JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Nawasilisha, Wazoefu wa hizi gari aina ya toyota Rav4 watujuze kwa faida ya wengi humu ndani... Rav4 nyingi zinanikera sana kwa namna ya tairi zake za nyuma kukaa parale/mshazali/kutaga. Je ni...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Wana JF nataka kufahamu , Kwanini mabasi mengi ya masafa marefu mfano kutoka Dar kwenda Kampala,Harare,Lusaka,Kigari na Lubumbashi huwa ni Nissan UD badala ya Andare class? Mfano kampuni ya...
1 Reactions
25 Replies
5K Views
Wakuu, ninahitaji RAV4, kutoka Japan au hata katika Show rooms za hapa Tanzania. Bajeti yangu ni Tsh 15m, je ninaweza kupata RAV4 ya aina yoyote ile? Iwe old au new model. Pia naomba ushauri...
0 Reactions
45 Replies
7K Views
Inaonesha HOT muda wote hata kama engine imezimwa saa 24!! Nifanyeje?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nina duka langu la vipuri vya pikipiki Natafuta fundi mzoefu wa pikipiki mwenye wateja wake aje kufanya biashara kwenye eneo langu bure ila tu awe ananunua vipuri kwenye duka langu.. Nipo dar es...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Naomba kufahamu kama inawezekana kuinua kidogo gari aina ya Spacio kwani iko chini. Je kufanya hivyo kunaweza kuleta madhara gani?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wadau, Kuna jamaa yangu anamiliki Nissan Xtrail (2005) hapa mtaani,leo Asubuhi amewasha gari inawaka bila tatizo,mafuta yako ya kutosha (nusu tank),ila baada ya kuwasha akiweka reverse (R)...
1 Reactions
8 Replies
4K Views
Nikiwa katika muendelezo wa kudunduliza hela ya kununulia my ever dream ride BMW mini cooper, naombeni msaada wa more details kuhusu hii gari (wenye kufahamu) ikiwemo upatikanaji wa spare...
1 Reactions
15 Replies
5K Views
Wadau, hivi sasa kuna shindano linaendelea kwa jina la Free Car Giveaway. Hili ni shindano ambalo Mshindi mmoja atazawadiwa gari moja na washindi wengine 105 watazawadiwa kuponi. Baada ya kuona...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau msaada wenu mimi ni mgeni na ilo gari sijui ulaji wa mafuta ukoje L/KM na stability yake barabarani pamoja na matatizo mengine. Msaada wadau.(Toyota Landcruser prado 3RZ 2690 1999).
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Ningependa kujua pikpiki ikiwa speed 100 na gari ikawa speed 100 je hazitaachana zitaenda sawa? Nimeuliza hivyo kwa maana juzi kati nilikuwa nasafiri na gari land cruiser v8 petrol engen yenye...
0 Reactions
69 Replies
15K Views
Karibu magomeni makanya tuje kuihudumia gari lako na kulirudisha kwenye muonekano wa awali!
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Habari wana JF Nataka kujua ni vitu gani vinatakiwa kuangaliwa kwenye gari wakati wa service ya gari nikimaanisha service ya kawaida (basic service) na ile service kubwa. Natanguliza shukrani...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari zenu wadau nina gari yangu Toyota dayna ina engine 13B(diesel)huwa inatoa moshi wa blue asubuhi na ikitembea unakata ila ikisimama tena kipindi ipo idling unauona kwa mbali,nn tatzo wakuu
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Naomba ushauri mi si mzoefu sana wa magari,ila nahitaji usafiri wa matumizi binafsi sasa kuna gari mbili huwa navutiwa nazo kati ya BMW X5 na HARRIER new model.....ipi na gari nzuri kwa matumizi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wapendwa wana JF, Nimewahi kusikia kwamba kwa DSM kuna garage nzuri sana za wachina. Nasikia wapo makini katika kutengeneza au kurekebisha gari na endapo gari ikapata hitilafu then ukaipeleka...
0 Reactions
3 Replies
7K Views
Nakaka nunua gari Toyota Harrier 1999 AWD CC 2160. kama kuna mtu alishawahi kulitumia au la naomba ushauri.
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Habari za muda wapendwa, Karibuni katika uzi huu, kwa wale wazoefu wa vyombo vya moto, hebu tupeane uzoefu kuhusu kubadili yafuatayo kwenye gari zetu. Ni wakati gani au km ngapi unatakiwa kubadili...
0 Reactions
8 Replies
10K Views
Sasa naombeni ushauri wenu waelewa. Toyota harrier used abroad 1999 cc 2160. Je vipuri, ulaji wa mafuta na katika safari inafaa au Land cruser plado TX 1998 cc 2690 ya kununua kwa mtu. Imeweza...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Mabingwa niamulieni, kuna gari mbili Noah na Harrier zote nimeahidiwa kuuziwa kila moja kwa 10,000,000/= Nina familia ya watoto watatu na Mama yao kwa ajili ya safari za mbali na za mjini km...
0 Reactions
9 Replies
8K Views
Back
Top Bottom