JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Ninataka kununua gari. Kichwani ladha 3 zinanijia. Nissan Qashqai Vs KIA Sportage Vs KIA Sorento. Kwa bei, yote yanafanana. Tsh 32m. Utaenda na ipi?
4 Reactions
22 Replies
1K Views
Naam wakuu naomba nisaidieni majibu.
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Waungwana nijiandae Kwa kipi maana nakaribia kumiliki kigari Cha cc ndogo yaani 600cc terios kid. Ifahamike kuwa katika ukoo wangu hamna hata Mmoja aliye wahi kumiliki gari[emoji23] Mimi ndio...
5 Reactions
25 Replies
2K Views
Naam kwa majina naitwa Selemani Sele. Uzi huu ni mahususi kwa ajili ya magari na uchumi kwa kweli Tanzania kwenye uchumi hatujachangamka hata kidogo ndo maana tunaita magari ya 2014 New model ...
1 Reactions
11 Replies
929 Views
Wadau nataka gari used ambayo ipo katika hali nzuri sana kwa Budget ya 12~13 M. Machaguo yangu PREMIO F RAV4 kilitime Masharti. 1. Sihitaji dalali nahitaji muuzaji awe mmiliki halali kwa...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Wakuu poleni na majukumu, leo niliingia mtandaoni kidogo kucheki magari ambapo nimepitia kampuni mbalimbali za uuzaji magari lakini katika kampuni zote kuna kampuni moja "Autocom Japan" naona bei...
16 Reactions
92 Replies
12K Views
Habari wana Jamii naomba msaidie tofauti ya Subaru XT na Subaru XS. Asanteni!
2 Reactions
12 Replies
4K Views
Habari wadau,sina uzoefu kabisa wa Magari ila kuna hii gari inaitwa Honda fit naziona sana zinauzwa bei rahisi kiasi kwamba naona kabisa naweza nikaimudu kununua.Naomba kuuliza wazoefu kuhusu hii...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Engine ya gari yangu inanizingua kwa kunywa oil. Mafundi wanasema kubadili spare za kwenye engine ni kazi bure. Bora kufanya overhaul kabisa. Lakini mafundi wengine wananitahadharisha kuwa...
5 Reactions
56 Replies
6K Views
Vp wana ndugu, Nafikiria kununua BMW x3, ningependa mniongoze faida na changamoto za kuwa na gaira aina kama hii. Na mengine mengi mtakayoona yanafaa kuhusu gari hili tungependa kuyasoma yote na...
7 Reactions
82 Replies
10K Views
Heri ya Chrismas wakuu. Visiting home for Christmas kula pilau kwa bimkubwa, nimekuta hii baiskeli kuna bwana mdogo—Uncle wangu yuko form one day school—ameifufua na anaitumia usafiri wa kwenda...
2 Reactions
3 Replies
921 Views
Kampuni ya magari ya umeme ya China imetengeneza betri ambayo inawezesha gari kutembea zaidi ya Kilomita 1,000 bila kuhitaji chaji. Umbali huu ni sawa na kutoka Dar mpaka Shinyanga bila kuchaji...
1 Reactions
9 Replies
868 Views
Habari wakuu, poleni na kazi. Napenda kupata majina ya kampuni 5 bora za mabasi hapa nchini kwa ajili ya kushiriki tuzo. Vigezo ni 1. Ubora wa huduma 2. Mwendo mzuri (50/80) 3. Lugha nzuri kutoka...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Wale wapenda mbio ukishanunua gari yako ya high performance karibu Arusha. Kuna barabara nzuri sana za kujimwambafai. Kuna barabara ya Arusha Babati au Arusha Namanga. Yaani wewe tu. Angalia...
3 Reactions
31 Replies
10K Views
Habari wakuu.. Samahani napenda kufahami zaidi kuhusu hii gari hasa performance, upatikanaji wa spea, na changamoto zake.. Natanguliza shukrani
0 Reactions
2 Replies
757 Views
Heri ya Christmas na mwaka mpya. Wakuu Leo nilikuwa na safari ndefu kidogo Sasa nilikuwa nilikuwa natembeza kachombo kangu kwa speed. Baadaye nikaanza kusikia mlio mkubwa wa kugonga kwenye...
2 Reactions
5 Replies
584 Views
Habar maboss poleni majukumu Spare za honda crossroad zipo dukan kwa sasa Nimeshusha 100pcs za shock up mbele jana na mpaka sasa zimebakia 20pcs nunua weka akiba kwa ajili ya gari yako maana...
2 Reactions
6 Replies
703 Views
Habari wataalam! Gari aina ya Carina Ti ghafla inachelewa kupokea ninapo iwasha na wakati mwingine hadi nikanyagie mafuta, nimebadilo Plug, fuel pump bado tatizo lipo pale pale, pia nikuwa mlimani...
2 Reactions
95 Replies
6K Views
Habarini. Naomba kupata elimu ya kuweka "tinted" kwenye magari. Ni %gani zinafaa kwa vioo vya mbele na nyuma? Muongozo wa sheria za babarabarani zinasemaje kuhusu tints? Faida na hasara A tints ni...
0 Reactions
3 Replies
877 Views
Gari gani zuri dogo dogo la kufanyia mizunguko hapa mjini Ukinzingaria mambo kama ya ulaji wa mafuta na pia urahisi wa kujipenyeze, vipuli etc
4 Reactions
36 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…