JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
wa kuu naamini humu kuna mafundi nawatu wanaojihusisha na magari sana kama sio kutengeneza kutumia au kuuza.shida yangu ni wiring diagram ya pin za control box.gari yenyewe ina engine ya 1MZ FE na...
1 Reactions
20 Replies
6K Views
Wadau naomba mnijuze kuhusu hili gar nataka kujua ulaji wa mafuta pi vp katk nchi yetu inaweza kuhimili na kuhusu vifaa bila kusahau kodi bandarini gari ni ya mwaka 2007. Ahsanteni
0 Reactions
2 Replies
990 Views
Naomba msaada wadau, ili nipate tofauti ya aina mbili hizo za magari?
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Nimejitahidi kupata maelekezo ya hizi aina mbili za bajaji re 4 205 wanaisifia wengi ni ngumu na imara lakini shida ipo kwenye engine kuchangannyika na oil ni haraka kuliko Tvs king na kwa...
0 Reactions
24 Replies
13K Views
Wadau,Pajero jr (auto),huwa inachelewa kubadili gear kutoka namba moja kelekea mbili.Inabidi kuingurumisha sana ndio ibadili. Nini suluhu ya tatizo hilo?
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Wataalamu vp hz machine vp hazisumbui sana..?kwa wazoefu wa hii machine watupe ubuyu kdgo
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Gari langu PRADO II steering imekuwa ngumu sana kukata kona, fundi amekukuruka akashindikana na kunifahamisha kifaa kiitwacho steering power kimefikia tamati ya kazi yake kinahitajika...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Habari wakuu. Naomba kujua bei ya kioo cha nyima cha toyota runx
0 Reactions
0 Replies
2K Views
I need to know the price of used
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu naulizia gereji nzuri kwa ajili ya kuangalia vitu kama bush kwenye matairi, suspensions, ball joints, CV Joints, boots, shock absorbers, yaani kwa ujumla ile system yote ya chini...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Mi nina harrier juzi kati imeanza kusumbua gia inaingiza gia yenyewe bila kukanyaga moto afu silence iko juu sana cjajua nifanyeje
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Habari, jaman anayeuliza anataka kujua , huwa nasikia tuu V8 na sielew ina maana gani anayefahamu msaada tafadhari
1 Reactions
26 Replies
11K Views
Habari zenu members, Mimi natumia Toyota Passo,ila hivi karibuni nimegundua ninapobadilisha gia kabla haijanipeleka kwnye gia ninayoitaka mf.kutoka kwenye P arking kwenda kwenye Reverse/na...
1 Reactions
117 Replies
19K Views
Ndugu wana JF nina gari yangu aina ya mistubishi Pajero Montero ya Mwaka 2002nataka nibadilishe engine toka engine ya cc 2900 niweke ya cc 1900 je nifanyenye wataaalamu wangu
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Kama wewe ni mmiliki wa Nissan Navara modeli ya (2003-2008) kuwa mwangalifu nayo sana, watumiaji wa gari hiyo huko Ulaya wanasema ina matatizo ya kukatika katikati (pichani chini)! Hivyo kama wewe...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Habari ndg zangu! Nina gari aina Ford Escort model ya 2000, shida kubwa ni fuel nozzle! Nmeagiza ziletwe ila niliyemwagiza kila siku ananipiga tu tarehe mara mwezi ujao mara wiki ijayo... Na sasa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
WAKUU KUNA GARI ALTEZA BUMPER LAKE LA MBELE LIMEHARIBIKA LIMEBONDEKA KWA YEYOTE ANAYEJUA BEI YA ILO BUMPER AU ANAJUA JINSI UPATIKANAJI WAKE KWA WEPESI ZAIDI NAOMBA UWEKE CONTACT YAKO TUWAZIRIANE...
1 Reactions
14 Replies
4K Views
Jamana nataka kununua pikipiki bora na himilivu kwa mzaingira ya vijijini ili inasidie kubebe mizigo kama gunia la mahindi ,udaga nk. Haichakai haraka lakini inatumia mafutaa kidogo.Asante
0 Reactions
5 Replies
6K Views
Wakuu poleni namajukumu yote Jamani kwa mwenye uzoefu na magari naomba ushauri kuhusu MAK X ubora wake namapungufu yake na kama ina 2500km je lita moja inatembea km ngapi?
0 Reactions
0 Replies
631 Views
Back
Top Bottom