JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Samahani naomba mwenye ujuzi anijuze gear box ya automatic car 'inachange' vipi na ni kitu gani kinafanya mpaka ibadili gear( Yaani ishift from one transimission to another)
0 Reactions
14 Replies
6K Views
Habari zenu wakuu,nina Piki piki aina ya Boxer wiki iliyopita ilishindwa kabisa kupiga starter Fundi akaniambia Battery imekufa.Nikaingia Kariakoo nikanunua Battery imeandikwa VBT ikawa imepona...
0 Reactions
60 Replies
20K Views
Ninamiliki pikipiki aina ya gsm 150..kulingana na safar zang, speed yake hainirizishii. je kuna uwezo wa kuongeza capacity ya engine?? au je kuna engine zinazoingiliana na hizi pikipiki zenye...
0 Reactions
25 Replies
11K Views
Wakuu bajeti niliotenga ni 16M nataka kuvuta usafiri, nahitaji msaada wa ushauri ni gari gani naweza kununua ambayo ina sifa hizi hapa nlizoanisha:- -Haili sana mafuta ambayo unaweza kuiita...
2 Reactions
95 Replies
21K Views
Make : Honda Model : Edix Mileage : 132,000km Engine size: 1990cc Gasoline : Petrol Steering : Right Hand Drive ( R. H. D. ) Transmission : Automatic M/Year : 2006 Doors : 4 Seats : 5...
0 Reactions
0 Replies
831 Views
Wataalamu wazoefu wa magari naomba mnijuze RAV4 Kili time inapokata mafuta baada ya dakika kadhaa tatizo ni nini. Asanteni
0 Reactions
15 Replies
6K Views
Msaada injini gani ya toyota naweza funga kwa hii pajero
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Make : Nissan Model : Civilian Mileage : 97,419km Engine size: 4,200cc Gasoline : Diesel Steering : Right Hand Drive ( R. H. D. ) Transmission : Manual M/Year : 1999 Doors : 2 Seats : 29...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nataka kuchukua moja ya hizi gari.Nimeona ni vizuri kuomba ushauri kwenu wana JF kuhusu Changamoto, Uzuri na ubaya . Chaguo langu ni kati ya haya: 1.Toyota Mark X 2. BMW 525i au 325i 3.Toyota...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
wakuu naomba kuuliza naweza kuagiza Toyota raum ya 2005 toka Japan mpaka kufika hapa bongo Na kuitoa bandarini kwa Tsh 12Mil.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
TOYOTA ALFHARD. cc 2990. 1MZ Kikubwa nahitaji kufahamu + & - ya hizi gari upande wa engine 1MZ. Vile vile upande wa matumizi ya mafuta, kabla sijafanya maamuzi. Lengo ni biashara ya utalii kwa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Baada ya ushaur mzur niliopata katika jukwaa hili niliona brevis hainifai juu ya service na uimara wa injin ikabid niagize premio 2003 cif usd 2750.. Ushauri namna nzuri ya matunzo ya hii gari na...
0 Reactions
37 Replies
10K Views
Habari! Msaada kwa mwenye ujuzi/uzoefu gari yangu Premio e ina engen aina ya 7a_fe,cc 1800 kinachonitatiza ikitokea nikanyaga mafuta mengi mpaka rpm ikafika kwenye nne engen hunguruma sana na...
0 Reactions
27 Replies
8K Views
Teknolojia ya vyombo vya usafirishaji inabadilika kwa kasi sana kadri miaka inavyokwenda. Leo hii makampuni mengi yanayotengeneza magari yanazalisha magari mengi yenye uwezo wa kujibadilisha gia...
22 Reactions
112 Replies
30K Views
Gari hizo ni mark x ambayo ni automatic na alteza manual ip ni gari ngumu kwa body, mafuta, engineer
0 Reactions
2 Replies
1K Views
habari za majukumu, hii gari yangu nimebadili oil pump,nimesafisha nozzle,service nafanya kwa wakati,lakini gari imekuwa nzito sana ukianza kuondoka,au ukifunga breki na kuanza kuondoka gari...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Habar wana jf ningependa kujua jinsi ya kpata licence kwa class D, E
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakuu bilashaka mmeamka salama. Naomba ushauri wenu katika hili. Kimsingi nataka nifungue kigarage hapa mtaani kwetu na nahitaji vifaa vya kufanyia kazi. Lakini binafus sijajua vifaa hasa aina za...
0 Reactions
5 Replies
7K Views
Wanajamvi naomba kusaidiwa matumia ya PW na MENU kwenye gari za automatic.
0 Reactions
1 Replies
887 Views
Kiki ya Pikipiki yangu aina ya Honda 110 imevunjika na imevunjikia sehemu ambayo haiwezekani kuchomelea, nimezunguka maduka kadhaa sijapata, naomba kuelekezwa maduka ya Dar ambapo naweza kupata...
0 Reactions
10 Replies
37K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…