JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Hbr wadau, Naamini wako wadau wenye abc za haya mambo hapa, Kuna pikipiki moja za kichina naona ndo zimeingia zinaitwa SANIL nmeipenda sana nilitamani kujua bei zake, pili gharama za spea, tatu...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Haihitaji rocket science kupata kuelewa kuwa gari za kileo toka Toyota ni mbaya kimuonekano wa nje kulinganisha na matoleo ya miaka ya nyuma, roughly 2006 kurudi nyuma. Mwanzo tulizoea kuona gari...
9 Reactions
95 Replies
14K Views
Napenda kuuliza kwa wajuzi ni taa ip uwashe km unakata barabara katkat i mean huend kushoto au kulia,
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Toyota allion for sale 0758216498
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Hino ranger dumper for sale 0758216498
0 Reactions
0 Replies
755 Views
Jamani naomba wataalamu wa magari mnijuze ubora wa verossa yenye six cylinder 1980cc,ulaji wa mafuta,uimara,na bei yake na ushauri kama nataka kuinunua je itanifaa kwa ulaji wa mafuta maana...
0 Reactions
13 Replies
11K Views
Habari wanajamii forum nilikuwa nataka nianze kufanya biashar ya kuuza lubricant na vifaa vidogo dogo vya Magari na piki piki ila sina uzoefu na biashara hii.. Nilikuwa naomba msaada wakujua...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Njoo tupeane connection ya magari used kutoka hapa hapa africa,kuanzia spea za hiace used,Rosa,canter,Landscuzer,scania,njoo tuyajenge
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Car From Japan Grand Giveaway 2017
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hivi ni kweli gari aina ya Toyota Vista inakula inatumia mafuta mengi sana?
0 Reactions
1 Replies
967 Views
Habari za muda huu wana-JF. Nimekaa nikakumbuka baadhi ya matatizo ambayo madereva huwa tunakutananayo barabarani tukiwa tunatumia vyombo vyetu vya usafiri. Itakuwa vyema endapo kila mdau atatoa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu, Nipo jijini Dar na ninazo gari 3 za Nissan lkn mara nyingi mafundi ninaowapata wananitia wazimu tu. Nahitaji fundi mzuri asiye mbabaishaji anayeweza kurekebisha kasoro yoyote ktk Nissan...
0 Reactions
15 Replies
5K Views
Salaam wakuu. Naomba mwenye kufahamu kuhusu matumizi gari yenye plate number za kigeni (SADC) au nchi jirani kama Kenya nchini. Naomba ufafanuzi wa haya maswali au moja wapo kwa anayejua...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Kwa wenye kuzitumia au kuzijua,naomba kuelimishwa je zinatofauti gani na zile zilizoandikwa Vx 4wd?je bei zao ni sawa?utumiaji wa mafuta(fuel consumption)ukoje?
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Naomba mwenye kufahamu wapi naweza pata Pamp ya Mafuta ya DODGE RAM V8......MSAADA NDUGU ZANGU
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Makampuni mengi yanazidi kuwekeza katika teknolojia za magari rafiki wa mazingira. Toyota inazidi kuwekeza pia na inategemea moja ya gari zuri na la kisasa zaidi kutoka kwao la Toyota Prius PHV...
1 Reactions
9 Replies
6K Views
CAR FROM JAPAN : Car From Japan Grand Giveaway 2017
0 Reactions
0 Replies
603 Views
Wakuu naombeni ushauri kati ya gari hizi nataka kagari cha kwendea kanisani kipi ni imara na ina nafasi ndani.RAUM new model,vitz old model na swift 1.3 Sent from my itel it1507 using JamiiForums...
1 Reactions
11 Replies
6K Views
Range Rover imekuwa chaguo la kwanza kwa muda mrefu kwa matajiri na watu maarufu duniani... Hii ni kwa sababu ina sifa moja ambayo ni ngumu kuipata kwenye gari nyingine... "Go anywhere and do...
9 Reactions
202 Replies
42K Views
Ninatafuta hydraulic pump take ila iwe imetumika
0 Reactions
0 Replies
627 Views
Back
Top Bottom