JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Wadau naombeni ushauri wenu nahitaji kununua usafiri kwa ajili ya familia yangu nipo mbeya mjini na pia iweze kinisaidia Mara moja moja kwenda likizo kahama je IPI itanifaaa kwa ubora na matumizi...
0 Reactions
11 Replies
7K Views
Mwezi wa sita mwaka huu nilinunua gari aina ya Toyota Noah. Tangu wakati huo mpaka sasa haijaniletea tatizo lolote. Hivi juzi asubuhi niliiwasha nikaiacha kwenye silence kisha nikaingia ndani...
1 Reactions
21 Replies
8K Views
Wadau naomba kujuzwa , nini tofauti ya shockups za magari?, nikiendesha noah townws nikipita kwenye barabara ya vumbi yenye rasta, ( pambs) gari inatikisika hadii inahama njia, wakati...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Gari yangu ina cd 6 lakn cd zimenasa zote ndani hazitoki wala hazi-play. Msaada plz
0 Reactions
13 Replies
5K Views
Wadau nisaidieni,gari yangu inatatizo la kuvujisha ATF kwenye kikombe kinachobeba star joint na drive shaft ya kulia,nimebadili kikombe mara mbili lkn huwa kinavuka na kupelekea ATF kuvuja na...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Engine used ya Pajero Jr "4A31" inahitajika.Naomba kufahamu bei na mahali inakopatikana. Kwa faida ya wengi,unaweza kuweka namba zako kwenye wall hapa,ili wadau wengi wenye uhitaji huo nao waweze...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari za week end humu jukwaani! Nina gari yangu Toyota Corolla 110 tangu 2011. Sasa tangu j4 na inawasha taa ya ABS na ya Tyre pressure muda wote. Nimeenda kwa fundi, ikazima kwa muda ila kwa...
0 Reactions
12 Replies
5K Views
Habari wadau! Naomba kuuliza kama hzi gari Subaru Imprezza WRX za 2011 (sedan) zinapatikana ktk show rooms za hapa bongo, maana nimeitafuta beforward ya Japan sikuiona. So kama kunamtu anaweza...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nauliza nani anazo valve za Mitsubishi kirikuu, maana nimekata cylinder head baada ya kusabishwa na kukatika timming belt, zimekutana valve zimepinda, nimetafuta nimechoka Dar Arusha kote...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nataka ninunue mashine ya kusaga nafaka, naona inalipalipa, mwenye kujua bei tafadhari nijuze for both ya umeme na inayotumia mafuta. Na pia mwenye experience na hii bizinez tubadilishane mawazo...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Habari zenu wakuu? Jana katika pita pita zangu kuna Rafiki yangu aliniambia hivi ''Gari yangu ina gia tano lakini nashangaa nikiwa katika mwendo na natembelea namba tano huwa inadai gia wakati gia...
1 Reactions
27 Replies
8K Views
Gari yangu aina ya Toyota Dyna Ton 3 na nusu ,ilikuwa na engine ya 13B,ikapasua block piston zikatokea mbavuni,nime overhaul lakin inanizingua ,ila kuna sehemu nimepata engine ya 3B NEW ,je itafaa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Probox, Sienta, Raum, Spacio naona yamezagaa mjini, mbona yana sura mbaya? Nini watu wanayapendea?
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Katika gari ya automatic hizi namba na herufi katika gia zina msaada gani na kazi gani? Mfano 'R' inatumika kurudi nyuma, 'D' inatumika kama kwenda mbele. Je. hizo N, 2 na 1 zina kazi gani?
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Rav4 cc1790 mwaka 2003. Na Harrier cc2160 mwaka 1999.
0 Reactions
19 Replies
7K Views
Wapendwa naomba kusaidiwa nina gari aina ya nissan vannete nahitaji kujua fuse hii ina kazi hii maana nilizoea kwenye noah ukifunua kile kifuniko cha fuse box kwa ndani kuna maelekezo ya kila fuse...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu nimevutiwa na hii gari,naombeni uzuri na changamoto zake Nissan skyline 2007 250gt Model Code DBA-NV36 Engine Size 2,490cc.
0 Reactions
42 Replies
10K Views
Wadau kama kichwa cha habari kinavyosema, Kuna Mzee mmoja jirani yetu kijijini yeye anamiliki tela la kuvutwa na punda, Juzi juzi hapa hapa katika pilika pilika zake anatoka shambani bahati mbaya...
0 Reactions
0 Replies
804 Views
Habarini wanajamvi, ninaomba kujuzwa maduka nayoweza kupata spea za nissan skyline kwa dar es salaam.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mwenye Hiace dungu NAMBA C au D,ya ukweli imesimama nina mteja ana 15 m,biashara ya uhakika anakuja kuiona,gari iwe nzuri.0717246284/0767246284
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Back
Top Bottom