JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Habari zenu wanajamvi na poleni kwa majukumu. Ninaomba Uzoefu wenu juu ya hii gari aina ya BMW 3 Series 318i ya mwaka 2003. Note: Model code_ GH-AY 20 Engine Capacity _ 2000cc Natanguliza...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Anayejua au kuuza sports rims anijuze. Gari yangu ni lexus gs300 (sedan au saloon). na kwa sasa imevaa rims za size 235/45/17. Lakin naona kama hazijai lile tundu la body. Anayejua size bora zaid...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu Nina ndoto ya kumiliki gari yangu kabla ya tarehe 1 AUGUST haijalishi kama nitaagiza au kumvua mtu yote sawa Bajeti yangu ni Milioni 8. Naomba ushauri kwani nimevutiwa na Toyota IPSUM...
0 Reactions
16 Replies
9K Views
Wana jf naomba kujua watalam wakiwa wanaeleza ulaj wa mafuta kweny high way yanakuw kidgo na automatically high way speed huw kubwa 80 to 100, sasa naulza km ni town trip na unatumia speed ya 40...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
hii nimepiga juu ya engine karibu na pa kuwekea oil, nielewesheni maana yake wakuu
0 Reactions
5 Replies
1K Views
There are 54 countries in Africa and more than 10% of the countries manufacture cars though some of them still import engine parts and assemble them in their plants. MOROCCO - LARAKI Laraki, a...
1 Reactions
15 Replies
5K Views
Naomba mssaada wa kupata taa za gari langu,marino,nimetafuta bila mafanikio,niko Ngara kagera.
0 Reactions
6 Replies
945 Views
1. Kujifunza na kupata leseni inayostahili kwa kwa gari husika. 2. Kufunga mkanda wa usalama pamoja na abiria wako 3. Kuzingatia udereva kwa kujihami na mpanda pikipiki kuvaa kofia ngumu (hemet)...
1 Reactions
3 Replies
9K Views
Habari ndugu ktk Jf. Nna leseni ya udereva daraja "D" yenye muda wa mwaka na nusu. Je, kwa mujibu wa sheria na taratibu za nchi naweza kuongeza daraja lingine baada ya muda gani? Je, naweza...
0 Reactions
9 Replies
24K Views
Ndugu wanajamii nahitaji kufanya biashara ya Bajaji hapa mjini Dar es salaam sasa cjajua Bei yake fixed.
0 Reactions
0 Replies
6K Views
Naomba kujuzwa uzuri na ubovu wa magari haya. Tdi Discovery. Mwenye kujua anisaidie, mke wangu kapewa zawadi tunashauriana kuuza.
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Wakuu natafuta mineral oil nitapata wapi?
0 Reactions
0 Replies
567 Views
Nina gari aina ya Toyota dyna ton 3,tatizo lake nikwamba nikiwasha tu ,ninapokanyaga mafuta maajia yanapulizwa kuja juu kwenye rejeta,nimebadili head gasket,nimesafisha rejeta lakin bado,na...
0 Reactions
3 Replies
882 Views
Katika ubora Wa watengenezaji Wa GARI za mercides Benz! Waliwahi kuahidi katika moja ya matoleo yao kwamba; endapo kuna Mteja wao yeyote atayekutwa kapata ajali halafu GARI ikutwe Chali mataili...
4 Reactions
45 Replies
8K Views
Nina gari yangu Carina Si..pale chini kwenye gear liva kuna button ziko pale zimeandikwa PWR na MANU naomba mnisaidie kujua matumizi yake Lakin pia kuna kabatan kapo kwenye gear liva ukikaminya...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Kifaa au vifaa gani vya gari lako huwa vinaharibika mara kwa mara? Tuna mdau anataka kuleta fursa ya vifaa vya uhakika na bei nzuri. Pamoja
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Madereva wengi hawajui kutumia vizuri usukani. Video hii inaonesha njia nzuri zaidi kutumia usukani, unapotaka kugeuza mwelekeo. Si sheria, lakini inapendeza zaidi.
0 Reactions
4 Replies
10K Views
habarini wakuu, nataka kuuziwa gari toyota hiace ya 1kz engine ambayo nitaifanya daladala, je hii injini inafaa? make nimezoea kusikia 5L, 3L, nk. msaada wadau
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Wakuu kwema? Gari yangu ni toyota runx. Betri yangu ni ya maji na imeanza kunisumbua yani haitunzi chaji. Mimi ni mfanyakazi naenda kazini asbh napaki gari mpaka jioni narudi home na paki mpaka...
0 Reactions
4 Replies
7K Views
Heshima kwenu wakuu. Nina gari yangu aina ya toyota runx. Juzi kati iliingia kwenye shimo kwa mbele na kuinama sana huku upande wa nyuma ukiwa juu. Sasa baada ya kutolewa ikawa inatatizo hilo ka...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Back
Top Bottom