JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
habari wa jamvi nina mdogo wangu ana miaka 22 anahitaji kujifunza ufundi wa magari je ni wapi anaweza akaenda kujifunza hiyo fani ya ufundi. elimu yake ni kidato cha nne yupo tayari kujifunza...
0 Reactions
7 Replies
13K Views
Naitwa Bryton, nina miaka 23 natafuta kazi ya kuwa tingo kwenye maroli ya mizigo au mafuta, yawe ya ndani au nje ya nchi niko tayali, kwa sababu naipenda hii kazi. Nitashukuru sana nikifanikisha...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Naomba kujua carina si cc 1762 inatumia lita ngapi kwa km 1 Na je inabidi uibadilishie oil baada ya km ngapi?
0 Reactions
4 Replies
6K Views
Wakuu Salaam Naomba kuuliza hivi kununua gari Toyota Noah kwenye yad za hapahapa tz au kuagiza toka nje kupitia makampuni husika yanafahamika makampuni nisiyataje ipi ni nafuu?? Yaani bei na...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakuu ninataka mwezi huu nipate kausafiri.. sasa nimeingia beforwad naona gari nzuri tu ila hata hii website ya kupatana naona Alteza afu bei nyepesi nyepesi. msaada wenu jamani
1 Reactions
133 Replies
35K Views
Unapovuka pale kivukoni na kigari chako, wasimamizi wa vivuko wanakataza magari kuvuka yakiwa na abiria ndani. Hatua hii inaleta usumbufu sana kwa wahusika mara wanapofika hapo na usafiri na...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Wakuu. Kutokana na mlolongo wa foleni barabarani kuna wakati najikuta nasimama foleni kwa muda mrefu huku injini ya gari ikiunguruma. Kutokana na hali hii kuna wakati nashawishika kuzima gari ili...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Kwa anaefahamu hilux 2.8 na D4D kwa ubora tutaalifiane
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Jipatie diagnostic machine ndogo kwa ajili ya kupimia magari, Bei: Tsh 500000 Tunapatikana mbezi tangi bovu Mawasiliano: 0714704097
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Wakuu nini maana ya hicho kijapani na 4wd iliyoandikwa hapo?
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Eti haya mafuta ya petrol kuna yenye rangi kama mbili sikosei moja kama mekundu hivi mengine yana rangi kama ya mkojo, hivi hapo ni yapi mafuta bora na kwanini yawe na rangi mbili tofauti sio kama...
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Wadau vipi hii gari je inauwezo wa kupiga masafa? (Mkoa mfano Dar iringa) vipi kuhusu spair zake? Inatumia injini aina ya 5A je sio sumbufu? Na inavuta mbele... speed mita inasoma 260. Mwenye...
0 Reactions
14 Replies
5K Views
Wadau nimezoea kuendesha gari zenye alama ya P-R-N-D-L-2 kwenye gear. Sasa majuzi nimenunua kigari cha Allteza baada ya mambo kubana sana. Pale kwenye D wameongeza D-3 naomba kujua hio 3 ni ya...
2 Reactions
95 Replies
27K Views
nisaidie wadau gari gani nzuri kati ya hizi IST,FANCARGO,VITZS NA STALET
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wadau! Naomba ushauri. Nina Toyota IST ya mwaka 2003 nimeiagiza kutoka Japan ina kama mwezi wa tano sasa lakini sijaridhika na ulaji wake wa mafuta. Ni 1.3litre, mileage 140,000 km haina...
0 Reactions
10 Replies
8K Views
Wanajamii naombeni msaada wenu juu ya utofauti uliopo kati ya Kluger V na Kluger L. Kwani V na L. Ni nini hasa tofauti ya kiufundi iliopo. Natangukiza shukurani kwa michango yenu yakinifu.
0 Reactions
3 Replies
9K Views
Habari zenu wakuu, kwa wale wazoefu wa kujua mchakato wa kuagiza magari kutoka Japan, ningeomba kusaidiwa gari kama hii BE FORWARD : 2011 TOYOTA Vanguard toyota Vanguard, ya mwaka 2011, cc 2360...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Ni ya gari BMW 318 i ya mwaka 1993. Inaitwa transimission solenoid shift. Ni kwenye gearbox. Msaada wenu muhimu. Npo arusha
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Mimi ni mpenzi wa music na movie kwa sana, kinachonishangaza ni kote huko ktk matumizi ya magari sijawahi ona kampuni ya toyota.. mara nyingi ni ferari, audi, bmw, range, bentley na kama mandhari...
1 Reactions
17 Replies
3K Views
Wanajukwaa, natafuta engine ya Toyota 4S-FE kwa maeneo ya Dar, kwa aliyenayo tuwasiliane.
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Back
Top Bottom