JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Ndugu wana jamvi naomba msaada kwa mtu mwenye experience na hio gari hapo juu atupe mrejesho. Nimeona ina cc 1300 na pia ina muonekano mzuri sana kwa vijana wa mjini. Sasa sijui uimara wake na...
0 Reactions
9 Replies
5K Views
Naombeni ushauri,nataka kununua gari Nissan teana ila mimi sina ujuzi wowote na magari ni kitu gani cha kuangalia kabla ya kununua?
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari, nina tatizo please. My car radio imeandika Multi AV Stations then chini kuna kijapani. Naomba kusaidiwa namna ya kuitoa ili niendelee kupata radio stations na kuplay VCD, CD, SD n.k...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Naomba mwenye kufahamu bei ya gari hili Toyota markX 250G nimeipenda sana nataka kununulia yard za Dar
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu nahitaji mwenye uzoefu wa gari zinazotengenezwa na kampuni ya HONDA especially hizi crossover SUV kama CR-V, ELEMENT etc - Nahitaji kufahamu uimara wake kwa mikiki mikiki ya hapa bongo -...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Wakuu asalaam aleykum! Kuna hizi gari toyota raum kuwa na tatizo la kuwaka "alama ya pembetatu na mshangao ndani yake (red triangle sign)" kwenye dashbord.Mwanzoni nilidhani ni hii tu yangu ila...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Habari wana jf mimi ni Mtumish wa umma nahitaj Gari dogo mfano IST,RAUM,PREMIO ,ALLION liwe katika hali nzuriNk. Kama kuna mwenye Gari tajwa hapo juu Na angependa kuniuzia Gari lake kwa...
0 Reactions
0 Replies
675 Views
Ist
Je hizi Ist huwa zinafanyiwa adjustment ili kuzifanya ziwe juu kabla ya kuanza kutumika hapa Bongo? Naona kama ipo chini sana. Msaada Wakuu
1 Reactions
1 Replies
756 Views
Ninawaza kutafuta gari hizo kwa ajiri ya matumizi ya bara bara zote. Mwenye uzoefu plz.
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Baada ya kuuza gari iliyokuwa inasumbua kupata spare gari za bara ulaya, sasa nafikiria kuchukua GX100 sababu ya confortability na engine, wese kwangu siyo issue sana. Ila napenda kupata maoni ya...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Je linafaa kwa matumizi binafsi kama gari zingine ndogo... rav4, carina, premio n.k ktk matumizi ya kuendea job!! Nauliza au lipo kwenye class ya commercial van.. mana lina feature zote...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
ipi ni gari nzuri kununua kati ya TOYOTA AURIS na TOYOTA VOLTZ?? interms of gharama ya spare na upatikanaji wake,,ubora wa gari,,fuel consumption pamoja na bei pia naomba msaada kwa anayefahamu...
2 Reactions
15 Replies
6K Views
Wasalaam,Naomba kupata uzoefu juu ya aina ipi ya betri ni zuri na linadumu kwenye gari. maana Wapo wanaosema Dry na wengine wanasema yale ya Maji.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habali zenu wote muliofanikiwa kuumaliza mwaka ulioisha salama sasa tunakutana tena upya ktk mwaka huu mpya wandau kiukweli nimevutiwa sana Nagar hii nataman kulinunua kutokana na nuonekano wake...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Andika chochote ukijuacho kuhusu defensive driving. Mimi naanza na hii; 1. Fanya ukaguzi wa gari kabla hujaanza safari yeyote. 2. Heshimu speed limit. 3. Ata kama ni haki yako kupita jiridhishe...
5 Reactions
52 Replies
6K Views
Wadau habarini,naomba kujua matumizi,upatikanaji wa vifaa,uzito,uimara wa gari aina ya Avensis.
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Wakuu habari zenu, nina kijisafari cha ghafla nataka kwenda Tanga kutokea Dar, naomba mnifahamishe vitu vifuatavyo Kwa wanaofahamu: A) Mwendokasi wa Gari B) Mafuta mpka Tanga Kwa Rav 4 C)...
1 Reactions
41 Replies
9K Views
Mwenye Half Engine 4E ya Starlet anicheck inbox ama hata kama ni Engine nzima anichek Inbox tuyajenge.
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Wadau heri ya xmass, Namshukuru Allah nakaribia kuumaliza mwaka 2017. Tafadhalini mnisaidie oil nzuri kwa pikipiki, Last month nilinunua oil ya Total ilikuwa na namba ya total alafu chini yake...
1 Reactions
28 Replies
16K Views
Back
Top Bottom