JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Gari yangu racters haina nguvu kabisa msaada naambiwa nibadilishe speed sensor, je iko sahihi
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Ndugu zangu.Nimependezewa na hicho chombo Mahindra centuro .Je,ni Pikipiki nzuri kiubora na kunusa mafuta? Mwenye kuijua Naomba atwambie maana nahitaji kununua nimezikuta mahali zikanivutia...
0 Reactions
7 Replies
6K Views
Habari ya asubuhi wakuu? Nilikuwa napitia mtandao wa Befoward na kuna bei za magari mbalimbali. Kuna gari Toyota Voxy data zake ziko hivi Year 2004/3 Mileage 79305 km Vehicle price $455 Save $204...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakuu inapokuwa gari inatoa moshi mwingi tena wa bluu mara tu baada ya ku start engine, tatizo huwa inakuwa ni nini? matengenezo yake yanakuwaje?
0 Reactions
13 Replies
15K Views
Kampuni ya TATA Motors imeamua kumbeep BMW X4 kwa kuja na kitu kipya kabisa, Inaitwa Range Rover Velar, ambao ipo katikati ya Range Rover Evoque na Discovery, ameamua kujipima nguvu na BMW X4 na...
6 Reactions
112 Replies
22K Views
Habari ya wikiendi wana jukwaa, Kwa mwenye utaalamu naomba anijuze gari yangu aina ya Suzuki carry muda mwingine ninapotaka kuondoka ikiwa kwenye 2 au 1 nikijaribu kukanyaga mafuta inakosa nguvu...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Ni suzuki vitara milango mi3 Make:Suzuki model: vitara model na:SE416_JLXPP Body type:station wagon chassis na:TAO1V117458 NUMBER of axels 2 Mwenye nayo au anaejua bei anijulishe
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Naomba kuuliza kati ya hizo GARI mbili ipi Ina nifaa kwa Mimi mmakonde ninaeishi mwanza kuwahi misiba Na sherehe za unyago kwa Wakati bila shida kule south kwa che mkapa/ bonde lagesi?
0 Reactions
28 Replies
8K Views
Nahitaji kununua gari na katika pitapita yangu mitandaoni katika websites za wauza magari nimekutana na gari hili SUZUKI SX4 kwa haraka limenivutia hasa uwezo wake wa kwa barabara mbovu...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Nilikuwa naangalia jinsi Land Rover Range Rover Velar inavyotengenezwa, nikajiuliza hivi baada ya miaka miwili mitatu Tanzania itakuwa na mafundi magari kweli? Sisi wakati tukikua wale vijana...
7 Reactions
18 Replies
6K Views
Wakuu natumai Mpo salama salimiin...gari yangu inavuta upande moja kwa mda mrefu sasa.. Nimepeleka wheel alignment wanakula hela wanasema iko sawa ila tatizo Mm naona bado lipo..tatizo inaweza kua...
0 Reactions
17 Replies
6K Views
jipatie ajira yako kwa haraka sana pata mkopo wa vifaa kama bodaboda,bajaji,au Suzuki carry(virukuu)kwa bei poa na riba ndogo sana!kwa haraka piga namba0756992661 kwa maelezo zaidi offce zetu zipo...
0 Reactions
24 Replies
12K Views
Wataal na wazoefu wa magari alteza manual na subaru manual ip iko vizuri kwa safari dar es salaam to mbeya maana mm ni mtu wa safari sana ushauli wenu mhuhim wakuu
1 Reactions
19 Replies
5K Views
Habari.Naomba kujua umuhimu au hasara ya kukata spring kwenye curburetter ya Pikipiki ili throttle iwe laini.Maana nimenunua kapikipiki kamekatwa.Naomba Wenye ujuzi wa ufundi wa pikipiki mnijuze...
0 Reactions
3 Replies
875 Views
Habari wakuu. Nina gari yangu ndogo ninapowasha inatoa mlio mbaya sana kama mashine za kusaga nafaka zile za zamani na inawaka kwa shida mpaka nikanyage mafuta huku nawasha. Lkn ikiwaka baada ya...
0 Reactions
19 Replies
10K Views
Kati ya 1 Nissan hard body 2 Ford ranger 3 toyota 4 voxwagen amarock Sasa mimi napendelea hard body na wengi wameniambia kama nataka ya kudumu na ngumu nichukue hard body na moto wake sio...
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Habary wana jf nauliza bei ya sanlg ndo cc 100 kwa dar anaefahamu ni sh ngapi ahsanteni
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari natumaini wote wazima wana JF. Nilikuwa nataka nipate ushauri kwanza kabla sijafanya Nina gari ambayo body lake limechoka la rangi nyekundu sasa nimepata la rangi ya nyeusi nataka kuvalisha...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
habari za saizi wakuu mimi ni kijana wa miaka kumi na nane naomba msaada wa kufundishwa umeme wa magari nipo mkoani iringa atakae weza kunifundisha bure sawa.
0 Reactions
0 Replies
682 Views
Back
Top Bottom