JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Huu ni mfano kwa yaliyotokea Guys mnajua kuwa over speed kwa sasa ina fine 3 kwa pamoja. Kosa moja unalipia Kama ifuatavyo: 1. Traffic 30,000 2. Sumatra 80,000 3. Tan road 90,000 Jumla yake...
3 Reactions
9 Replies
7K Views
Habari zenu wadau.Mimi ni mtaala wa mambo ya Automotive interior. Nainstal soft tops,rooflining recovering,car carpets,Door panels, plastic repair,seat redying(vinyl and leather seats) and more...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Nataka niagize Noah new model, lakini kuna jamaa kaniambia eti zinatumia injini ya D-4 na injini hizi watu wanazilalamikia sana. Je ni kweli Noah New modal inatumia D-4? Hizi old model nasikia ni...
1 Reactions
36 Replies
4K Views
Habari wana jamii forum naulizia juu ya Subaru legacy 2005 manual kama zinakuaga na shdah yeyote au mwenye wazo juu ya Subaru legacy kuna Ndugu yangu anaomba ushauri kabla ya kuagiza. Sent using...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Natufuta fundi mzuri wa Harrier (MCU15) hasa hasa kwenye steering system.Natanguliza shukurani
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wanajukwaa, Yani huwa najiuliza, hivi siku hizi boda boda za hapa Dar wana uniform motocyles? mbona 89% naona ni pikipiki za boxer nyeusi?
0 Reactions
7 Replies
986 Views
nina mpango wa kununua gari kutoka kwa mtu ningependa kujua taratibu zote ninazotakiwa kuzifanya na malipo pia
0 Reactions
1 Replies
944 Views
Kama spare zake zinapatikana nchini kwa wepesi na hata uimara wake. Akhsante
0 Reactions
4 Replies
2K Views
bandugu Naomba kujua naweza pata WAP hii lower control arm ya Subaru forester TA SG5 ya kushoto Kwan yangu imekatika kichuma cha kufungia link, MTU akiweka bei sio mbays, natanguliza shukrani
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Jaman naomben msaada wakujua tofaut na uwezo wa hzo gar hapo juu msaada jaman
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Wakuu naombeni ushauri kwa mliowahi tumia hii gari..nahitaji gari ninayoweza kusafiri umbali mrefu ie.mbeya-mwanza nikiwa na family jumla watu kama saba hivi..so nilikuwa nataka niagize hii gari...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Nina Gari yangu aina Nissan Taa ya oil inachelewa kuzima na ikizima nikitembea Kidogo taa inakuwa inawaka na kuzima Samsung J7
0 Reactions
1 Replies
936 Views
Habari Wadau.. Moja kwa moja niende kwenye mada...Mimi nimepanga kununua gari either toka japan au apa apa bongo ila iwe used..Najua mnafahamu sifa moja ya gari pindi unaponunua ni mileage (km)...
0 Reactions
25 Replies
6K Views
Wandugu wapenzi ieleweke magari tunayoagiza used mengine yanakuwa hayana Mannuals za kutuelekeza mambo fulani fulani, kama la kwangu.Swali hilo hapo juu lenye (a) na (b) tusaidiane tafadhali.....
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Habari za jioni wandugu!Napenda kujua kwa nini gari yangu aina ya 1st nikiendesha ikifika km 100 inagota hapohapo na mpaka niweke overdrive ndio inaongeza km Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
5 Replies
1K Views
thA God thA bubbs!!
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Habar wakuu, Nataka ninunue pikipiki aina ya boxer bm150 kwa malengo ya biashara, Jana nilienda mjini k/koo kuulizia bei nikaambiwa ni Tsh 2,150,000 .So kabla sijanunua nimeona bora nije humu...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Hizi gari za sample hii zinaitwaje Jee tz zipo? Aina gani? Bei gani? Naomba kujuzwa Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Wadau naomba kufahamishwa hasara/faida za kununua used car show room ukilinganisha na kuagiza toka Japan. Mfano kwa spacio new model cc 1500. Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
21 Replies
5K Views
Habari wakuu. Naomba msaada wa ushauri kwa gari yangu ndogo toyota runx. Ilifunguliwa engine na kubadilishwa silinda gasket. Baadae ikawasha taa ya check engine. Nikapeleka kupima na mashine...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom