JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Wadau naitaji gari ya kutembelea Raum old model,budget yangu ni 7M TZS.
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Mwenye uelewa nalo na ulaji wake wa mafuta na upatikanajb wa spare
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kuna watu wananikera sana barabarani kwa matendo na maneno yao. Na hao ni kama ifuatavyo 1. Askari wa Usalama barabarani(baadhi) 2. Waendesha bodaboda 3. Madereva wa daladala 4. 5. 6...
0 Reactions
50 Replies
4K Views
Habari. Kwa mwenye kumiliki gari LDV CONVOY, ama mwenye kuuza vifaa, ama mwenye kuhitaji gari hizi, anakaribishwa hapa, lengo ni kujuana na kusaidiana baadhi ya mambo fulani kuhusu gari hizi...
0 Reactions
0 Replies
855 Views
Habari, jamani naombeni msaada kwa anaejua gari la toyota corolla fielder 1500cc in terms of spare parts(gharama), ubovu na uimara wake na je inauwezo wa kwenda mkoa na kurudi ikiwa vizuri? pia...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Bei hapa Tanzania ;
0 Reactions
15 Replies
12K Views
Hi JF, Na imani mmepumzika majumbani kwenu baada ya kutoka church (wakristu) mkimalizia weekend yenu. Kutokana na uzoefu na elimu nzuri itolewayo bure hapa JF na wanaJF waungwana, ningependa...
3 Reactions
10 Replies
8K Views
Gari yangu ni gx100 cresta cc2000 tatizo la hii gari ni nguvu, Kupanda milima aina nguvu kabisa na niliipeleka service na fundi akaikagua engine na kuniambia hii gari ili iwe sawa inabidi...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Salaam wadau, Gari yangu aina Toyota kluger, check engine light inawaka, tulipo check na computer inasema engine nock. Nimecheck plags zinachoma vizuri, no fuel licage, nimebadili air cleaner...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Nahitaji alternator ya gari kwa bei rahisi! Nisaidie kama una upeo wa masuala haya!
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Habari wadau, Nimetokea kuipenda hii gari TOYOTA COROLLA SPACIO X LIMITED SPECIAL PACKAGE 4WD ingawa ni model ya zaman kidogo lakini kibongobongo nazani litanifaa na nadhani spare zake...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nmeambiwa niichomoe kwa sekunde 15 kwenye fuse box ili nifute faults baada ya kuwa nmechomoa THA na THW sensors kwenye gari!!
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Habari wanaJf Nahitaji kujua bei ya mashine ya kujazia upepo WA tairi za magari na pikipiki kwa mashine new na used PIA.
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Wadau nina nissan caravan 3D inashida ya ile puller inayokaa kwenye kompresa kuvuta fen belt ya njia sita kama kuna mtu ana kompresa iliyokufa anipatie hyo pull ntafurahi sana nisiingie garama...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wataalamu karibuni mniondolee tatizo.Namilki kiharrier changu ila kinanikwazwa niwapo safarini.Nikiapply ac ktk kipindi baada ya nusu saa hv taa ya low oil pressure inajitokeza dashboard.Nikiizima...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habarini wanajamvi, Hii ni mara yangu ya kwanza kuanzisha uzi hapa jamvini. Ila si mgeni ni mfuatiliaji mzuri wa Jf, nisiwachoshe na blaablaa. Mimi nina ndoto za kumiliki Fuso dump truck na nina...
1 Reactions
16 Replies
5K Views
hii Gari nzuri na ngumu sana ipo rand 250,000 used Mengi ni toleo kuanzia 2010 mpaka 2016 ni very strong na pia Confortable sana yananunulika sana SA...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari zenu wana jamvi naomba nieleweshwe kuhusu gari hilo toyota NOAH kwene mambo yafuatayo maana mungu kashusha neema 1)ulaji wake wa mafuta lita 1=KM? 2)inauwezo wa kusafiri umbali mrefu mfano...
1 Reactions
20 Replies
21K Views
Wakuu, Natarajia kwenda Congo kwa usafiri wa pikipiki na baadae kurudi tena Dar, je ni pikipiki gani ina uwezo wa kutembea spidi na kuhimili changamoto zote za njiani mpaka Congo? Wataalam wa...
2 Reactions
72 Replies
19K Views
Wakuu heshima kwenu, samahani naomba kujulishwa garage nzuri mbeya mjini yenye mafundi wajuzi (competent) wa magari madogo ya petrol, garage ni nyingi hapa mjini but wapi hasa kuna mafundi wazuri...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom