JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Habari wakuu Nahitaji kujua katika hizi gari aina ya Brevis, engine zake zote ni VVTI au kuna baadhi ya engine sio VVTI...na ukiwa na brevis VVTI ulaji wake wa mafuta ni sawa na brevis ya kawaida...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
habari wadau, naomba kujuzwa juu ya ununuzi wa tairi zilizotumika, ni vitu gan unatakiwa kuzingatia unapotaka kununua tairi used kama saizi 13, kwa gari ndogo, aidha, nmeona used tairi linauzwa...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
wadau nichukue ipi rush 2007 cc 1500 2wd, au kilitime 2005 cc 1800 2wd?
1 Reactions
18 Replies
6K Views
Wakuu habari zenu ,nina milion 3 natafuta gari ndogo ya kukatia msele hapa mjini <br />Msaada please
0 Reactions
1 Replies
1K Views
ndugu wanajamii Mimi namiliki pikipiki ambayo hivi sasa ina miaka mitatu... nilifanya kosa kutembea na kadi original pasi kuwa na kopi. Leo wakati naifanyia usafi ,nikagundua kuwa kimkoba...
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Sina uzoefu sana kwenye magari wakuu naombeni mnisaidie kati ya hizo gari mbili,ipi gari nzuri RRONDO mshana jr MAGARI7
1 Reactions
15 Replies
7K Views
KUNA TOFAUTI GANI KATI YA HAYA MABASI YA KICHINA ZHONGTONG NA YUTONG MAANA NAONA KAMA SOKO LA YUTONG LINAPOTEA TARATIBU...
1 Reactions
22 Replies
10K Views
Habari zenu wanajukwaa, Naombeni mnipe ujuzi wenu kama ninaibiwa mafuta ya gari?, Kuna kituo kimoja cha mafuta kila nikienda kuweka mafuta hapa Mbeya kila nilipokua nikienda kutia wese nakuta...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Habarini, kuna anaemfahamu fundi radio ya gari mbeya? Radio yangu hairespond chochote na inajizima na kujiwasha. Asanteni
1 Reactions
5 Replies
2K Views
habari zenu wana jamii forum. naomba kupata ushauri kutoka kwenu kama kuna substute (mbadala) engine ya Pajero GDI. Bodi ya gari hizi ni nzuri na imara so i need to change engine only. pia naomba...
1 Reactions
14 Replies
4K Views
Passo yangu ina shida nimempelekea fundi naona anazingua tu kila akisema hiki tunabadili lakin tatizo linakua liko pale pale,tatizo lenyewe ni kwamba hii gari haichanganyi yani nikikanyaga moto...
3 Reactions
39 Replies
5K Views
Husika na kichwa cha habari gari aina ya toyota oppa d4. Tatizo:leo kama kawaida nimeamka asubuhi nikaiwasha ikakubali baada ya hapo nikaiacha on nikaenda kufungua bonet kuangalia engine oil na...
0 Reactions
57 Replies
19K Views
Wanajamvi mliowahi miliki subaru je mafuta,,mbio,,service.Comfortability na kwa safari ndefu uzoefu wenu
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Wakuu nina gari yangu ni Rav 4 kill time Since nimefunga alarm, nikiwasha taa full Gari linazimika Je itakuwa ni ishu ya Alam au ni tatizo lingine tu? Thank you in advance
0 Reactions
25 Replies
5K Views
wadau kuna kaubishi kapo hapa kijiweni kwetu kuhusu efficiency ya haya magari especially mabasi. Ubishi ume-base sana kwenye 1) speed ya mabasi, wengi wanaSema yutong ni funiko kuliko scania na...
0 Reactions
186 Replies
80K Views
Wadau wa JF, Nahitaji kusomea udereva wa hayo mavitu tajwa hapo juu, hebu nipeni maneno mawaili matatu niende wapi na utaratibu uko vipi, na muda wa kusoma mpaka nimalize hiyo course na kupata...
1 Reactions
11 Replies
16K Views
Wakuu habari zenu? Siku zote nayaonaga Leo nimeamua niulize gari lina vioo tintedi yaani uwezi kumuona mtu wa ndani full black. Swali langu hivi kwenye sight mirror dereva anaonaje kama nyuma...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
kwa msaada na utatuzi wa matatizo ya kiumeme kwenye gari lako wasiliana nami kwa no 0672527017
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Nahitaji tvs king, pikipiki iliyonyooka, body safi, low mileage, na iliyokuwa inatumika for personal use or office sio bodaboda. Offer yangu ni 1m. NB: tunaweza negotiate according na conditions...
0 Reactions
4 Replies
668 Views
Back
Top Bottom