JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Habari wanabodi ! Kama heading inavyosema kwa wazoefu naomba kujua jamaa wale wa magari ya IT huwa ni bei gani kutoka Dar mpaka Mbeya na huwa wanapatikana wapi kwa Dar.
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari za usiku wakuu.... poleni na mishughuliko.... bampa la nyuma la IST naweza nikapata kwa sh.ngapi.? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
7 Replies
6K Views
Msaada wandugu, natafuta front excel complete ya Isuzu Forward 6HE-1 , Iwe na adjust kubwa (nene) sio ndogo na pipe zote ziwe nzuri, kwa mawasiliano nipigie 0755 008 779 tuongee biashara...asanteni
1 Reactions
1 Replies
927 Views
Wakuu natafuta premiot nahitaji ushauri Na mtu aniambie tofauti kati ya premio 2004,2005 na 2006. Naomba pia mtu aniambie upi mtandao mzuri naweza pata premio nyingi hasa dark blue gray au black
0 Reactions
43 Replies
14K Views
Wakuu bei ya tyre ndogo size ya 155R12 hapo kariakoo ni bei gani?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nahitaji Carina Ti iwekwenye hali nzuri Number C au D Nina budget ya Tsh million tano Mwenye nayo ani inbox. Sent using Jamii Forums mobile app
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari za Leo wanajamvi Nina body ya Subaru forester. Engen imekufa nataka nifanye modification nifunge engen ya Toyota....... Ni engen gani ya Toyota nikifunga itakaa bila usumbufu wowote...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Wakuu nimetokea kuzipenda sana hizi gari kutokana na muonekano wake ni gari za kisasa zaidi, engine size below 1500, zipo zenye 4wd pia, ziko spacious lakini pia nimeambiwa ni comfortable sana...
0 Reactions
25 Replies
13K Views
Wapendwa rafiki yangu ameingia dilema. Anaomba ushauri juu ya uchaguzi wa gari ya kununua kati ya hizi option mbili alizonazo. 1. Anunue VITZ kutoka japani a) year of make 2000 b)...
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Mambo vp wadau mimi ni mmoja ninayoyakubali ayo magari kwa kiasi chake kwa kuanzia lyf bazeee, sasa nilikuwa naomba ushauri kuhusu ubanaji wa mafuta,spare,uimara,upatikanaji wa spare wake n.k...
0 Reactions
17 Replies
12K Views
Hivi lipo gari lenye nguvu ,zuri na chaguo la wajanja kama hii nissan patrol nismo. Isee kama una mihela yako nakusihi kaitupie kwenye hili gari utanishukuru milele
1 Reactions
43 Replies
12K Views
Wadau kama nilivyo saema juu hapo nahitaji gari kat ya hizo mbili nipeni ushauli ktk spare. Mafuta na body But alteza ni manual
0 Reactions
17 Replies
5K Views
TANROADS, SUMATRA, TRAFFIC, ADHABU YA SPIDI HAIKUBALIKI KABISA. Waraka wa BASHIR YAKUB +255784482959. Traffic 30,000, Sumatra 80,000, Tanroads 90,000 =200,000 Tshs. Ni adhabu ya kosa moja tu...
4 Reactions
14 Replies
5K Views
Msaada tafadhali Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
29 Replies
6K Views
Kwenu wadau wa jamvi hili, naomba mawazo yenu juu ya gari aina ya TOYOTA WISH. Bei yake Uimara wake, na Upatikanaji wa spea Ahsanteni.
0 Reactions
0 Replies
6K Views
Hamjamboje wana jukwaa... Samahani kama hii mada itakuwa imeshajadiliwa, mnaweza kuiunganisha iwapo tayari imeshajadiliwa... Nauliza kuna uhusiano gani kati ya unywaji wa mafuta kwenye garu na...
0 Reactions
25 Replies
7K Views
Kama kichwa kinavyojieleza nataka kwenda mwanza kutoka dar nitembee na average ya km ngapi nisile sana mafuta ukubwa wa injini 2.0 Asanteni
1 Reactions
60 Replies
13K Views
Habarini wakuu, mimi nilimaliza driving school miaka ya nyuma kidogo na muda wote huo nilikuwa nimeenda nje kimasoml. Hatimaye nimerudi rasmi na ni muda muafaka wa kuwa na leseni. Bahati mbaya...
0 Reactions
1 Replies
901 Views
Wadau nataka kuongeza kagari kakupiga misele hapa mjini. Maana BIGHORN inanifilisi na wese lake na pia haiuziki. Nimeona MARK II - GANDE 1980 cc inavutia mwenye kuijua kwenye ulaji wa mafuta na...
0 Reactions
32 Replies
9K Views
Back
Top Bottom