JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Mimi nipo Arusha ila ninashida ya kupata hii kitu kwa dar es salaam ni bei gani.
0 Reactions
8 Replies
8K Views
Wakuu salama za sikukuu. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Nimetoka zangu gereji naingia tu. Main road hapa maeneo ya mianzini. Nikasimamishwa na traffic. Kaanza na mambo yambo...
0 Reactions
63 Replies
15K Views
Habari JF, Naomba kujua ni kweli kwamba haiwezekani kufanya Engine overhauling ya Suzuki Carry? Kama tunaweza kufanya Engine Overhauling ya Magari mengine kwanini iwe vigumu kufanya Engine...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wakuu, Hivi Mjapani ameunda gari yenye injini ya V12 ? Asanteni
0 Reactions
2 Replies
2K Views
NAOMBA KUJUA CHANZO CHA NOZLE ZA LAND CRUISER V8 200 SERIES KUSHINDWA KUFANYA KAZI.
0 Reactions
1 Replies
789 Views
Niaje Wakuu Hizi Gari kwakwel nazipenda Vibaya sana sasa nataka kujua ipi Bora kati hizi nikilenga kwenye sector nyet kama Fuel Consuption Gharama za Vipuri na Ugumu wa Gari Nawasilisha.
0 Reactions
25 Replies
8K Views
Naomba msaada wakuu. Nataka gari economic lakini imara kidogo. Kati ya toyota wish na corolla spacio ipi ni nzuri na sifa zake.
3 Reactions
17 Replies
9K Views
Habari zenu ndugu! Naombeni Msaada wa kujuzwa ipi ni pikipiki nzuri kati ya FEKON, GSM na SAN MOTO.
0 Reactions
10 Replies
8K Views
Mwaka huu nataka kuvuta machine ila nimeangukia kwenye hzo gari mbili ..ushauri tafadhali hasa kwenye comfortability na uimara MAFUTA SIO ISSUE
1 Reactions
13 Replies
4K Views
naomba msada wenu wadau nataka ninunue toyota funcargo,sijawahi kuitumia sijui lolote kuhusu uzuri na ubaya wake. nimelipenda kwa kuwa lina Engen capacity ndogo na linafaa kwa familia,pia...
0 Reactions
9 Replies
8K Views
Habari wadau, Katika pita pita zangu mtandaoni nikakutana na hili nkaona sio mbaya kuja kushare nanyi. Kwa hakika mchina sio mtu mzuri, sikujua kama angeweza kufanya kitendo hiki cha kuiabisha...
3 Reactions
110 Replies
21K Views
Four cylinder Vs six cylinder Four cylinder Vs six cylinder
0 Reactions
0 Replies
782 Views
Katika mizunguko yangu hapa mjini (Dar) sijawahi kuhabatika kumuona mwanamke au msichana akiendesha gari akiwa ame relax yaani akiwa kaegemea siti yake (exaggeration[emoji2] ) ...mara nyingi huwa...
4 Reactions
23 Replies
3K Views
Habari zenu wana jamvi mimi ninauhitaji wa boda boda ambayo ni used kwa ajili ya mishe mishe zangu, kama uko dodoma na unaiuza au una jamaa anayeiuza boda boda tafadhali ni PM au weka...
0 Reactions
2 Replies
724 Views
Wadau vipi, Je? Naruhusiwa kufanyia lamination kadi ya umiliki wa chombo cha moto? Pia Kuna kadi naziona (siyo original) zimesainiwa sijui na trafiki (sina hakika) kama certified copy, Je...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Hii ni Toyota murano ina $3,800 hvi..... Ref No BF586219 Chassis # PNZ50-100954 Model Code CBA-PNZ50 Version / Class 350XV FOUR Engine Code VQ35 Mileage 99,223km Engine Size 3,490cc...
0 Reactions
15 Replies
6K Views
Wadau, Nahitaji ushauri wenu. Nataka kufunga music wa kueleweka, mzito katika gari yangu aina ya Subaru Legacy B4. Budget yangu ni 1 Million.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Gari ni Toyota Allion ya mwaka wa 2007. Inahitaji kugeuzwa steering kutoka kuliya ihamiye kushoto. Garage gani hapa Dar inaweza fanya hiyo kazi. Asante.
0 Reactions
35 Replies
5K Views
Nijuzeni wataalamu na wazoefu wa magari. Hvi kuna tofauti kubwa sna kati ya mtu anaendesha gari mfano premio yenye cc1500 na 1800 kwenye ulaji wa mafuta?. Mfano tukiweka mafuta liter 50 kila...
0 Reactions
11 Replies
5K Views
Jamani mimi najiuliza madereva wa subaru(wengi wao) wana matatizo gani? Nasema wana matatizo kwa sababu wana fujo zisizo na msingi barabarani. Unakuta mtu na subaru yake anapita barabara ndogo na...
21 Reactions
375 Replies
47K Views
Back
Top Bottom