JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Nina toyota brevis, vvti engine hivi karibuni,nikiwa nakanyaga mafuta niongeze speed ikakata mafuta na kuzimika ghafla nikaipaki pembeni, nikaiwasha ikawaka, ikatembea vzr tatizo unakuja pale...
0 Reactions
5 Replies
817 Views
Habari zenu wana Jf wa jukwaa hili , Awali ya yote ningependa kupongeza juhudi na jitihada za mwasisi wa Jf pamoja na uongozi kwa ujumla kwa kutuweka pamoja kwa mambo yenye tija kwetu sote...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Habari za asubuhi wakuu, nimeangalia taa za mbele za gari nyingi hususani toyota naona nyingi zinaukungu, nishawahi kwenda gereji moja wakaziosha ila ndani ya miezi 3 naona zinarudia ile hali. Na...
1 Reactions
12 Replies
8K Views
Nataka kununua Gari ya Matumizi ya Nyumbani, kwa hiyo Naomba ushauri wenu, Ipi Gari nzuri kwa Matumizi ya Nyumbani, Bajeti yangu Mlioni Ishilini tu?
0 Reactions
8 Replies
1K Views
ndugu zangu em tubadilishane mawazo na ujuz kuhuz toyota celca iz gar zko vp.....
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari!! Kuna machine nahitaji nitengeneze locally, hivyo basi naomba kwa ambaye mwenye karakana ya kuchomelea ya kisasa (maana machine yenyewe inahitaji vifaa vya kisasa) au kama una mfahamu...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ninaomba kufahamu haya yafuata2001 1.Gari Toyota Prado engine 1kz 2001. Ukiendesha km140 p/h inapandisha temperature ila ukizima aircon tempreture inashuka ila ukikimbia zaidi ya km 140 p/h...
0 Reactions
17 Replies
1K Views
Sina uzoefu sana na Magari hasa ya kisasa. Ni hivi Jilani yangu anataka kuagiza gari Japani, sasa kulingana na tulivo zoeana amekuja hapa kuniomba ushauri. Ana kiasi cha TZS 8.5 hadi 10 M...
0 Reactions
50 Replies
10K Views
Wana Jf nahitaji body ya Toyota hilux 2.7 baada kupata ajali na body kuharibika sana.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa anaelijua jina lake, atusaidie Jina tu
1 Reactions
10 Replies
4K Views
Naomba msaada kufahamu nitakapopata mshine za kuoshea magari hapa Tz au website yeyote
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Natafuta bamper la mbele/Nose cut ya toyota cresta gx 100
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari wanajamiiforums! Naomba ushauri nina gari aina ya Toyota Belta ambayo ina engine ya 2NZ-FE na ina CC 1297. Gari hii nimetembelea kilometa za kutosha na sasa naona imechoka sana ila bodi...
0 Reactions
16 Replies
7K Views
Kuna taa huwa inawaka kwenye raum new model inakuwa nyekundu ni triangle katikati ina alama ya mshangao. Watu wengi wamekuwa wanapigwa hela kwa mafundi huku wengine wakisema kuwa wana wapimia na...
2 Reactions
11 Replies
5K Views
Naomba kujua nin kinasababisha battery ya gari kufa mapema au nin nifanye il battery yangu idumu ni battery ya unga(dry cel) msaada
0 Reactions
0 Replies
844 Views
Nina shida ndogo, nataka kupurchase gari, kati ya Range rover Discovery 4 ama Mercedes Benz E Class ya 2015, engine yake ni 4000cc. Nimebajeti kutumia si zaidi ya laki moja kwa siku kwa ajili ya...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Husika na kichwa cha habari, nataka niagize gari tajwa hapo juu, wazoefu naombeni maelekezo ya bei nilizocalculate hapo kupitia calculator ya TRA, JE hiyo tax ya TRA Waliyotoa hapo nikilipa hiyo...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
wataalamu naomba kujua zaidi kuhusu gari aina ya carina si 1.8l matatizo yake garama za spare uwezo wake matumizi ya mafuta mjini na highway. maelezo ya ziada...
2 Reactions
11 Replies
4K Views
wadau gari inauzwa suzuki swift kwa nembo ya chevrolet mpya DHH inauzwa mil10 kamili maongezi yapo..anaitumia mwanamke iko mkoani njombe..
0 Reactions
0 Replies
36K Views
Wakuu nimejaribu kufatilia mijadala mingi jukwaa hili kabla sijafanya maamuzi ya kununua gari, kwa bajeti yangu isiyozidi mil 13 nimetokea kuvutiwa na hizi gari 2, ipi ni chaguo zuri zaidi kwa...
0 Reactions
24 Replies
16K Views
Back
Top Bottom