JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Natafuta Rav 4 ya kununua @list kuanzia 2001
0 Reactions
0 Replies
668 Views
Nimepata Noah hapa ila inaingia ukungu mweupe unaonilazimu Mimi kutumia full light wakati wa usiku ili niweze kuona vizuri. Kuna mahali nilienda Lumumba wakazisafisha zikawa poa lakini baada ya...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Nataka kubadili engine ya gari kutoka cc 2000 niweke engine ya cc 1500 automatic je inawezekana?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu naomba kuuliza ofisi za Tahmeed hapa Arusha zipo pande zipi?
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Nauliza na kuomba ushauri Gari aina ya Nisaan premere inakuwa na usumbufu upi in terms of oil consumption na ubora wake kwa ujumla Je Vockswagen POLO ikoje kwa matumizi ya hapa kwetu misele ya...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nauliza wapi ntapata Huduma ya Helicopter niweze kulipia na kuwa Hewani at least Lisaa Limoja mwenye Kujua Bei tafadhali
1 Reactions
16 Replies
6K Views
Ndg,Members wa JF Garage. Nilipata usumbufu usiotarajiwa Mjini Moshi,kutokana na gari langu kuwa na Fog lights na kulazimishiwa kulipa fine kana kwamba ni spot light. Naomba wataalamu humu...
0 Reactions
22 Replies
7K Views
haya magar ya siku hizi pasua kichwa sana , nikikumbuka mikangafu yetu ya zamani haiendi bila kutoa handbrake halafu siku hizi gar ukiweka D tu inateleza nashangaa sana , nije kwenye swali sasa ...
2 Reactions
35 Replies
9K Views
This baby is fire!!!!
1 Reactions
41 Replies
4K Views
1. Kama ulinunua/utanunua gari ikiwa haina ngao usithubutu kuiwekea kwasababu *ngao huwekwa kwenye magari ambayo safari zake au matumiz yake mara nyingi sio ya mjini kwenye pilika pilika za watu...
16 Reactions
19 Replies
2K Views
Wakuu hivi kati ya hao wawili nani mwenye maisha mazuri? Na nani mwenye fursa za kuingiza hela ndefu kupita mwenzake?
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Kati ya hizi gari mbili ,Ipi ni gari ina yoweza kuhimil safar za mikoani?kwa maana ipi NI gari imara zaidi?
0 Reactions
11 Replies
6K Views
Wadau Kwema??, Nilikua nawaza kuongeza gari ndogo home, Shemeji yenu atalitumia pia hata mimi inaweza kunisaidia pale hela ya wese ikigoma kupatikana kwenye gari ya sasa. Sasa katika kuzunguka...
0 Reactions
22 Replies
5K Views
Habari zenu wakuu, napenda kuwajulisha kwamba kama kuna mtu au kampuni inasumbuka kupata filter yeyote ile kwa ajili ya gari, generator, compressor, roller, excavator, crane, motor grader au...
0 Reactions
0 Replies
800 Views
Kama mwezi hivi au wiki 3, nikiweka gear ya reverse inachelewa kutembea (tofauti na nikiweka D-Drive), nikiongeza mafuta inaondoka kwa kushituka kwa nguvu. Nilipeleka kwa fundi wa 1 akasema...
1 Reactions
20 Replies
5K Views
Habari zenu wana Jamii wenzangu, i hope mko poa.... Kuna hili jambo huwa linanishangaza sana hasa katika hiz daladala zetu hapa Dar es salaam...utakuta Traffic Police anamsimamisha dereva wa...
1 Reactions
1 Replies
777 Views
Back
Top Bottom