JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Turbo power ya gari inavujisha oil na kupandisha kwenye engine...je inaweza kurekebishika au ndio imekufa itolewe iwekwe nyingine? Je unaweza kutoa/ku-disconnect turbo na engine ya gari...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Naombeni kujua katika Gar ndogo(kuanzia Tani 3 kushuka chini) ni ipi nzuri kati ya inayotumia Petrol au Diesel na ni kwann? tukiachana na factor ya fuel consuption.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ukiangalia mabasi kama Fuso, Nissan Diesel Na mengine mengi yaliyotengenezwa Japan miaka ya nyuma yana Raha sana kuliko mabasi haya ya Tata Na Eicher kutoka India licha ya kwamba yametengenezwa...
10 Reactions
33 Replies
6K Views
Wakuu kwa walio Uk Please help,,,tunahitaji used Mercedes Benz S500L 2010 model please talk to me
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Habar zenu, nahitaji rear ABS sensor rotor ya IST NCP 65 (MAFUNDI WANAITA SHANGA YA ABS) mwenye nayo au kujua zinapatikana wapi anishtue, niko mkoani!!
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Meli ni chombo ambacho hutumika katika usafiri wa maji na ina uwezo mkubwa wa kubeba watu na mizigo. Asilimia kubwa ya mizigo hapa duniani kutoka bara moja kwenda bara lingine usafirishwa kwa...
2 Reactions
15 Replies
7K Views
Msaada kwa wenye uzoefu na hiyo gar tajwa hapo juu kwenye vigezo vifuatavyo Durability Performance Comfortability Other factors
0 Reactions
8 Replies
4K Views
habarini ndugu, Gari yangu inawaka vitaa hivyo pichani sielewi tatizo ni nini. Naombeni msaada wenu nianzie wapi maana siko vizuri sana kwenye nyanja hii ya magari nimeona bora nilifikishe kwenu...
0 Reactions
27 Replies
4K Views
Ndugu wana jamvi gari yangu inawasha taa ya ABS sio mara zote ila ukiwa safari ndefu ndio taa inawaka nikisimama nazima gari halafu nawasha na taa haiwaki tena hadi muda mwengine tena ukitembea...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Naomba kuuliza kuhusu gari aina ya BJC -jeep. spea uptaikanaji wake na mambo mengine.muhimu kuna gari imepaki na mhusika anataka kuniuzia,mimi nimevutiwa na 4wd na shepu yake kwa ujumla...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Wakuu kuna jambo moja hua najiuliza sana siku zote, kwamba tunaambiwa floor au sakafu ya meli imetengenezwa na pure iron (chuma cha pua). Sasa inakuaje meli ambazo hupata ajali ya kugonga mwamba...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Wadau naomba kuuliza hicho ki swichi kinaitwaje kitaalamu? Pia nakihitaji kwa mwenye kujua napoweza kukipata
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Sembuse ki mvua cha Darisalama? ============================================ Injini ya ndege kubwa ikiwa inafanyiwa majaribio ambapo humwagiliwa maji ya kiwango cha lita elfu nne na nusu kwa...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Haya maelezo yanataka nifanye nn hapa
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau naomba msaada kuna kigari changu kinanisumbua sana nshabadili sensor kadha lakini bado kinazima mara nyingi na kuwasha check engine...pia kina vibrate sana na mlio wake kwenye bomba ya kutoa...
0 Reactions
33 Replies
6K Views
Make : Subaru Model : Legacy B4 Mileage : 112,090km Engine size: 2,000cc Gasoline : Petrol Steering : Right Hand Drive ( R. H. D. ) Transmission : Automatic M/Year : 2005 Doors : 4 Seats...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
[emoji23] [emoji23] [emoji23] hii gari 'ilinunuliwa' kimaajabu sana. 2012 muda nainunua Plan ilikua ni kuifanya gari ya abiria, lakini nilikuja gundua nimefanya 'panic purchase'.. But hatimaye...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Mfumo wa utengenezaji magari duniani umebadilika miaka ya karibuni kutoka kwenye full mechanical kuwa advanced technology jambo ambalo ni changamoto kubwa kwa nchi zinazoendelea ambazo kwa kiasi...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Katikati ya miaka 2000, ilikuwa 2006 Tuliingia ubia mimi na jamaa yangu tukanunua gari aina ya Mitsubishi Fuso fighter 17. Gari tuliiagiza kwa kumtuma mtu tuliyemwamini. Kwa wakati ule tulimpa Us$...
8 Reactions
12 Replies
8K Views
Wana Jf nawapa heshima yenu.. Ninaomba kuuliza kwa wenye uelewa kuhusu engine oil za magari.. kulingana na joto la nchi yetu Tz, ninaweza kutumia oil 5w 30 kwa gari langu? Tangu ninunue gari...
0 Reactions
5 Replies
6K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…