JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
wadau habari! mi nina pikipiki nilinunua ila kadi ndio sina namaanisha pikipiki used naweza vp kupata kadi au kutumia njia ipi kupata umiliki halali wa iyo pikipiki?
0 Reactions
7 Replies
10K Views
samahani wadau naomba kujua kama hapa Dar es salaam kuna bajaji zinazotumia compressed natural gas..?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Toyota Rav4 Ford Kati ya hizi gari mbili ni ipi nzuri, kwa wenye uzoefu na haya magari hebu nisaidieni maana soon nahitaji mzigo mmoja kati ya hiyo miwili! Halafu je niagize moja kwa moja kutoka...
1 Reactions
19 Replies
1K Views
Nataka kuagiza....mitsubishi GDI....naombeni mawaidha yenu plz
0 Reactions
4 Replies
1K Views
gari ina injini ya 1kz-te, nataka kutoa pump umeme niweke ya mechanical. je pump aina gani inafaa?
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nahitaji body la landrover discovery mwenye nalo ani pm
0 Reactions
14 Replies
3K Views
habari wanajamii mi ni kijana wa kiume natafuta garage ya kutengeneza magari ili nijifunze nataka garage ambayo inatengeneza magari ya aina zote yaani ya diesel na petrol garage iwe arusha anaejua...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wadau,naomba kuelezwa kuna tatizo katika gari Rav 4 old model automatic.Kama uko unaendesha kisha ukibadilisha gear kutoka D kwenda Reverse au R kwenda D kuna mlio kama kishindo unasikika...
0 Reactions
27 Replies
8K Views
0 Reactions
0 Replies
685 Views
Naomba msaada kwa waliowahi kuagiza magari kupitia kampuni ya car trade view,kuhusu usahihi wa taarifa za magari hayo.usalama fedha. hii kampuni ina tawi Tanzania.asanteni
1 Reactions
39 Replies
7K Views
Wadau wa njia zote zipitazo maeneo yenye msongamano wa watu imekuwa kero isiyositahimilika hasa msimu huu wa sikukuu. Nasema ni kero kwa sababu vijijini hatuna traffiki wa kudhibiti mwenendo wa...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Matumizi sahihi ya taa za nyuma za gari ni mojawapo ya misingi mizuri ya kulinda usalama barabarani Kuna aina sita za taa zilizopo nyuma ya gari. 1..taa nyekundu za parking ambazo hutumika...
3 Reactions
1 Replies
7K Views
Trafic wanapochachama na torch barabarani dhidi ya speeds ya mabus... Hususani kama haya... Yes or No.
1 Reactions
0 Replies
959 Views
Wadau naomben msaada kwa anaefahamu namba za kupiga ili kufahamu kias cha pesa ninachodaiwa na TRA kwa njia ya cm nina pikipik. Nahitaji kubadili plate number. Asanten.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ni super custom, engine 1kz-te inakula mafuta kama haina akili nzuri. Msaada tafadhali nini kinachangia hii kitu.
0 Reactions
29 Replies
8K Views
Habarini jamani. kwanza nishukuru uwepo wa jukwaa hili. naombeni msaada juu ya ubora wa gari aina ya NOAH VOX. napenda kujua ukimiliki gari kama hili unapaswa kulileaje, ni nini unapaswa...
0 Reactions
19 Replies
5K Views
Wadau nataka kununua hizi tairi nifunge kwenye gari yangu. Si mtu wa kusafiri sana. Kwa anaejua uzuri na ubaya wa hizi tairi anijulishe. Natanguliza shukrani.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nina Nissan serena auto, leo nimegundua ninapoiwasha Gari feni ya kwenye (radiator) hazizunguki zote mbili, naomba kufahamu hii ni kawaida au kuna namna zinavyoweza kuanza kufanya kazi...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Mwenye nosel za Toyota landcruiser V8 _ 200 _ standard zinahitajika.
0 Reactions
3 Replies
894 Views
Ndg wanajf ambao ni mafundi, gari yangu toyota vitz jana ghafla tuu nikaona taa ya airbag ikiwaka kwa ku-flash. Je nn madhara yake kwenye gari? Na matengenezo yake ni nn? Gharama? Mwenye ufahamu...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Back
Top Bottom