn? na linatatuliwa kwa ambao...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wakuu naomba ufafanuzi juu ya matumizi sahihi ya spliter kwenye magar makubwa hii ni baada ya ubishi mkubwa uliojitokeza.. Wengine walidai unaweza tumia spliter kwenye gia zote kuanzia 1-6 kwa...
2 Reactions
9 Replies
5K Views
Habari wanajamvi, Nimejichangachanga nimepata 12M, je naweza kuagiza gari tajwa hapo juu kutoka Japan. Pia, ukiacha makampuni ya Beforward na Tradecarview, nani wengine wenye huduma nzuri na...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Naomba kujua ubora wa hizi gari kama kuna mtu ameshawai kuzitumia tafadhari hasa kwa barabara za vumbi.
1 Reactions
22 Replies
12K Views
Tunaambiwa tukiwa angani haturuhusiwi kufungua vioo. Ila hawa jamaa wa mbele wanafungua bila shida.
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Naomba kuuliza bei ya shockup za nyuma bei gani na bush
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Wakuu wasalaam! Ninaombeni ushauri, nina gari Rav4 kill time, engen yake naambiwa ni ile kubwa inanisumbua kwa kutetemeka na kunguruma sana. pia inanishinda kwa inavyokula petroli kulingana na...
2 Reactions
88 Replies
23K Views
Naomben kufahamu kila kitu juu ya gar aina ya toyota murano, uzuri wake na matatizo yake na bei yake, wenye uelewa tafadhar
0 Reactions
3 Replies
933 Views
Habari wanajamvi nahitaji music kwa ajiri ya gari na gari ni subaru legecy b4 bajet yangu ni 1million Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ukiangalia mabasi kama Fuso, Nissan Diesel Na mengine mengi yaliyotengenezwa Japan miaka ya nyuma yana Raha sana kuliko mabasi haya ya Tata Na Eicher kutoka India licha ya kwamba yametengenezwa...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu. Kuna jambo ambalo ningependa nilifahamu ambalo limekuwa likiongelewa mara nyingi kwenye replies za thread tofauti tofauti za ushauri ambalo nina uhakika hata na wengine pia...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Nilikuwa natumia FM radio nikaweka CD sasa nataka kurudi kwenye FM radio inagoma. Wakati natumia FM radio screen touch Ilikuwa inafanya kazi ila kwenye CD screen touch haifanyi kazi Naomba msaada
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…