JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Wakuu habar zenu,Hivi hiyo course ya automobile ipoje kwenye suala zima la ajira na challenge zake ni zipi? Nimechaguliwa kusomea degree yake hapo NIT sasa nataka ufafanuzi zaidi kutoka...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa mwenye uelewa mpana kuhusu hii system na ufanyaji kazi wake naonba anieleweshe..
1 Reactions
20 Replies
7K Views
Habari za jioni wana JF, Kwa zingatia hali halisi ya mazingira nimejibanabana katika mihangaiko yangu ya muda mrefu nimepata fedha kiasi fulani cha kununua kagari ka kutembelea ili kanisaidie...
0 Reactions
50 Replies
11K Views
Wakuu! Nahitaji kununua IST NEW MODEL, Kwa matumizi ya kwenda Na kurudi ofisini lakin pia kumsaidia mke wangu kwenda clinic..nimezipenda sana mwonekano wake lakin sijui sana kuhusu,ulaji wake wa...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Naomba kuuliza kwa matumizi ya familia kati hizi gari ipi inafaaa zaidi ,Toyota Ist na Toyota corolla Toyota corolla Axio na Toyota Ist ipi ni bora zaidi kwa matumizi ya familia?
0 Reactions
22 Replies
10K Views
Natanguliza salam nyote humu,kuna hii gari starlet carat nimeiona mahali jamaa kai pimp utasema bmw ilivyokaa hapo mbele,nimevutiwa sana nayo,mwenye uzoefu nazo vipi zinakuaga na tatizo lolote, je...
1 Reactions
15 Replies
4K Views
Za asubuh wanaJF... Nilinunua Rav 4 imported from UK ikaja na funguo mbili zote nina remore control. Funguo ya akiba sikuwah kuitumia. Kama wiki moja imepita ufunguo ukatumbukia kwenye maji...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Wakubwa shikamooni, Mimi ni mjasiriamali, naombeni msaada kwa wale wataalamu wa magari. Leo hii nimetoka kulipia bandarini (TPA) used 1996 hillux double cabin (petrol engine 2000cc) nimenda...
0 Reactions
29 Replies
4K Views
Nimeenda dukan kununua boxer nm 150x, but muuzaji kanishauri kuchukua hero dawn 125.....nimeacha zot ili nitafit kwanza naomben msaada juu ya hili.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Je, ni model ipi ya altezza ndio nzuri kwenye speed na comfortable ikiwa barabarani?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari za kazi Natafuta drive shaft za mbele za Nissan Xtrail, model CBA-NT31. Wapi naweza kuzipata? bei zake zikoje?
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu, Ningeomba kuuliza gari yangu ni Carina ti pia ina engine ya 3s sasa toka juzi imeanza kusumbua kila nikiweka R inastuastua af ndo inarudi nyuma nikawa nimechukulia poa sasa leo...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
FUEL GAUGE KUGANDA JUU TOYOTA COROLLA Naomba msaada gari almost mpya 6000 km tu toka Japan nimeipokea , ikiwa na mafuta kidogo sana taa ya empty inawaka lakini gauge iko full tank...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hizi gari zinatumika sana. Zipi hapa ni bus ambazo ni imara na zinamudu mwendo?
0 Reactions
17 Replies
7K Views
Salama wadau, Niande kwenye hoja moja kwa moja Mwanzoni wakati huu mradi wa mabasi yaendayo kasi unaanza hali ila ilikuwa safi kabisa, Kwa maana mabasi yalikuwa mengi hata ukienda kituoni haukai...
4 Reactions
10 Replies
2K Views
mwenye uzoefu na izi gari naomba ushauri kuhusu perfomance fuel consumption na pia uwezekano wake wa kulimaitain nimetokea kuzikubali sana
0 Reactions
2 Replies
2K Views
.y
0 Reactions
0 Replies
639 Views
Maelezo siyaelewi! Mara nyingi tunajaza upepo wa gari zetu kwenye compressor mtaani; Kitu ambacho huwa kinanitatiza, upi huwa ni kipimo sahihi kwa gari dogo? Je ni lazima mbele patofautiane na...
0 Reactions
4 Replies
6K Views
Wakuu kiukweli nimechanganyikiwa nimevunja kioo cha gari tajwa hapo juu je kina bei gani ili kusudi nikienda kununua wasinilipue bei ya juu.
0 Reactions
13 Replies
6K Views
Back
Top Bottom