JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Gari aina ya yoyota alteza ya mwaka 2005 ina cc 1980 bei pamoja na CIF n $ 2645. Kwa hesabu zenu wadau hii inawwza kucost kiasi gani kuitoa bandalini?
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Hbr, wa ndugu, wap naweza pata tyre inflator portable( pump ya kuongezea upepo tair) ambayo unaweza uka-connect kwenye terminal za gar afu ukaswitch on afu ukajaza upepo. Mfano wa picha down.
0 Reactions
2 Replies
976 Views
Naomba msaada wa toyota nadia, inakunywa sana mafuta, inakuwa mzito kuondoka na kuchanganya na inachelewa kubadili gear, pia ukiweka gear ya kuondoka huwa kama inajikita kidogo na pia ukiipiga...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Salaam ndugu zangu. Nipo safarini katikati ya Iringa Dodoma.Nacheck dush board yangu naona gari inachemsha.Labda kuna shida ya regetor.Maji yamekauka kabisa na mm sina maji. Wataalam wazoefu...
0 Reactions
42 Replies
7K Views
Wakuu,ninahitaji kuagiza Toyota Spacio ya Cc 1500 mwezi ujao. Ninaomba kujua yafuatayo kuhusu gari husika. 1. Fuel Consumption yake ikoje? inakula sana au kidogo? 2. Itaweza kuhimili...
0 Reactions
20 Replies
26K Views
Habari wakuu, Nina mpango wa kuchukua chombo na interest ya yangu ni kwa hizo tajwa hapo juu. Forester ya 2007+ , escudo new model 2007+ na hiyo nissan dualis. Naombeni kupata ushauri wenu in...
0 Reactions
11 Replies
6K Views
Wadau nisaidieni gari yangu inakuwa nzito ikitaka kubadilisha gia yaani kama inajifunga break kiaina. Jambo la pili ukitaka kuingiza gia inashtuka inatoa sauti (Tuk) sasa sijaelewa nini shida...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari wadai. Kama kichwa cha Habari kinavyojieleza. Hivi inawezekana kweli. Naambatanisha picha kwa msaada zaidi
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu naomba kujua ni kifaa gani kinamisi hapo katika eneo la mbele chini la hiyo gari kwa mujibu wa hiyo picha inayoonekana
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wanajamvi nataka vuta ndinga lakini ninapenda kuwa na gari inayonisaidia mishe yangu ya hapa na pale namaanisha ninayoweza imudu ningependa kujua mambo yafuatayo 1)utumiaji wa mafuta ukoje yaani...
0 Reactions
45 Replies
20K Views
Habari wana JF, nina MAZDA PREMACY ya 2001 shock up zake zimeisha, nipo Mbeya na nimetafuta huku hamna, nikauliza baadhi ya watu Dar nikaambiwa hazipatikani. Please naomba msaada km kuna mtu...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Habali wana jf na mafundi mliopo humu ndani.me nimwanafunz mwaka wakwanza nipo garage tandale nlikua naomba wajuzii wa haya mambo anisaidie kuanza na charge system gali ndogo :
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu habari za leo. Nimeibiwa sight mirrors za gari Nissan Xtrail DBA NT 31 ni hizi za toleo la pili. Gari ni ya 2008. Naomba kama kuna mtu anauza used spare za hizo mirrors tuwasiliane.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari Wakuu, kuna Gari ya Best yangu ina tatizo moja... Ni kwamba ile Gari ukiweka maji katika Rejeta ((samahani kwa kuandika kama inavyotamkwa)) alafu ukiiwasha Maji yanaruka kutoka katika...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Msaada anayejua garage nzur ya kunyoosha bodi ya gari ndogo - dodoma
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Habari za jioni mabibj na mabwana. Nakuja kwenu kwalengo lakupokea ushauri. Nilitaka kujua kwayeyote mwenye uelewa na gari aina ya TOYOTA NOAH new model. (1)Bei yakununua mikononi mwa MTU inaweza...
0 Reactions
0 Replies
832 Views
Rejea uzi hapo juu naitaji fundi rangi anayeweza kupiga rangi hii
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Wakuu naomba kujua ni kifaa gani kinamisi hapo katika eneo la mbele chini la hiyo gari kwa mujibu wa hiyo picha inayoonekana
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ninauliza spear tire ya Toyota Noah new model huwa inawekwa sehemu gani? Anayejua anielimishe.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wadau ninaomba kufahamu ubora na uimara wa injini za Noah new model pamoja na mfumo utengenezaji yaani kufanya service ni changamoto zipi utakumbana nazo. Uimara wa bodi lake. Nitashukuru
0 Reactions
11 Replies
6K Views
Back
Top Bottom