JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Wakuu kama kichwa cha habari hapo juu Nina audi a4 nisaidieni garage naweza kubadili transmission fluid yaani oil ya gearbox na service kwa ujumla Natanguliza Shukrani
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Mwenye kuzijua vzr,engine nk.
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Inapima fault upande wa engine tu,inasoma fault code na kufuta, pia show live data stream. Ina support magari yanayotumia obd2 kuanzia 1996 hadi sasa. Inaweza kutumiwa na mafundi au mtu binafsi...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Jamani naomba msaada kwa mtu yeyote anaejua vizuri hizi gari ndogo ni ipi ambayo inafaa kwa kuwa na uwezo wa kwenda masafa marefu kama safari za mikoani bila tatizo lolote na kwa mafuta iwe...
0 Reactions
43 Replies
15K Views
Habari vipi wadau katika jamvi hili la Jf Garage, naomba kupata msaada wa gari hizi aina ya Toyota surf. 1. Generation gani ni imara zaidi? 2. Upatikanaji wa spare zake... 3. Costs/Gharama za...
0 Reactions
15 Replies
10K Views
Habari za weekend wakuu. Naomba kufahamu bei ya toyota gaia used kutoka japan. Nitashukuru pia kama nitapata ushauri kuhusu uzuri na ubovu wa gari hii kutoka kwenu wataalamu wa magari.
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Wadau nahitaji gari yenye cc ndogo km Suzuki kei swift starlet budget yangu ni m 3.2 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
10 Replies
5K Views
Tafadhari nijuzeni ubora wa gari aina ya Subaru Forester
1 Reactions
20 Replies
17K Views
Habari, Naomba kujuzwa ufanyaji wa kazi wa intake systems hizo yani VVT-i,VVTL-i, Dual VVT-i, VVT-iE, VVT-iW and Valvematic. Na utofauti wake upo wapi na pia ipi ni system bora zaidi kati ya...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Kichwa cha habari kinajieleza. Kwa wauzaji spear za magari,naomba kifaa hicho na bei yake PM
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu nimeona kabla sijazeeka bila kumiliki hata Bajaji, nimeonelea niongezee kiasi kidogo cha pesa nilichonacho kwa kuuza ving'ombe ili ninunue japo gari ya kutembelea panapo majaliwa. Jamaa...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
habari wakuu ! natafuta taa ya nyuma (indicator ) ya kulia, gari lenyewe ni Isuzu rodeo double cab . Arusha nimekosa Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wana jamii naombeni mnipe kwa uelewo wenu tofauti kati ya Haya magari aina ya pick up na Haya aina truck Sent from my itel it1506 using JamiiForums mobile app
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Naomba kujua OD ikiwa inawaka kwenye dashboard ndio ipo On au off na inatakiwa itumike wakati gani
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Habari wakuu.Naomba Msaada wa kujua bei Ya Engine Used Ya mitsubish Pajero
1 Reactions
14 Replies
5K Views
Naomba kujuzwa matatizo ya Mazda Rx 8 kwa anyejua, nimevutiwa na hizi gari na nataka kununua lakini ni lazima nijue shida zake kwanza nisije ugua presha.
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza , nahitaji kifaa hicho kwa yeyote alienacho tuwasiliane Post sent using JamiiForums mobile app
0 Reactions
0 Replies
841 Views
Habar zenyu wakuu,napenda kujua kuendesha gari japo kwa nadharia, Nawasilisha. Tunataka kusomba watu hadi wa vijijini kuja hapa ofisini kwetu,sasa hakuna dereva kwenye hizi mandinga zetu asee...
0 Reactions
6 Replies
7K Views
Kwa jina naitwa Ibrahim Hassan (Fundi Ibra) ni mkazi wa Dar es salaam (Magomeni). Ni fundi mzuri wa magari ya aina zote, *kwa kupiga rangi, *Kunyoosha *na kufanya service ya gari yako. Karibu...
2 Reactions
6 Replies
3K Views
nataka kujua gari gani zuri kwakutembelea lenye thamani isio zidi milioni 12 maana mi magari sijui vizuri. ambayo nawea ipata show room.
0 Reactions
25 Replies
26K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…