JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Habari wa Jf Kama kichwa cha habari kinavyojieleza.Naombeni kwa wenye uelewa wa hizi Suzuki Escudo toleo la tatu CC 2000 kuhusu uimara ,ulaji wa mafuta,upatikanaji wa spea na changamoto zake...
0 Reactions
41 Replies
14K Views
Nahitaji pikipiki isiyozidi cc125, hasa mpya. Ni wapi ninapoweza kuipata kwa dar na aina zipo ni bora?!
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari, naomba kuuliza hiyo kitu hapo inapatikana wapi kwa bongo na inauzwa pesa ngapi pia brand ipi ni nzuri zaidi?
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habarini wadau. Kijana mwenzenu nimezichanga za kutosha tu ili nami nimiliki gari. Katika kuangaza huku na huku nimeonelea bora niingie zangu zenji nikanunulie gari iliyotumika huko kwani nasikia...
1 Reactions
5 Replies
4K Views
Najiuliza kila siku kiwanda cha meli kikoje? Kiko karibu na bahari au vipi? Na kama sio? Meli huwa inapelekwaje baharini kuanza majukumu ndugu zangu, maana nimejiuliza muda mrefu nakosa majibu...
1 Reactions
36 Replies
8K Views
Princes Muro iliyokua inaondoka Dar kwenda Musoma yenye Reg No T536 CYC tarehe 13 June 2017 imetufanyia uhuni ilipofika shinyanga mnamo saa tano usiku na kuamuru abiria kuhamishiwa Mohamed Trans...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari wakuu! Naomba kuuliza kama kuna uwezekano wa kuiondoa engine ya 3sge (original engine) kwenye rav4 na kuweka 1zz. Shukrani
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Bmw
Wazee nimeiona BMW Leo nikagundua ile ndo gari
0 Reactions
4 Replies
940 Views
Habari wanajukwaa. Kutokana na hali ya kiuchumi kuyumba wengi tunashindwa kununua gari za gharama. Husika moja kwa moja kwenye mada nahitaji ka luxury car ya bei ya kawaida. Nimetumia week na...
1 Reactions
24 Replies
5K Views
Habari ya humu ...msaada kidogo kuna site nilikuwa napitia nikakuta suzuki kei afu CIF had Dar ni milion tatu na laki mbili .... Na kuna mtu alituma link ya calculator ya TRA humu nikafungua...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Habari wakuu baada ya bajeti ya mwaka huu kutoa msamaha wa kodi kwa magari yanayodaiwa na kufuta Kodi ya mwaka unadhani magari bara barani yataongezeka?
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Wenzangu naomba kujuzwa kuhusu mileage ya gari. Naona mara 50,000 huku kwingine 100000. Sielewi aisee! Wale wataalam msaada
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wanajamvi ninakapesa kangu ka madafu M 11 nahitaji ushauri kati ya gari hizo mbili ipi nzuri kwani itakuwa na safari mara mbili kwa mwaka kwenda mwanza je ipi kati ya hizo itanifaa?Ulaji wa...
0 Reactions
91 Replies
27K Views
wakuu kama kichwa cha habari kinavyojieleza mwenye ufahamu au aliewahi kutumia hio bidhaa anijuze natanguliza shukrani
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Wadau, Habari zenu. Naomba ushauri.Motor road licence yangu inaisha 13june 2017. Nimesikiliza vizuri bajeti ya serikali na kuelewa kwamba kodi ya road licence haitolewi tena cash kama huko nyuma...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Wadau kama kuna fundi humu au mzoefu anijulishe jinsi ya kuchughulika na tatzo la check engine kuwaka mda wote. Fundi alisema sensor tumebadili imekaa wiki tatizo limerudi Gari ni Vits ya 1999
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nilipenda kufahamishwa kwa yeyote mwenye taarifa kamili juu ya hili swala. Magari yalokua yakidaiwa Motor vehicle yataendelea kudaiwa ama ndo itakua yamesamehewa.. Hilo ndo swali langu wadau
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Wakuu kwema? Natumaini hamjambo. Nilikuja na uzi humu ukisema taa ya check engine inawaka. Sasa nimepeleka gari kupima kwa kompyuta imeandika hv: Cam shaft position sensor circuit range. Jamaa...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari zenu waheshimiwa, Gari yangu ni TOYOTA SPRINTER SEDAN SE VINTAGE RIVIERE 2000 yenye engine Aina ya 5A-FE, Tangu jana gari imekuwa nzito, Nikianyaga moto sipati perfomance kama...
0 Reactions
25 Replies
10K Views
Nimeona kuna baadhi ya magari ya toyota na makampuni mengine yakiwa na mfumo wa engine wa hybrid, naomba kueleweshwa yafuatayo:- 1. Nini maana ya hybrid-electric engine 2.Nini tofauti yake na...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Back
Top Bottom