JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Habari wadau, Ninaombba msaada katika hili, Nimepata gari Afrika Kusini nataka nilinunue na kulisafirisha mwenyewe kwa kupitia barabara kwa kukatiza nchi jirani mpka kufika Tanzania, nachohitaji...
3 Reactions
27 Replies
8K Views
Hellow friends! Im a young boy, i want to buy a car so that to simplify the work,unfortun,i dont know which is the best one for 14 m. Thamk you
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Msaada hivi spea za Toyota vista ardeo zinapatikana kirahisi? Naomba kusaidiwa make nataka kununua kwa mtu nisijeingia mkenge
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu salaam Naomba ushauri kuhusu hili gari binafsi nimelipenda na kwa sasa niko huku mikoani barabara sio nzuri sana na naona ina Ground clearance# Subaru Outback nachotaka kujua ni reliability
0 Reactions
1 Replies
2K Views
.wenye uwelewa kuhusu namna ya kuitoa giyo system ya immobilizer anifahamishe maana ukipoteza funguo tu au ukidondosha funguo bhas lak 3.5 zinakutoka hiv hiv ili kupata sensor ingine,,sasa jaman...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Land Rover Discovery ni gari ambayo nzuri sana kwa ndani na bei yake si kubwa sana. Tatizo kubwa ni kwamba engine yake mara nyingi huwa ni za petroli na ni engine kubwa ambazo gharama za mafuta...
0 Reactions
41 Replies
11K Views
Wadau, Nimepita mahali nikaona wanafanya hii shughuli ya kuzirudisha upya vipuri vya magari. Vipi kuhusu uimara wa gari na usalama wa mtumiaji baada ya kufanya hivi? Wazoefu naomba mnijuze tafadhali
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Unaweza ukawa wewe ni mmoja kati ya watu waliofuta meseji zao za muhimu kwa bahati mbaya. Ndio hii inatokea kwa wengi, kikubwa watu wanachofanyaga ni kujilaumu wenyewe. Lakini vipi kama kungekuwa...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Wakuu habari. Msada taa ya Mbele ya upande wa Kushoto ya Mazda CX-7 Model No. CBA-ER3P(Station Wagon) ya mwaka 2007. Nimeangaika kadri ya uwezo wangu nimekosa. Anaeweza kunipa direction zaidi...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wakuu. Nina gari yangu inaufunguo usio na remote sasa nahitaji kutengeneza au kufanya makeke ili nikitaka kufungua milango nabonyeza tu. Sasa je inawezekana?
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Ni pikipiki ambayo naipenda mwonekano wake na pia utumiaji wa mafuta mdogo na hvyo kuwa chaguo la wengi wenye hali ya chini. Kuna mdau mmoja kanitonya lita moja inaweza maliza km 55!
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Jamani nafikiri ni wazima. Naomba kujua ubora wa tairi hizi za Good ride toka china maana kuna mtu anataka kuniuzia used lakini zina hali nzuri.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwa anejua msaada tafadhali, je kile kifaa wanachotumia kupima mwendo wa gari je kina uwezo wa kupima mwendo wa gar kwa nyuma nimekutana na hiyo case traffic wamepiga picha gari kwa nyuma then...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu wazima? Naomba kujua betri bora ya gari dry cell maana zipo nyingi kama vile atlas,led exide na top power. Msaada kabla sijaingizwa town
0 Reactions
13 Replies
8K Views
Habari wanajf mjuvi anisaidie katika hili
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu Gari ikiwa imetembea kilomita ngapi haifai kununua...... Msaada tafadhali
0 Reactions
48 Replies
17K Views
Hii si mara ya kwanza naona hili, tukio ni zaidi ya mara tano kwa gari kutema cheche za moto kwenye lile bomba la kutolea moshi nje (exousite) yaani cheche kama zile za mashine ya welding wakati...
0 Reactions
17 Replies
8K Views
Habari zenu wadau nimenunua gari nataka kuisafirisha kupitia scania sitaki kuendesha inatoka dar kwenda Mwanza Ina gharimu shilling ngapi kwaajili ya usafirishaj
0 Reactions
0 Replies
820 Views
TIRA MIS
0 Reactions
6 Replies
8K Views
Nawezaje kuitumia kifaa gani kuzungusha dainamo ya baiskeli ?
0 Reactions
10 Replies
7K Views
Back
Top Bottom