JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Naomba ushauri ili mwenzenu nami niwe na usafiri, nimejikusanya sana kwa miaka saba sasa. Ila sina utalam wa magari. Mwenye kujua anisaidie. Pamoja na utaalam nisaidieni pia nataka kujua. 1. Ulaji...
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Wadau nimeshawishika kununua aina hii ya gari ila sina ufahamu wa kutosha juu ya upatikanaji wa spea, ulaji mafuta, uimara na balance ya gari hasa ikiwa kwenye mwendo kasi katika safari ndefu...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
50 kph kwa maeneo ya miji na 80 kph kwa highway kwa magari makubwa. Nikiangalia dunia ya leo na maendeleo ya teknolojia hasa upande wa braking teknolojia tuna abs systems. Disc brakes etc. Etc...
2 Reactions
10 Replies
3K Views
Natafuta fundi mzuri hasa wa umeme wa magari ya kisasa yanayotumia control box gari ni make ya Toyota. Fundi awe DSM
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Habari wakuu, Ninapanga kununua gari mwisho wa mwezi huu, ila kuna vitu flan flan bado nahitaji kuvielewa kabla sijanunua hiyo gari. Kwanza ni matumizi ya mafuta kwa siku, Pili ni gharama za...
1 Reactions
19 Replies
9K Views
Kwa kweli hapa nakubaliana nao kabisa hata mimi hakuna version ya BMW ninayoikubali kama hii kumbe sikuwa peke yangu lkn mimi ukiniuliza the best car ever made nitasema ni Mercedes Benz W 124...
0 Reactions
15 Replies
5K Views
Rejea mada hapo juu. Naitaji Nozzle cut, But ,mudguad, car fender/ mudguad ya mbele na taa moja ya nyuma ya IST katika ubora na being nafuu! offer yangu ni Nozzle cut 1,300,000, mudguad mbele=...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mwenye uzoefu,anijuze Thanx
0 Reactions
66 Replies
30K Views
Wakuu naomba mnisaidie mi siyo mtaalam sana wa kujua gharama za kuagiza magari na hivyo sizijui vizuri gharama za kununua gari japan had kulifikisha hapa bongo itacost shilingi ngapi, mfano jana...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
TATIZO LA GARI KUTETEMA. - Kuna aina mbili za mitetemeko kuna mtetemeko wa ndani ya gari na kuna mtetemeko wa ndani na nje. Kwa leo nitaelezea mtetemeko wa ndani. - Mtetemeko huu unalikumba...
3 Reactions
8 Replies
12K Views
habari waungwana natafuta tyre za goodyear size 265/50r20 kwa maana ya kwamba nahitaji kununua. naomba kujua zinapatikana wapi na shiling ngapi natumaini nitapata msaada hapa
0 Reactions
1 Replies
996 Views
Kuna gari aina ya toyota nadia ya 2007 cc 1900 mileage 97000 inauzwa $306 iko Yokohama. nikiagiza mpaka naichukua bandarini Dar itanigharim tsh ngapi?
1 Reactions
21 Replies
5K Views
Kutana mafundi wa gari ya kisasa. Magari tunayo shugulika nayo ni Mercedes-Benz, BMW, Ford,Volkswagen. Na gari nyingine zote zinazotokea Europe kama unatatizo sehemu yoyote kwenye gari yako...
2 Reactions
17 Replies
4K Views
habari wana jf kuna mercedez banz hapa ni 221 gari ikiwa inatembea ina toa kamlio na ukivuta mafuta ndio kinazidi kutoa sauti kwenye steering power je tatizo nini naombeni msaada.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
injini tajwa hapo juu inauzwaje?
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Hbr zenu, Kuuliza si ujinga ndugu wana JF hasa ktk hili jukwaa letu la magari na vyombo vya usafiri.. Hivi hawa watu wanaobadili muungurumo wa gari zao mathalani IST unaweza kukikuta kinatoa...
1 Reactions
38 Replies
7K Views
wakuu habari za muda?? kuna jamaa yangu anataka kuniuzia NISSAN EXTRAIL naomba wenye uzoefu na hizi gari kuhusu ulaji wake wa mafuta vipuli vyake garama zake zikoje?? hivi hii gari ipo poa kwa...
0 Reactions
37 Replies
6K Views
Habari wanajamii. Nina tatizo wandugu. Gari yangu imekuwa na tabia ya kutetemeka engine kiasi kwamba hadi stealing inatetemeka. Hii hutokea hasa nikiwa nimesimama. Gari ikitembea haitokei...
2 Reactions
129 Replies
40K Views
Nina Toyota 12R Hilux pickup 1ton. Ina bodi na chasis nzuri ila engine imeanza kuchoka. Nataka nibadili niweke petrol engine mpya ya kisasa. Pia iwe inatumia mafuta kidogo. Naombeni ushauri wa...
0 Reactions
12 Replies
6K Views
Back
Top Bottom