JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Kwa anayefahamu tafadhali naomba nijuze gari nzuri kusafiria na bei yake yard kwakuwa nataka kununua gari niondokane na matumizi ya pikipiki sasa
3 Reactions
38 Replies
12K Views
Katika tafta tafta ya gari dogo zuri na katika mitandao ya magari Japan, nimekutana na gari dogo, zuri na nikalipenda linatengenezwa na Mitusubish, linaitwa Mirage. Mitusubish mirage, ina cc 990...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Tumechoka na kelele za gari zenu. Mmefunga mufflers kubwa basi shida tupu hapa mtaani. Kwanza tradtionally Alteeza siyo perfect car for street racing. Vialteeza vyenyewe vimechoka na vinaacha...
9 Reactions
55 Replies
9K Views
Wanajamvi habari zenu Naomba kuuliza maswali machache kuhusu maahine za boti kwa bei zake -Uwezo wake -Upatikanaji wakee -Upya na used kwa bei zake zotee Naomba kuwasilishaa shukraani
0 Reactions
0 Replies
2K Views
halo guys,mimi ni mgeni humu JF nimenunua toyota raum from Japan ambayo ODOMETER inasoma 150000km.swali langu ni kilometer hizo haziwez kuniathiri katika matumizi ya gari langu hilo? je nunaweza...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari wanajamvii hili nilikuwa nataka ninunue altezza 4ward engine 4 cylinder nilikuwa naitaji kujua ulaji wake wa mafuta ukoje kwa 1 Lita ni km ngapi
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakuu habar zenu. Nina kigar changu nimekinunua juzi nilikuwa safi kabisa Juzi nilikua naelekea moshi nilipofika umbali kiasi na kuingia segera nikaanza kisikia midundo isiyoyakawaida katika...
0 Reactions
22 Replies
5K Views
Habari wadau,nahtaji fundi mzuri wa kupiha rangi gari jijini mbeya kwa kuzingatia bei,muda na ubora,mwenye kumfahamu anijuze
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari! naomba wajuzi wa gari hizi mbili wanijuze ipi ni gari imara inayoweza ikadumu muda mrefu, isiyo na gharama kwenye matengenezo, inayoweza kwenda umbali mrefu na kupita hata rough road...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari JF, Nimejikuta nawaza kuhusu ni aina gani ya matairi imara kwa ardhi yetu na ambayo yanaweka muonekano wa gari kuwa zuri. Mfano mimi gari yangu nilikuwa natumia KUMHO, hazijawahi kunipatia...
1 Reactions
9 Replies
15K Views
Wakuu, Nini sababu ya gari yangu inatumia mafuta. Nimeangalia mfumo wa engine yake haitimii curburator, ni direct injection. Aina: Hillux double cabin Fuel: petrol engine Cc: 1998 (approx 2000cc)...
1 Reactions
39 Replies
9K Views
Wakuu naona designers wa toyota wanafeli kwny baadhi ya new model zao sura zake yani bodi mbaya kuliko model za nyuma.. Mfano Mark x, landcruiser prado, passo naona mbaya kuliko za nyuma.. Maoni...
0 Reactions
21 Replies
5K Views
Nampelekea fundi Kigari changu kikiwa kusafii ila baada ya yeye kumaliza kutengeneza kitu chochote unakuta imejaa gress kila eneo mpka kwenye Viti,kwahiyo naingia tena ghalama yaisafisha. Lakini...
2 Reactions
15 Replies
3K Views
Naomba msaada wenu, Noah yangu inagonga sana nyuma kama vile bush au Shockup zimekwisha lakini nimepeleka kwa mafundi watatu na wamesema gari haina tatizo na bush wala shockup na wamekazakaza...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wasalaam! Nimekuwa nikipokea email nyingi kuhusu hii kitu "car from Japan" nikawa napata mashaka kuitafuta hii website. Leo nimesema ngoja niangalie huenda nikajipatia "free car"! Looh! "The site...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Soko la Pick-up lazidi kupamba moto baada ya VW kuja na Amarok, sasa Mercedes-Benz nao wameamua kujichanganya kwenye hilo soko na kuja na Model mpya kabisa ijulikanayo kama X-Class, hawa wote...
6 Reactions
37 Replies
11K Views
Habari wana JamiiForums! Natamani kuagiza gari lakini kuna kitu sielewi. Naomba kufahamishwa maana ya neno CIF kwenye uagizaji wa magari mtandaoni. Mfano gari limeandikiwa Dar es salaam port...
0 Reactions
15 Replies
8K Views
Wakuu, Msimu huu wa sikukuu nimeona baadhi ya madereva wakilalamika sana kuhusu kulipa fine barabarani kwa kuzidisha mwendo. Kufuata sheria za barabarani ni jambo la kwanza, ila kuna matrafic...
9 Reactions
116 Replies
24K Views
Natafuta body LA landrover discovery TD5,mwenye nalo tufanye biashara
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza.Nahitaji kwenda kufanyia service kagari kangu.Sasa mara ya kwanza kufanya SERVICE mtu alienifanyia SERVICE aliniwekea OIL ya 7000km.Tatizo kwa sasa hayupo...
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Back
Top Bottom