JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Habari za leo wajameni. Hivi kuna njia ya kujua mmiliki wa gari fulani kwa kutumia namba ya gari ? Najua nchi zingine unaweza kufanya hivyo online. Huku kwetu vipi ?
1 Reactions
2 Replies
5K Views
Hi guys, aneifahamu vizuri hii gari naomba msaada Wa range za bei na upatikanaji wake Tz. Bei kuanzia used Tz iliyo katika Hali nzuri, na kama Kuna uwezekano Wa kupata used nje, Pia bei ya mpya...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Habari zenu ndugu zangu..natumaini wote ni wazima. Nilikua nataka kujua original price za scooter na honda (pikipiki flani hvi ndogo ambzo mara nyingi wahindi wa posta na wa kariakoo wanapnda sana...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Wadau msaada kdogo.. Camera ya simu yangu inaingia uchafu, ( kuna km vimichanga vdogo vdogo vinaonekana ndani ya camera) sijui vinaingilia wapi mara kwa mara hivyo inapelejea kuona kam mawingu...
0 Reactions
1 Replies
944 Views
Habari mafundi,naamini kweye hili group tuna mafundi wa kutosha. Nina gari langu Suzuki swift inasumbua sana,linachemsha mara kwa mara. Hii imetokea baada ya kufungua machime na kubadili ring. Kwa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Najua gari nyingi zinakuja zikiwa ndivyo zilivyo, ila je wataalam wetu mambo ya sound na urembo wa magari wanaiweza kitu hii au ni mambo ya majuu?Nawasilisha.
0 Reactions
14 Replies
8K Views
Habari wana jamvi, naulizia wanajamvi nimeingia mtandaoni pale be foward nimeona magari hadi dola 700 na chini ya hapo kweli ndio bei zake na vipi inaweza kukugharimu ngapi hadi zikanyage ardhi ya...
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Za lelu valongo vangu....umuofia kwenu....namnani.....namakise.....shimbonyi.....na wengine nimewasalimia kwa lugha zenu...wakuu kuna mdau anataka kuvuta ndinga moja kati ya hizo sasa ameniomba...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Habari,nahitaji window machines za freelander 2
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari za pasaka..... Nasumbuliwa sana na hizi terminology za magari; 1. Suv 2.Hatcback 3.Sedan 4.Wagon etc Mwenye kuelewa anidadavulie.......
1 Reactions
13 Replies
4K Views
Habarini wanajamvi! Naomba msaada wenu kwa alama hizo kwenye viambatanishi kwani zimeanza kuonekana hivi karibuni kwenye gari yangu. Na baada ya maana yake nini cha kufanya kukabiliana na na...
1 Reactions
45 Replies
35K Views
Naomba mwenye kujua Specification tofauti kati ya XT 2.0 VS Cross Sports Subaru Forester 4WD/AWD Ni ipi Yenye Turbo? Piston ngapi Fuel consumption etc
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Hii gari nimeikuta be foward inauzwa dola 500 uwe na million ngapi kuagiza hadi uitie mkononi?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Umuhofia kwenuuu!, Wakuu nimepata vijisenti vya korosho nataka ninunue hiyo gari Toyota Noah field tourer naamini kwa maeneo yetu itafaa. Kama nakosea munisahihishe. Nawasilisha madongo na...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Magari used yanayouzwa hapa bongo na yanayouzwa huko nje yanautofauti gani?
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Hili dude nilibahatika kuona makala yake KBC wakilielezea lakini kwa bahati mbaya sikuambulia kitu... Ktk kipindi cha IGNITION pale KBC walilimwagia sifa kem-kem hadi nikastaajabu... Nimeona...
2 Reactions
24 Replies
5K Views
kama kuna muuzaji humu ndani wa shock up za Nissan Primera naomba anijuze kwa namba ya simu 0655 844 202
1 Reactions
0 Replies
928 Views
Organization against transport accidents kushirikiana na NIT hutoa seminar kuhusu mambo ya magari na usafirishaji kwa ujumla
1 Reactions
12 Replies
3K Views
Wakuu naomba ushauri juu ya gari zuri la familia linaloweza milikiwa na mtu wa kipato cha chini. Liwe na uwezo wa kubeba watu 5. Gharama yake isizidi milioni 14. Picha zitasaidia zaidi.
1 Reactions
60 Replies
26K Views
Wadau naomba kujua why now dayz ukipitia mitandaon hasa watu wanaouza magari used bongo alteza nikama inatangazwa sana tatizo nin kwny hii gari,
2 Reactions
37 Replies
12K Views
Back
Top Bottom